Kuhamisha goli, kama kawaida! InasikitishaSheria si maandishi tu,ni pamoja na mazoea ya kiutendaji
Kuhamisha goli, kama kawaida! InasikitishaSheria si maandishi tu,ni pamoja na mazoea ya kiutendaji
Huna hoja...Tunawaombeni ushahidi wa hivyo vyeti vilivyofojiwa na cheti chake original ili tuweze cu compare na mvipeleke necta ili wamchukulie hatua kama wanaofoji vyeti wengine.
Kusema tu amefoji cheti bila kuleta ushahidi ni kupotezeana muda, eti kisa 'fulani' kasema, mtu anaweza kusema chochote kile maana mdomo ni male yake na halipii kuongea.
Ndio maana makonda alipotaja 'watuhumiwa' wa dawa za kulevya, hakuishia kutaja tu, aliwapeleka polisi ili wawachunguze, wengine wanaojijua wanahusika na dawa za kulevya wakakimbilia mahakamani wasihojiwe maana wanajua wangekamatwa. Na nyie mpelekeni necta wamchunguze.
Kisha msome hapa:Nilikutana naye Koromije Misungwi Mwanza miaka ya 2000 enzi hizo akiitwa DAUDI Bashite. Sifahamu kivipi anaitwa Paul Makonda. Namfahamu in and out
Hizo posts ni za December 2015Nilipigwa butwaa alipoteuliwa. Kujiridhisha nikampigia Mama yake akanithibitishia..Sishangai kinachotokea
Maka Jr wewe unao ushahidi kuwa Mh. Makonda amefoji cheti?Kama na yeye ni Mtanzania hakuna hoja ya kujadili. Lakini kama ni Mtanzania hoja ipo. Akabidhi vyeti!
Mfuatilie taratibu huyu "mwanasheria msomi", utasikitika kwamba uhenda bado anafanya kazi za "uanasheria"!Msomi jifunze tena kusoma na kutafsiri sheria...kifungu kiko wazi kabisa. Isipokuwa hujaelewa. Kivunje hicho kifungu ukielewe.
Acha unaa, Kabwe aliundiwa tume na Makonda. Na matokeo yalielezwaa. Kumbe nimegundua hizo ni Chuki toka kwa wahanga wa Makonda kuanzia wa NGADA mpaka kina KabweKakutuma Bashite na Magufuli ugeuze kibao tukuulize Magufuli alipomtumbua Kabwe alituonyesha ushahidi wanalo hilo na watu wanavielelezo kibao wanangoja makonda aseme sitaki kuchafuliwa vyeti vayangu hivi tngu kuzaliwa hadi leo
Ongera kwa kuwa na jicho la uchambuzi, siyo kuwa dodoki kufyonza kila uchafu!Gwajima kasema sentensi tata. Hivyo ni vyema atoe ushahidi angalau wa vyeti ili angalau isaidie.
1. Kasema Daudi Bashite hakuchaguliwa kwenda shule ya serikali na akajiunga na Pamba Sec. Wakati kiukweli PAmba mwaka 1997 ilikuwa shule ya serikali.
2. Hata kama Daudi Bashite alikuwa evening class, swali linakuja tena kutokana na maneno yake kwamba inakuwa je evening class akafukuzwa shule.
3. Anacheti cha Daudi Bashite chenye zero, mimi naomba akionyeshe hicho cheti chenye zero kinafanana je?
Kama, kama ni Mtanzania kama mimi basi anahusika.Maka Jr wewe unao ushahidi kuwa Mh. Makonda amefoji cheti?
The burden of proof inategemewa itoke kwa yule aliyeibiwa kuku, siyo yule aliyeiba kuku; au siyo Nyani Ngabu?Mwenye wajibu wa kuthibitisha tuhuma huwa ni nani kwani?
Mtuhumu au mtuhumiwa?
Nielimishe mie mbeba maboksi aka ex-mla vumbi na mkanyaga tope😀.
mkuu achana nao leo nimeshangaa sana baada ya gwajima kusema ana ugeni kutoka huko kijijini kwaoHuna hoja...
Kiongozi Mwandamizi wa umma hatakiwi kuwa na makando makando yoyote!! Kiongozi Mwandamizi anatakiwa wakati wote kubaki clean! Tuhuma dhidi ya Makoda hazijaanza jana wala juzi na wala hazijaanza mwaka huu!! Yeye kama Kiongozi wa umma anatakiwa kujitokeza hadharani na kukanusha kwa ushahidi kwamba yanayosemwa na watu si kweli! Ni kukosa hoja kuwataka watu wa kawaida eti ndio waende mahakamani wakati mwenyewe ndie ana nafasi mzuri ya ku-prove otherwise!!!
Kwamba Makonda alipowataja wauza unga aliwapeleka polisi inaonesha bado hujafamu tofauti kati ya Makonda na wale wanaomtuhumu Makonda!!!!
Narudia na nitarudia tena... wanaomtuhumu Makonda ni wananchi wa kawaida ambao hawana ubavu wa kumpeleka RC huko unakotaka waende!! Wananchi wa kawaida wana mahakama zao zinazojulikana kama Mahakama za Umma!!! Mitandao ya Kijamii kwa dunia ya leo ndio mahakama za umma ambazo wananchi wa kawaida huzitumia kuwashitaki wahalifu wote ambao ni powerful!!!!
Kwavile angepelekwa court of law ingefika wakati wa kutakiwa ku-prove otherwise; basi atumie uwezo huo huo ku-prove otherwise kwenye mahakama za umma!!!!!
Najua wengi wenu kwa kuishiwa hoja mnataka kuaminisha watu kwamba tuhuma hizi zimeanza sasa!!! Msome Mamaphilipo hapa chini: Kisha msome hapa:Hizo posts ni za December 2015
Ukishamsoma, tembelea profile yake halafu judge mwenyewe kama huyo Mama/Dada anaelekea kuwa ni mtu mwenye ushabiki wa kisiasa!!! Kwahiyo hizo tuhuma hazijaanza leo!!!!
Hoja kwamba nendeni mahakamani ni hoja inayotumiwa na wahalifu wote wakubwa duniani pindi wanapofanya uhalifu!!
Wezi wa EPA waliwataka watu waende mahakamani lakini hiyo haikumaanisha kwamba hawakuiba!
Wezi wa Richmond nao walitaka tuende mahakamani au tutoe ushahidi!!
Hata wezi wa Escrow nao walitutaka tutoe ushahidi au twende mahakamani!!!
Hivyo basi, hoja ya ushahidi haijawahi na katu haitapata kuwa sababu tosha ya mtuhumiwa kuwa hajafanya uhalifu kwa sababu tu wananchi wa kawaida wameshindwa kutoa ushahidi!! Hii inatokana na ukweli kwamba, hiyo ndio hoja inayotumiwa na wahalifu wote wakubwa duniani... LETA USHAHIDI.... NENDA MAHAKAMANI!
Hatuwezi kwenda mahakamani wakati tuna mahakama zetu za umma!! Anayeona anadhalilisha ajitokeze mbele ya mahakama za umma ku-prove otherwise!!!!
Watu wa kawaida wanachofanya ni kufikisha mashitaka kwenye mahakama za umma na wenye mamlaka ndio wanaotakiwa kufuatilia mashitaka hayo!!!
Sisi wananchi wa kawaida hatuna mamlaka hayo!!!
Huna hoja...
Kiongozi Mwandamizi wa umma hatakiwi kuwa na makando makando yoyote!! Kiongozi Mwandamizi anatakiwa wakati wote kubaki clean! Tuhuma dhidi ya Makoda hazijaanza jana wala juzi na wala hazijaanza mwaka huu!! Yeye kama Kiongozi wa umma anatakiwa kujitokeza hadharani na kukanusha kwa ushahidi kwamba yanayosemwa na watu si kweli! Ni kukosa hoja kuwataka watu wa kawaida eti ndio waende mahakamani wakati mwenyewe ndie ana nafasi mzuri ya ku-prove otherwise!!!
Kwamba Makonda alipowataja wauza unga aliwapeleka polisi inaonesha bado hujafamu tofauti kati ya Makonda na wale wanaomtuhumu Makonda!!!!
Narudia na nitarudia tena... wanaomtuhumu Makonda ni wananchi wa kawaida ambao hawana ubavu wa kumpeleka RC huko unakotaka waende!! Wananchi wa kawaida wana mahakama zao zinazojulikana kama Mahakama za Umma!!! Mitandao ya Kijamii kwa dunia ya leo ndio mahakama za umma ambazo wananchi wa kawaida huzitumia kuwashitaki wahalifu wote ambao ni powerful!!!!
Kwavile angepelekwa court of law ingefika wakati wa kutakiwa ku-prove otherwise; basi atumie uwezo huo huo ku-prove otherwise kwenye mahakama za umma!!!!!
Najua wengi wenu kwa kuishiwa hoja mnataka kuaminisha watu kwamba tuhuma hizi zimeanza sasa!!! Msome Mamaphilipo hapa chini: Kisha msome hapa:Hizo posts ni za December 2015
Ukishamsoma, tembelea profile yake halafu judge mwenyewe kama huyo Mama/Dada anaelekea kuwa ni mtu mwenye ushabiki wa kisiasa!!! Kwahiyo hizo tuhuma hazijaanza leo!!!!
Hoja kwamba nendeni mahakamani ni hoja inayotumiwa na wahalifu wote wakubwa duniani pindi wanapofanya uhalifu!!
Wezi wa EPA waliwataka watu waende mahakamani lakini hiyo haikumaanisha kwamba hawakuiba!
Wezi wa Richmond nao walitaka tuende mahakamani au tutoe ushahidi!!
Hata wezi wa Escrow nao walitutaka tutoe ushahidi au twende mahakamani!!!
Hivyo basi, hoja ya ushahidi haijawahi na katu haitapata kuwa sababu tosha ya mtuhumiwa kuwa hajafanya uhalifu kwa sababu tu wananchi wa kawaida wameshindwa kutoa ushahidi!! Hii inatokana na ukweli kwamba, hiyo ndio hoja inayotumiwa na wahalifu wote wakubwa duniani... LETA USHAHIDI.... AU NENDA MAHAKAMANI!
Hatuwezi kwenda mahakamani wakati tuna mahakama zetu za umma!! Anayeona anadhalilisha ajitokeze mbele ya mahakama za umma ku-prove otherwise!!!!
Watu wa kawaida wanachofanya ni kufikisha mashitaka kwenye mahakama za umma na wenye mamlaka ndio wanaotakiwa kufuatilia mashitaka hayo!!!
Sisi wananchi wa kawaida hatuna mamlaka hayo!!!
Na Mchungaji Gwajima, mtumishi wa Mungu, ambaye utukufu wake (anavyodai) ni zaidi ya Rais wa Nchi, naye kaingizwa mkenge kama ametumia ushahidi wa Mange kumtuhumu RC Makonda.
Hahaha! Mpaka hapa atakuwa kashapigiwa simu na wakubwa wamemwambia tulia tu ni upepo utapita. Kinachonishangaza udanganyifu kama huu ni kosa kubwa kinyume kabisa na sheria ya maadili ya umma, zaidi ni kosa la jinai muhusika yupo kimya mamlaka zipo kimya hata ya kihiyo ilianzaga hivihivi mwisho wake kila mtu anajua. Makonda hajakutwa na hatia kinachojadiliwa sasa na walichokitoa akina Gwajima ni tuhuma tu na kuna presumption of innocence. Lakini tuhuma hizi kwa upande wangu zina kila dalili ya kuwa kweli hebu tusubiri muda utasema.
Hoja sio nilitaka wafanye nini bali hoja ni kwamba wahalifu wote hutumia hoja ya kudai ushahidi ili kufifisha tuhuma dhidi yao na si kwamba huwa wanadai ushahidi kwavile wanafahamu wapo clean... la hasha!!!Hapo kwenye red, Wewe ulitaka wafanyeje?
Wewe na wenzako mnaonekana wazi wala hamfahamu kinachoongelewa ni nini!!! Hakuna anayehoji ZERO ya Bashite kwa sababu kupata ZERO sio kosa kisheria!!Kwanza kuwa na zero ni dhambi? Kama ni dhambi nyie munaohoji toeni vyeti vyenu tuvione, hayo yote kwa sababu kasimama na kujitoa kuhusu dawa za kulevya, lakini ukweli utabaki palepale kuwa kuna madhara makubwa, tuache ushabiki, tuache NECTA wafanye kazi
Kisha msome hapaNilikutana naye Koromije Misungwi Mwanza miaka ya 2000 enzi hizo akiitwa DAUDI Bashite. Sifahamu kivipi anaitwa Paul Makonda. Namfahamu in and out
Pia tembelea profile yake uone kama ana ushabiki wa kisiasa!!Nilipigwa butwaa alipoteuliwa. Kujiridhisha nikampigia Mama yake akanithibitishia..Sishangai kinachotokea
Kweli Mkuu manake tunabishana na watu wenye macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii!!!!mkuu achana nao leo nimeshangaa sana baada ya gwajima kusema ana ugeni kutoka huko kijijini kwao
Wote wamegeuka hawataki ushahidi huo!
Nimeshangaaa kweli hata huyu aliyeanzisha uzi huu nae anamshambulia gwajima kutaka asitoe huo ushahidi!
Aisee watanzania wengi ni wanafiki wa kupindukia!
Nyani Ngabu