Kama ni kweli na ushahidi upo....

Kama ni kweli na ushahidi upo....

Katika suala hili Makonda amedhihirisha ni mtu makini na mjanja sana. Anajua fika ngoma ya watanzania huwa haikeshi, hivyo katulia tulii maana anajua ikija kiki nyingine, watanzania wote watahamia kwenye kiki mpya. Ziko wapi kiki zifuatazo?
[HASHTAG]#bensaanane[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Njaa[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Ukame[/HASHTAG]
[HASHTAG]#freegodblesslema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#ListMadawaYaKulevya[/HASHTAG]
[HASHTAG]#WabungenaMakonda[/HASHTAG]
[HASHTAG]#ListMashoga[/HASHTAG]
#n.k
Kwa hili Daudi Kaota Mkia hata likija jambo kubwa namna gani Mkia wake hauta katika.
Tangu lineanza kuongelewa na dhamira ya Mkuu Wa jaya kuhusu vyeti fake taarifa sahihi tayari ziatakuwepo kilichobaki ni ukabila. Angekuwa kabila la kwangu mudamrefu U RC ungekuwa umeyeyuja na yuko kisutu kwa kughushi Bahati yakes sio kabila langu Bali kabila la Yule
Ataishi na jina la kuazima tu. Hakuna namna nyingine
 
Ushahidi anao Gwajima na ndio maana juzi alifuatwa nyumbani kwake na wale jamaa ambao wao wanapoamrishwa tu wanakurupuka na kutumia nishati yetu ya mafuta bure hata km wanaona kile wanachokifuata hakina mashiko
 
Ahahahaaa....kwa hiyo kumbe huyo Gwajima naye hakuuonyesha huo ushahidi anaodai anao.

Hivyo hatuwezi hata kujua kama kwamba [1] anao kweli na [2] ni ushahidi unaotosha na kuridhisha.

Hivyo hata yeye anaweza akawa anazusha tu ili kupoteza kabisa lengo na kuzua mparaganyiko tu.
Ushahidi WA Nini ? Vetting mamlaka zitakuwa tayari kuonyesha zikivyo poyoyo ? NN uko kazini hapa kujaribu kumwokoa mhalifu
Sidhani kama anaokoleka kwa kuwa utetezi hautabadiri vyeti fake kuwa genuine

Angekuwa anasingiziwa kwa kimbelembele alichonacho tayari angewananga kina Gwajima nimatokeo yake kwa kubandika cheti chake.
Kanaswa
Jitahudini kusingizia kuwa anasemwa kwa kuwa anapambana na ngada mazwazwa WA ktz watawaunga mkono.
 
Aonyeshe vyeti ili iweje?

Kwa amri ya nani?

Na akionyesha mtakubali au mtahamisha magoli na kudai hivyo alivyovionyesha navyo ni feki?

Hii nchi bana....
Upo kazini hapa kujaribu kuzuia ukweli. Sidhani kama utaweza. Mkuu Wa ulinzi na usalama WA mkoa kanaswa
Sehemu pekee ya kumuhukumu kwa waki na yeye kujitetea ni kwenye social media huko kwingine wako busy kujaribu kufunika kombe ili....
 
Ushahidi WA Nini ? Vetting mamlaka zitakuwa tayari kuonyesha zikivyo poyoyo ? NN uko kazini hapa kujaribu kumwokoa mhalifu
Sidhani kama anaokoleka kwa kuwa utetezi hautabadiri vyeti fake kuwa genuine

Angekuwa anasingiziwa kwa kimbelembele alichonacho tayari angewananga kina Gwajima nimatokeo yake kwa kubandika cheti chake.
Kanaswa
Jitahudini kusingizia kuwa anasemwa kwa kuwa anapambana na ngada mazwazwa WA ktz watawaunga mkono.
Kwa hiyo ushahidi/ ithibati kuwa kweli kadanganya kuhusu vyeti vyake si suala la muhimu, sio?
 
Kwa hiyo ushahidi/ ithibati kuwa kweli kadanganya kuhusu vyeti vyake si suala la muhimu, sio?
Huyu ni Mkuu Wa mkoa ndugu NN
Angeambiwa anaendesha gari pasipo leseni naamini angeweka copy ya leseni yake kuonyesha honesty
Kuhusu hili angeweza pia kuweka cheti chake hata kama kina D Tatu kikionyesha majina na Shule aliyosoma then kama alibadiri jina Fulani ataeleza lakinj hapa pasipo ushahidi Gwajima na wengine wamaeleza jambo husika kwa mlolongo ambao ingekuwa anapakaxiwa angeukanusha kwa urahisi zaidi.
Afanyeje wakati Gwajima ansobekana yuko well informed kuhusu mbinu akizotumia kufanikisha uhalifu wake na kuna mengine aweza kuwa ameyahifadhi akimsuburi kanushe.
Waandishi wanamhoji yeye anawatuma kwa baba yake !
 
Kwa hiyo ushahidi/ ithibati kuwa kweli kadanganya kuhusu vyeti vyake si suala la muhimu, sio?
Yeye ndiye mwenye ushahidi na ithibati ya uhakika kwa kuwa vyeti hutolewa kwa mhiitimu na sio jurani au ndugu. Wanamjua majina yake na Shule alizosona O,level
Kuweka Mambo sawa yeye aweke vyeti vyake
 
Yeye ndiye mwenye ushahidi na ithibati ya uhakika kwa kuwa vyeti hutolewa kwa mhiitimu na sio jurani au ndugu. Wanamjua majina yake na Shule alizosona O,level
Kuweka Mambo sawa yeye aweke vyeti vyake
Hujamsikia Gwajima akisema anao ushahidi ofisini kwake?
 
Hujamsikia Gwajima akisema anao ushahidi ofisini kwake?
Gwajima atakuwa na nakala tu naamini vyeti orijino anavyo Paul na sio Daud
Daudi wanasema alizungusha na ukizungusha unabaki na leaving cert. Lakini Paul alifaulu kwa hiyo yeye anacho cheti. Anavyotumia kwenye CV zake aweke hadharani tu.
Anakuteseni Bure kuwatuma kubadiri upepo
RC hadi Sasa Kaota Mkia WA vyeti feki kuukata ni kutoka na ukweli wake wote kinyume na tuhuma
 
Amini usiamini vilaza wa kutupwa nchini Tanzania waliweza kuungaunga elimu hadi wengine wao wakaukwaa uprofessa. Hebu fikiria mtu aliyepata sufuri darasa la saba, akapata sufuri darasa la kumi na mbili, akapata mwanya wa kutoka nje ya Tanzania na baada ya miaka kumi anarudi akiwa ni profesa na kuanza kufundisha chuo kikuu! Huu ni mfano moja tu kati ya mengi tu na kuficha na kukwepa fedheha inayoweza kuwapata wanakimbilia siasa...na wako wengi!

Yeyote anayemtetea Makonda namweka kwenye kundi hili...wanajishuku yanaweza yakawapata yanayompata Bashite hivyo lazima watafute namna ya kujihami. Ukipitia JF utakuta mada inayowasema madaktari wetu feki waliojaa kwenye taasisi mbalimbali. Mimi huyo Mange unayemsema hata simjui wala sisomi habari zake, nasikia tu akitajwa humu. Je na wewe Ibambasi uko kundini? Mkuki kachomwa Tomaso, mbona damu unavuja wewe?
Sasa wewe mzee na umri wako wote unakuwa mfuasi wa mwenyekiti aliyezungusha kidato cha NNE. Mtu ambaye ana tuhuma za mihadarati na kuuza chama!
 
1912b3785856b23fee121e06cecbfe25.jpg
 
The comment posted 8 months ago mentioning bashite family by name, and likewise mama Daudi complete the initial name, as Daudi Bashite.
 
The comment posted 8 months ago mentioning bashite family by name, and likewise mama Daudi complete the initial name, as Daudi Bashite.
Yani baada ya kuona hii comment ndo nimeamini kumbe kweli hilo ni jina lake
 
Back
Top Bottom