Kama ni kweli na ushahidi upo....

Kama ni kweli na ushahidi upo....

Hapana au ndiyo yote majibu. Lakini, kama una tetesi huyu mtu ni mwizi nadhani jukumu lako kubwa ni kwenda mahakamani kumshitaki ili haki itendeke. Kupiga makelele hovyo kama mbwa koko maana yake huna uhakika na ni majungu tuu. Na kusema ukweli ni majungu tuu au tuseme blaa blaa za wachungaji feki. Hivi Makonda kapata ukuu wa mkoa mwezi jana au lini? Kaanzia ukuu wa wilaya wakati wa JK na hawa watu wapo hapa hapa na makanisa yao yako hapa hapa. Magu kaja kampa ukuu wa mkoa wapo hapa hapa Dar es salaam hii. Walikuwa wapi? Huu ni upuuzi na inaonyesha kabisa ni kwa kiasi gani madawa ya kulevya ni tatizo kuuuubwa hapa nchini. Kwa taarifa yenu, Kitwanga mnaembez humu kila siku ni madawa haya haya ya kulevya baada ya kuwa anawakamata kwa hiyo kimya kimya yenu mnayosema au mnayotaka. Ni bira kuwataja hadharani kama makonda ili wapige makelele tuwafahamu hata sisi tusiokuwa na mitandao. Now we know them exactly. Makonda kwangu mimi hapaswi kutumbuliwa hata kama vyeti vyake vingekuwa na kutu ya aina gani. Ni kijana jasiri na tunamhitaji. Mabadiliko yatatokea CCM na si kwingineko. Hawa wapinzani tuliowashangilia sasa wameshalipwa na wauza unga na wanawatetea. Hakunaga sheria kwenye upuuzi. Sheria mtu akiua inaweza kumuachia huru kama ana wakili ajuae kupanga maneno. Na ndiyo chimbuko la neno sheria ni msumeno. Itumike kwa vitu vya kawaida si miraaaaa.
Kwanza siyo kweli kwamba ukiwa na tetesi kuwa fulani ni mwizi unatakiwa kwenda mahakamani bali unatakiwa kwenda polisi kuripoti au kulalamika polisi ndiyo wataenda mahakamani maana hiyo ni kesi yao. Lengo la kwenda polisi ni kuripoti ili polisi wachukue hatua, swali je hapa kuna haja gani ya kwenda kuripoti wakati polisi wenyewe wamo humu mtandaoni na masmatifoni yao na wengine wameshasoma kwenye magazetini? Kwenda kuripoti kuna maana gani nyingine zaidi ya kuwataarifu kitu wasichokijua? Sasa tukawataarifu kitu wanachokijua? Watumie intelejensia yao ikibidi wamuhoji Makonda mwenyewe kwa tuhuma hizi za jinai.

Mwisho hoja kwamba walikuwa wapi ni immaterial na haiwezi kusimama sehemu yeyote ile. Makosa ya jinai hayanaga time limit labda mtuhumiwa afe wanaweza wakamuacha sasa wakaja kumshitaki miaka 70 ijayo akiwa hai. Kusema walikuwa wapi walikuwepo ila walikuwa hawajui.
 
Nianze kwa kusema tu kuwa mimi ni mbeba maboksi nisiyejua mengi hususan kwenye hiyo fani ya 'wasomi' wabobezi [wanasheria] ambao ndiyo majiniasi wetu wenye kuongea Viingereza hatari lakini salama. Nimeishia kidato cha nne tu. Kwa hiyo msinihoji sana kuhusu elimu yangu. Ni ndogo sana.

Sasa hapa nilipo na ujinga wangu huu najiuliza maswali kadha wa kadha na sipati majibu.

Hivi kinachodaiwa dhidi ya Makonda ni kosa la jinai?

Kama ni kosa la jinai na kama kweli ushahidi upo, tena ambao ni wa kutosha na kuridhisha kabisa, kwa nini hao watu waolizitoa hizo tuhuma hawaendi kumfungulia kesi mahakamani?

Au haiwezekani kwa raia kwenda kufungua kesi mahakamani kwa manufaa ya umma dhidi ya kiongozi?

Manake mpaka sasa kilichopo au niseme ambacho nakijua mimi kupitia hii mitandao ya kijamii ni maneno tu kuwa Paul Makonda si jina lake halisi.

Jina lake halisi ni Daudi Bashite. Lakini sijaona ushahidi wowote ule uliotolewa na hao watuhumu unaothibitisha hizo tuhuma zao.

Sasa maneno tu peke yake si ushahidi wa lolote maana mtu yeyote yule anaweza kuzua lolote lile dhidi ya yeyote yule kwa sababu yoyote ile.

Nyie 'wasomi', hivi kweli haiwezekani kwenda kumfungulia mashitaka huyo Paul Makonda kama kweli ushahidi wa yanayosemwa dhidi yake upo?

Si mumburute tu mahakamani huko akaaibike rasmi. Au ni majungu tu?

Kwa uzoefu tu wenye taaluma yenu mtusaidie zaidi.
Taarifa za uhalifu zimetolewa hadharani. Ni wajibu wa mtuhumiwa kukanusha hadharani au kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wazushi ikiwa ana Hakika tuhuma dhidi yake ni za uongo.
Serikali kwa upande wake inao wajibu wa kuchunguza shutuma na taarifa za kihalifu na kufikisha watuhumiwa mahakamani.
Ifahamike kuwa yeyote anayevunja sheria ya nchi kwa kosa lolote la jinai huwa ameikosea Jamhuri naye hushtakiwa na Jamuhuri
Aliyetendewa kosa au mlalamikaji huwa ni shahidi wa kwa upande wa serikali
 
Hapana au ndiyo yote majibu. Lakini, kama una tetesi huyu mtu ni mwizi nadhani jukumu lako kubwa ni kwenda mahakamani kumshitaki ili haki itendeke. Kupiga makelele hovyo kama mbwa koko maana yake huna uhakika na ni majungu tuu. Na kusema ukweli ni majungu tuu au tuseme blaa blaa za wachungaji feki. Hivi Makonda kapata ukuu wa mkoa mwezi jana au lini? Kaanzia ukuu wa wilaya wakati wa JK na hawa watu wapo hapa hapa na makanisa yao yako hapa hapa. Magu kaja kampa ukuu wa mkoa wapo hapa hapa Dar es salaam hii. Walikuwa wapi? Huu ni upuuzi na inaonyesha kabisa ni kwa kiasi gani madawa ya kulevya ni tatizo kuuuubwa hapa nchini. Kwa taarifa yenu, Kitwanga mnaembez humu kila siku ni madawa haya haya ya kulevya baada ya kuwa anawakamata kwa hiyo kimya kimya yenu mnayosema au mnayotaka. Ni bira kuwataja hadharani kama makonda ili wapige makelele tuwafahamu hata sisi tusiokuwa na mitandao. Now we know them exactly. Makonda kwangu mimi hapaswi kutumbuliwa hata kama vyeti vyake vingekuwa na kutu ya aina gani. Ni kijana jasiri na tunamhitaji. Mabadiliko yatatokea CCM na si kwingineko. Hawa wapinzani tuliowashangilia sasa wameshalipwa na wauza unga na wanawatetea. Hakunaga sheria kwenye upuuzi. Sheria mtu akiua inaweza kumuachia huru kama ana wakili ajuae kupanga maneno. Na ndiyo chimbuko la neno sheria ni msumeno. Itumike kwa vitu vya kawaida si miraaaaa.
Hapaswi kutumbuliwa kwa kuwa ni jasiri? Kuna watu wengi wapo huko ni majasiri hawana elimu vipi nao watumie vyeti vya ndugu zao maana wengine wana elimu ya darasa la nne lakini wana ndugu zao walikuwa wana PhD wameshatangulia mbele za haki watumie vyeti vyao? Kama kinachohitajika ni ujasiri ajirini vijana achaneni na ukaguzi wa vyeti mje na ukaguzi wa wa siyo jasiri
 
Mkuu Nyani Ngabu,mfumo wa kisheria wa nchi yetu ya Tanzania hauruhusu mtu binafsi kumfungulia mwingine,na kuendesha kesi mahakamani,kesi ya jinai. Kinachotakiwa ni kwa mtu mwenye ushahidi dhidi ya jinai ya mwingine kuuwasilisha ushahidi huo kwa mamlaka zinazohusika,mfano polisi au TAKUKURU,ili hatua stahiki zichukukiwe. Mamlaka hizo na nyinginezo,kama Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ndizo zitakazomshtaki mhusika. Ndiyo kusema,wenye kuamua kushtaki au la ni watawala waliopo kwenye mamlaka hizo iwe ushahidi umekabidhiwa au ule walionao wenyewe.
wenye huo ushahadi basi wapeleke huo ushahidi walionao dhidi ya mtuhumiwa kwa wahusika uliowataja hapo, am sure hamna mwenye cheti chake kati ya hao wanaobwabwaja, matokeo yake wanaweza kuwa nayo lakini si cheti chake, hii itabakia kuwa nimesikia kwa fulani, mtu flani kasema.
 
Hili swala la Makonda mbona limekuwa complicated-in this day and age it should not be happening-could it be analindwa na the master-why don't he just come out and cleanse himself of the dirt
He will never come out coz he got nothing to show out.
 
Nianze kwa kusema tu kuwa mimi ni mbeba maboksi nisiyejua mengi hususan kwenye hiyo fani ya 'wasomi' wabobezi [wanasheria] ambao ndiyo majiniasi wetu wenye kuongea Viingereza hatari lakini salama. Nimeishia kidato cha nne tu. Kwa hiyo msinihoji sana kuhusu elimu yangu. Ni ndogo sana.

Sasa hapa nilipo na ujinga wangu huu najiuliza maswali kadha wa kadha na sipati majibu.

Hivi kinachodaiwa dhidi ya Makonda ni kosa la jinai?

Kama ni kosa la jinai na kama kweli ushahidi upo, tena ambao ni wa kutosha na kuridhisha kabisa, kwa nini hao watu waolizitoa hizo tuhuma hawaendi kumfungulia kesi mahakamani?

Au haiwezekani kwa raia kwenda kufungua kesi mahakamani kwa manufaa ya umma dhidi ya kiongozi?

Manake mpaka sasa kilichopo au niseme ambacho nakijua mimi kupitia hii mitandao ya kijamii ni maneno tu kuwa Paul Makonda si jina lake halisi.

Jina lake halisi ni Daudi Bashite. Lakini sijaona ushahidi wowote ule uliotolewa na hao watuhumu unaothibitisha hizo tuhuma zao.

Sasa maneno tu peke yake si ushahidi wa lolote maana mtu yeyote yule anaweza kuzua lolote lile dhidi ya yeyote yule kwa sababu yoyote ile.

Nyie 'wasomi', hivi kweli haiwezekani kwenda kumfungulia mashitaka huyo Paul Makonda kama kweli ushahidi wa yanayosemwa dhidi yake upo?

Si mumburute tu mahakamani huko akaaibike rasmi. Au ni majungu tu?
Unapoteza muda.
Kazi iliyopo ni yeye mtuhumiwa kuja kujisafisha kwa kutoa ushahidi wa kutosha. BEYOND REASONABLE DOUBT. Ni sawa na kusema tafiti hupingwa kwa tafiti.

Rais Obama alipozushiwa kuwa yeye si mmarekani, hakuwauliza waliomtuhumu walete ushahidi, tuhuma zilikuwa nzito mno.
Sasa kwa vile haikuwa kweli, akatoa cheti cha kuzaliwa kilichohakikiwa na mamlaka zote zinazohusika.

Huo ndio mfano wa kujitakasa.
Kupiga zumari hapa kama wewe hakutaondoa mada.

Msaidie kuleta ushahidi. Basi.
Mimi ni neutral.

ELIMU ELIMU ELIMU
[HASHTAG]#VYETI[/HASHTAG]
 
Hahaaa...nipo huku Ikungulyabashashi kaka.

Nasikia tu hadi wachungaji wanasema eti Paul Makonda si jina lake bali jina lake ni Daudi Bashite na ushahidi wanao lakini hawatuonyeshi huo ushahidi.

I wonder why!

Things that make you go hmm....
Kuhisiwa tu ni kosa la kimaadili. Ok, tuseme sio kosa.

Basi wakate watu mdomo, toa documents waambie watu mnaona sasa? Mnaonaa?
Baba baba baba, si jina tu, vyeti hamna pale
 
Mmmmmmmm
Kuna mahakama ya east Africa community iko wazi yeyote aweza kwenda kufungua kesi ikasikilizwa kama ananeno na mtu

Kama nakumbuka na kiongozi mmoja awamu ya nne aliisifia na akasema njemba mmoja tu aliyekuwa anadiliki kwenda kufungua kesi kule na amezigalagaza serikali zilizopita nyingi na si mwingine naye ni marehem mchungaji MTIKILA



Mmmmmmmmhhhhh.....una jua how EACJ inavyo fanya kazi au umeongea tuu?
 
Alivyo wataja wenzake tuliona policcm kwenye harakati, alivyo tajwa yeye sasa policcm wameufyata.
 
Gwajima kasema sentensi tata. Hivyo ni vyema atoe ushahidi angalau wa vyeti ili angalau isaidie.

1. Kasema Daudi Bashite hakuchaguliwa kwenda shule ya serikali na akajiunga na Pamba Sec. Wakati kiukweli PAmba mwaka 1997 ilikuwa shule ya serikali.

2. Hata kama Daudi Bashite alikuwa evening class, swali linakuja tena kutokana na maneno yake kwamba inakuwa je evening class akafukuzwa shule.
3. Anacheti cha Daudi Bashite chenye zero, mimi naomba akionyeshe hicho cheti chenye zero kinafanana je?
 
He/she who alleges must prove.

Allegations don't just prove themselves.

So did I miss the memo or something?
So long as you can not prove them wrong, the only way is to seek public compassion.
Phrases won't do you any good.
Come out and show what you got!
 
Ndio maana nimeleta uzi hapa nikashauri Gwajima awape huo ushahidi wabunge ili jambo hili lihamie Bungeni ila mods uzi wangu wakauunganisha.

Mods hawa sometimes sijui wanatumia vigezo gani mimi huwa siwaelewi kabisa
Ushahidi ni kuwa yule ni Bashite
 
Kwanza siyo kweli kwamba ukiwa na tetesi kuwa fulani ni mwizi unatakiwa kwenda mahakamani bali unatakiwa kwenda polisi kuripoti au kulalamika polisi ndiyo wataenda mahakamani maana hiyo ni kesi yao. Lengo la kwenda polisi ni kuripoti ili polisi wachukue hatua, swali je hapa kuna haja gani ya kwenda kuripoti wakati polisi wenyewe wamo humu mtandaoni na masmatifoni yao na wengine wameshasoma kwenye magazetini? Kwenda kuripoti kuna maana gani nyingine zaidi ya kuwataarifu kitu wasichokijua? Sasa tukawataarifu kitu wanachokijua? Watumie intelejensia yao ikibidi wamuhoji Makonda mwenyewe kwa tuhuma hizi za jinai.

Mwisho hoja kwamba walikuwa wapi ni immaterial na haiwezi kusimama sehemu yeyote ile. Makosa ya jinai hayanaga time limit labda mtuhumiwa afe wanaweza wakamuacha sasa wakaja kumshitaki miaka 70 ijayo akiwa hai. Kusema walikuwa wapi walikuwepo ila walikuwa hawajui.
Unahisi umemsaidia mtoa mada kweli?
 
Watetezi wa Makonda naona mnavyozidi kujitokeza...walianza washikaji, wakaja wenzi, wakaja marafiki na sasa ndugu nao wameamua kujitokeza, hawataki kubaki nyuma. Ninao ushauri mzuri kwenu wote mliotajwa hapo juu, kama kweli mna nia thabiti ya kumsaidia, kwamba mtakuwa mmemtendea haki isiyo na kifani kama mtampa ushauri huu.

Akusanye vyeti vyake vyote aende navyo kwa Waziri Ndalichako vithibitishwe halafu awaite waandishi wa habari kuwapa tahadhari wote waliovalia njuga swala la elimu yake kwamba kuanzia sasa jina Daudi Bashite limepigwa marufuku kutajwa na kuwaagiza polisi wakiongozwa na kamanda Sirro kumshughulikia bila huruma yeyote atakayekaidi.
 
Wa Tanzania wengi ni bendera fuata upepo


Mangi kasema ,gwajima kasema ,nanihi kasema

Mtanzania unaweza kumchezea na kumshika akili ,mpe gossips tu utamhamisha kwenye agenda
Nimeipenda saaana, mange mange. Wajinga saaana, watu hawtumii akili zao kutafuta mambo. Wanakaliaaaa mange mange. Ni kanani hako kamange?
 
Back
Top Bottom