Kama ni kweli na ushahidi upo....

Kama ni kweli na ushahidi upo....

Tuombe uhai,jumapili hii Gwajima kasema rasmi anavaa sucide vest na anatiririka na viashiria vyote-proof kamili mpaka waalimu na wanafunzi-tuombe tuu hii misa isifanyiwe figisu figisu-na itakuwa live you tube
kanisa linageuzwa uwanja wa siasa...
hivi huyu baba kwanini wanamlea hivi
 
Watanzania tu watu wa ajabu sana.

Majuzi tu hapa walisema Makonda ana sijui magari ya kifahari..majumba..manini nini sijui....lakini yote hayo sasa yashapita.

Kinachobamba ni Daudi Bashite.

Na sina shaka kabisa siku Makonda akiamua kuhamia CHADEMA atapokewa kwa matarumbeta na mavuvuzela.

You watch....
na watasema hakua na makosa

hapo ndipo utajua ""NOBODY CAN STOP REGGAE"
 
Inasikitisha kuona hujaelewa kifungu tajwa halafu unaniita muongo. Wewe kama ni Mwanasheria basi ni kanjanja. Kifungu ulichokitaja kinataka Mwendesha mashtaka apate ruhusa ya Rais. Upo? Rais ndiye mkuu wa Serikali. Jiongeze
Msomi jifunze tena kusoma na kutafsiri sheria...kifungu kiko wazi kabisa. Isipokuwa hujaelewa. Kivunje hicho kifungu ukielewe.
 
Ni kweli kama iko verified amefoji vyeti. Lakini kwa vile Mange ama Ngwajima kaongea ndo wote tuamini kafoji vyeti ?? wengine hatuko hivyo. Sasa kama kila katuhuma Mange anakokasema lazima katolewe maelezo itakuwa Taifa la ajabu sana.

Mie naamini tuhumu za kutolea maelezo ni zile zilizoambatana na ushahidi, kama vile living certificates za Paul na Daudi zilizo na picha. Lakini mtandaoni tu ujibu tuhuma, itakuwa uhuni uliopita kiwango.
Na ndiyo hoja ya NN kuwa wenye ushahidi kwanini wasiende mahakamani? Hapa tupo pamoja

Upande wa pili, kukamatwa Gwajima kulikuwa na taharuki kwasababu ni maarufu na ana kundi nyuma yake. Hakuna ushahidi uliopatikana kama ilivyo kwa tuhuma za Mange n.k.

Like wise madai yanayotolewa na 'almaarufu' Gwajima yanabeba uzito ule ule aliyoubeba wakati anatuhumiwa. Si lazima Paul ajibu, lakini kuna political impact hapa

Ukiwa na Ng'ombe 10 mtaani pengine hawatajua kama una zizi.
Ukibeba kilo moja ya nyama iliyooza Wilaya nzima watajua maana hiyo ndiyo habari

Paul ni mwakilishi wa Rais.
Ana njia mbili, kusema si kweli au ni kweli au njia ya pili ni kukaa kimya.

Kwa mtu aliyezoea kutumia media inapotokea akakaaa kimya hoja ya Gamba la Nyoka (Tacitly accepting allegations) inabeba nguvu

Tatizo, Paul atakuwa kilo moja ya nyama iliyooza itakayozungumzwa kila uchao

Akiwa mwakilishi wa Rais, atambebesha Rais kilo moja ya nyama iliyooza na kuwa story hata kama Rais ana ng'ombe 1000 walionona.

Zoezi zima litakuwa halina maana kwasababu linagubigwa na ambiguity ya double std

Kwavile alitumia media kuwatuhumu watu wengine bila ushahidi kama Gwajima, what goes around comes around, anajikuta automatic analazimika kusema neno
 
SAA SABA YUKO WAPI AU NDO YUKO SAFARI KAPELEKA MZIGO AU KAUSHIA CHINA MBN WAMEUCHUNA KAMA HAWAJAWAHI VAA FULANA ZAKE NA KIDHUNGU CHA OXFORD
 
Na ndiyo hoja ya NN kuwa wenye ushahidi kwanini wasiende mahakamani? Hapa tupo pamoja

Upande wa pili, kukamatwa Gwajima kulikuwa na taharuki kwasababu ni maarufu na ana kundi nyuma yake. Hakuna ushahidi uliopatikana kama ilivyo kwa tuhuma za Mange n.k.

Like wise madai yanayotolewa na 'almaarufu' Gwajima yanabeba uzito ule ule aliyoubeba wakati anatuhumiwa. Si lazima Paul ajibu, lakini kuna political impact hapa

Ukiwa na Ng'ombe 10 mtaani pengine hawatajua kama una zizi.
Ukibeba kilo moja ya nyama iliyooza Wilaya nzima watajua maana hiyo ndiyo habari

Paul ni mwakilishi wa Rais.
Ana njia mbili, kusema si kweli au ni kweli au njia ya pili ni kukaa kimya.

Kwa mtu aliyezoea kutumia media inapotokea akakaaa kimya hoja ya Gamba la Nyoka (Tacitly accepting allegations) inabeba nguvu

Tatizo, Paul atakuwa kilo moja ya nyama iliyooza itakayozungumzwa kila uchao

Akiwa mwakilishi wa Rais, atambebesha Rais kilo moja ya nyama iliyooza na kuwa story hata kama Rais ana ng'ombe 1000 walionona.

Zoezi zima litakuwa halina maana kwasababu linagubigwa na ambiguity ya double std

Kwavile alitumia media kuwatuhumu watu wengine bila ushahidi kama Gwajima, what goes around comes around, anajikuta automatic analazimika kusema neno

Makonda alipowataja akina Gwajima hakuishia hapo tu aliwapeleka polisi labda kisha mahakamani ili wakasafishwe na mahakama wawe weupe peee.

Wenda Makonda anawasubiria watoe vyeti feki ili atoe vyake na awakamate kwa kufoji nyaraka za serikali, na wenda ndio maana wamekalia kupiga domo. Watoe ushahidi si wanao walisema, wautoe hata hapa JF watu wasome wapime.

Tuhuma za mtandaoni huwezi kujibu maana hujui kesho wataibuka na nini tena. Na kitu kingine kinacho demand ushahidi ulio wazi ni kwamba, walikuwa wapi wakati wote huo kumtaja tangu uhakiki umeanza, amekuwa mkuu wa wilaya mpaka leo alipotaja watu wa madawa ya kulevya nao ndo wanamtaja?
 
Makonda alipowataja akina Gwajima hakuishia hapo tu aliwapeleka polisi labda kisha mahakamani ili wakasafishwe na mahakama wawe weupe peee.

Wenda Makonda anawasubiria watoe vyeti feki ili atoe vyake na awakamate kwa kufoji nyaraka za serikali, na wenda ndio maana wamekalia kupiga domo. Watoe ushahidi si wanao walisema, wautoe hata hapa JF watu wasome wapime.

Tuhuma za mtandaoni huwezi kujibu maana hujui kesho wataibuka na nini tena. Na kitu kingine kinacho demand ushahidi ulio wazi ni kwamba, walikuwa wapi wakati wote huo kumtaja tangu uhakiki umeanza, amekuwa mkuu wa wilaya mpaka leo alipotaja watu wa madawa ya kulevya nao ndo wanamtaja?
Hivyo hiyo point,"Walikuwa wapi" does it really hold water AU mimi nazeeka vibaya???????
 
Wa Tanzania wengi ni bendera fuata upepo


Mangi kasema ,gwajima kasema ,nanihi kasema

Mtanzania unaweza kumchezea na kumshika akili ,mpe gossips tu utamhamisha kwenye agenda


Na mimi nasema....anayemtuhumu kijana shupavu Makonda akamfungulie kesi mahakamani si mtandaoni.
 
Hivyo hiyo point,"Walikuwa wapi" does it really hold water AU mimi nazeeka vibaya???????

Forget about whether it holds water or piss....bottom line is where's the evidence that proves he took/ bought/ used someone else's identity to get to where he is?

Have you seen such evidence?
 
Hivyo hiyo point,"Walikuwa wapi" does it really hold water AU mimi nazeeka vibaya???????

Yes it does. Wao watoe ushahidi wapublish hata facebook, jf kokote kule. Maneno maneno yanachosha.
 
Forget about whether it holds water or piss....bottom line is where's the evidence that proves he took/ bought/ used someone else's identity to get to where he is?

Have you seen such evidence?
I thought you were bigger then this "Ukabila" scourge. Makonda is in the frying pan wewe una abandon principles zako
 
Mkuu Nyani Ngabu,mfumo wa kisheria wa nchi yetu ya Tanzania hauruhusu mtu binafsi kumfungulia mwingine,na kuendesha kesi mahakamani,kesi ya jinai. Kinachotakiwa ni kwa mtu mwenye ushahidi dhidi ya jinai ya mwingine kuuwasilisha ushahidi huo kwa mamlaka zinazohusika,mfano polisi au TAKUKURU,ili hatua stahiki zichukukiwe. Mamlaka hizo na nyinginezo,kama Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ndizo zitakazomshtaki mhusika. Ndiyo kusema,wenye kuamua kushtaki au la ni watawala waliopo kwenye mamlaka hizo iwe ushahidi umekabidhiwa au ule walionao wenyewe.
Wapo wapi sasa hao wenye ushahidi waupeleke takukuru.Watu wanabweka tu na kupoteza muda wao bure kujadili kitu kisichokuwepo.Unamtuhumu mtu halafu unamtaka huyo mtu akupe ushahidi!
Hii yote baada ya mapapa ya unga kina Mbowe kuguswa,wanarudi na ngojera hizi ili kutuondoa njiani.
 
"MkamaP, post: 19927669, member: 1213"]Makonda alipowataja akina Gwajima hakuishia hapo tu aliwapeleka polisi labda kisha mahakamani ili wakasafishwe na mahakama wawe weupe peee.
Ingawa Gwajima hakufikishwa mahakamani, jambo lililomchafua, nadhani hoja yako ni kama ile ya NN na nimeiunga mkono.
Wenye ushahidi wa kutosha wafungue kesi, inaruhusiwa
Wenda Makonda anawasubiria watoe vyeti feki ili atoe vyake na awakamate kwa kufoji nyaraka za serikali, na wenda ndio maana wamekalia kupiga domo. Watoe ushahidi si wanao walisema, wautoe hata hapa JF watu wasome wapime.
Na huenda wenye ushahidi wanachelea kuuweka kwa sheria ya mtandao ili wasikamatwe kama ulivyosema
Tuhuma za mtandaoni huwezi kujibu maana hujui kesho wataibuka na nini tena.
Lakini Paul ni bingwa sana wa kujibu tuhuma za mitandao, vipi hili!

Walikuwa wapi wakati wote huo kumtaja tangu uhakiki umeanza, amekuwa mkuu wa wilaya mpaka leo alipotaja watu wa madawa ya kulevya nao ndo wanamtaja?
Kumbuka kuna makundi mawili hapa
1. Waliotuhumiwa tu bila ushahidi kama Gwajima. Wana hasira za kutosha
2.Walioguswa na zoezi kwa namna moja kama njia zao za maisha

Ni kawaida (mambo kama haya) hutokea . Sidhani 'walikuwa wapi ni hoja nzito'
Mwigulu hakuwa na hili wala lile akajikuta katika wakati wa 'madelu'

Kama utakumbuka, kulikuwa na tuhuma za Mbunge wa Temeke Bw Kihiyo kutokuwa na elimu aliyodai. Ilianza kama hivi, uchunguzi ulipofanyika ikabainika ni kweli na ndio mwanzo wa neno Kihiyo kutumika

Hizi ni allegations zinazomgusa mtu wa karibu sana na Rais.
Kuziacha tu zipite inawezekana, lakini zina ramifications kubwa sana mbele ya safari

Tayari tunasikia wengine wakidai anaachwa kwasababu ni 'homeboy' au nepotism
Tayari kuna picha ya double standards kwa yale yanayosemwa na Viongozi
Tayari kuna hisia zoezi lilikuwa na makusudi mengine, na hivyo kulifanya redundant

Kuliacha tu kama lilivyo hakuna tatizo, shida ni impact yake in longterm tena ikimgusa Rais kama mteule na kiongozi aliyeagiza zoezi zima lifanyike

Mkuu Paul ametumia media sana kwa mengi mengine yakiwa ya publicity tu

Katika hili si lazima ajibu mitandao, lakini ana wajibu wa kutumia media zile zile anazotumia kufafanua. Kukaa kimya kunaeleza jambo na kuigusa serikali nzima
 
I thought you were bigger then this "Ukabila" scourge. Makonda is in the frying pan wewe una abandon principles zako

I'm actually sticking to my principles by asking for evidence before reaching any kind of conclusion.

This has nothing to do with tribalism or anything of that nature.

I just can't condemn someone based on conjecture.

Where is the evidence that shows Paul Makonda used/ bought someone else's identity to get to where he is now?

That's a very straightforward question. Don't dance around it. Answer it.
 
Jukumu la kuthibitisha tuhuma ni la mleta tuhuma (mtuhumiwa) na si la mtuhumiwa.Wanaomtuhumu hivyo waje na ushahidi na kusajili sehemu husika ili hatua stahiki zifate.
Kitu kingine cha kujiuliza ni kwamba huyu ni kiongozi wa uma na sheria ya mtandao tumeona jinsi baadhi ya watu walivyo isha baada ya kuwachafua viongozi kadhaa mtandaoni.

Lakini cha kushangaza toka hili makonda limeanza ku trend mtandaoni hatujaskia hatua yoyote iliyochukuliwa dhidi ya hao walionzisha na kusambaza uvumi huu, sasa hauoni huu ukimya wa TCRA na mamlaka zingine husika unatupa mashaka kwamba lisemwalo lipo?
 
Back
Top Bottom