Kama ni kweli na ushahidi upo....

Kama ni kweli na ushahidi upo....

Unamtetea au VIP? Approve mwenyewe kwamba jina lake ni Paulo, na kuhusu elimu aite press conference aonyeshe cheti cha LA saba mpaka muccobs kumbuka pia kuna walio soma nae primary, secondary na chuo hvo watadhibitisha
 
Unamtetea au VIP? Approve mwenyewe kwamba jina lake ni Paulo, na kuhusu elimu aite press conference aonyeshe cheti cha LA saba mpaka muccobs kumbuka pia kuna walio soma nae primary, secondary na chuo hvo watadhibitisha
Lubadilisha jina sio kosa kwa mujibu wamsheria za nchi.

Tunaomba mtuambie shida tunayotaka kujua hapa ni ipi?
- amebadili jina?
- amefoji cheti?
- amefeli?
Tunataka ushahidi pasi chenga upelekwe necta ili wamchukulie hatua za nidhamu, namba zao zimetolewa kwa yeyote anayetaka kumshitaki mtu aliyefoji cheti, mbona nyinyi mnapiga kelele mitandaoni badala ya kushitaki necta?
 
Kama wapo wenye ushahidi watajitokeza tu lakini napata mashaka juu ya ukweli wa jambo hilo maana watanzania kiukweli hawaeleweki!!!!
 
Mbona Daudi yeye aliwatangaza watu bila ushahidi? Inashangaza kdg kuona umeona uchague upande wa kuushauri kati ya pande mbili sitaki kuamini kama ni coincidence tu,kwavile katika watanzania watano basi wanne wanaweza kuwa wamenunuliwa i hope ww sio katika hao wanne.Lakini yeyote yule mwenye akili timamu ni rahisi kujiuliza why umeona ni rahisi zaidi kuwashauri wanaomtuhumu Daudi kuliko kumshauri Daudi atoke nje na vyeti vyake kuzijibu hizi tuhuma???
 
Lubadilisha jina sio kosa kwa mujibu wamsheria za nchi.

Tunaomba mtuambie shida tunayotaka kujua hapa ni ipi?
- amebadili jina?
- amefoji cheti?
- amefeli?
Tunataka ushahidi pasi chenga upelekwe necta ili wamchukulie hatua za nidhamu, namba zao zimetolewa kwa yeyote anayetaka kumshitaki mtu aliyefoji cheti, mbona nyinyi mnapiga kelele mitandaoni badala ya kushitaki necta?
Mbona watuhumiwa wa dawa zile aliwaitia press conference? Cha msing yeye ajitokeze akanushe, kuwa na zero kama watu wanavyosema haimaanish kuwa ndo avuliwe cheo
 
Nyani ngabu umeongea vizuri sana, hao wenye ushahidi kuhusu Mr makonda waende mahakamani, badala ya kuendelea kuandika sana kwenye mitandao ya kijamii
 
Lubadilisha jina sio kosa kwa mujibu wamsheria za nchi.

Tunaomba mtuambie shida tunayotaka kujua hapa ni ipi?
- amebadili jina?
- amefoji cheti?
- amefeli?
Tunataka ushahidi pasi chenga upelekwe necta ili wamchukulie hatua za nidhamu, namba zao zimetolewa kwa yeyote anayetaka kumshitaki mtu aliyefoji cheti, mbona nyinyi mnapiga kelele mitandaoni badala ya kushitaki necta?
Tuhuma alizonazo ni kutumia cheti cha mtu!! Na kwavile cheti hakikuwa chake; si tu amefanya fraud kwa kutumia cheti cha mtu mwingine bali aliendeleza fraud kwa kufoji cheti cha kuzaliwa kitakachoendena na majina ya cheti alichonunua!!

Mafisadi kwenye nchi ziliyojaa ufisadi hawawezi kupelekwa kwenye mahakama ambazo watuhumiwa wa ufisadi ndio wenye maamuzi yao huko!! Mafisadi kwenye nchi kama hizo hupelekwa kwenye mahakama za umma!! Mitandao ya kijamii ni moja ya mahakama za umma! Kwavile angepelekwa kwenye court of law ungefika wakati angetakiwa kujitetea na ku-prove otherwise; ndivyo hivyo hivyo anavyotakiwa kwenda mbele ya mahakama ya umma ku-prove otherwise!!!

Kinyume chake; tuhuma dhidi yake hazitasimama kwa sababu tuhuma hizi hazijaanza jana wala leo!!!!!!!
 
Mbona watuhumiwa wa dawa zile aliwaitia press conference? Cha msing yeye ajitokeze akanushe, kuwa na zero kama watu wanavyosema haimaanish kuwa ndo avuliwe cheo
Wale watuhumiwa yeye aliwapeleka kwenye mamlaka husika 'polisi' wahojiwe kwa mujibu wa sheria.

Na sisi tunachosema mnaomtuhumu makonda, mumpeleke kwenye mamlaka husika Necta kwa kuwasilisha malalamiko yenu kuwa amefoji cheti ili necta wafanyie kazi

Hizi kelele za mtandaoni zonapoteza muda wa kufanya kazi.

Hata Makonda angeandika ile list na kuituma kwenye mitandao ya jamii angetupotezea tu muda, ndio maana aliwapeleka kwenye mamlaka husika.
 
Naongeza swali, hivi kubadilisha jina ni kosa kwa mujibu wa sheria za nchi? Kwa elimu yangu ndogo ya darasa la 3 najua kuwa sheria ya nchi inaruhusu mtu kubadilisha jina kwa sababu yoyote aliyonayo, ili mradi amefuata hatua stahiki ya kula kiapo kwa mwanasheria au mahakama na kwenda kusajili kiapo chake pale wizara ya ardhi sijui mnaita 'deed poll'.

Ndio maana tunao watu wengi wamebadilisha majina na tunawafahamu (hata wewe unayesoma lazima unamfahamu mtu aliyebadili jina walau mmoja) hiyo ndio inawarahisishia wanawake wanaoolewa na kutaka kutumia majina ya waume zao legally waweze kubadilisha majina yao ya kuzaliwa na kuyatumia majina ya waume zao legal bila shida.

Hebu tusaidieni kutufafanulia,
- issue ni kufeli?
- issue ni ku adilisha jina?
- issue ni kututoa kwenye vita ya madawa ya kulevya?

Maana hatuelewi.
inshu ni kwanini mbowe atajwe kwenye list ya madrug lords.? hayo mengine yatakuja tuu .
 
Tuhuma alizonazo ni kutumia cheti cha mtu!! Na kwavile cheti hakikuwa chake; si tu amefanya fraud kwa kutumia cheti cha mtu mwingine bali aliendeleza fraud kwa kufoji cheti cha kuzaliwa kitakachoendena na majina ya cheti alichonunua!!

Mafisadi kwenye nchi ziliyojaa ufisadi hawawezi kupelekwa kwenye mahakama ambazo watuhumiwa wa ufisadi ndio wenye maamuzi yao huko!! Mafisadi kwenye nchi kama hizo hupelekwa kwenye mahakama za umma!! Mitandao ya kijamii ni moja ya mahakama za umma! Kwavile angepelekwa kwenye court of law ungefika wakati angetakiwa kujitetea na ku-prove otherwise; ndivyo hivyo hivyo anavyotakiwa kwenda mbele ya mahakama ya umma ku-prove otherwise!!!

Kinyume chake; tuhuma dhidi yake hazitasimama kwa sababu tuhuma hizi hazijaanza jana wala leo!!!!!!!
Tunawaombeni ushahidi wa hivyo vyeti vilivyofojiwa na cheti chake original ili tuweze cu compare na mvipeleke necta ili wamchukulie hatua kama wanaofoji vyeti wengine.

Kusema tu amefoji cheti bila kuleta ushahidi ni kupotezeana muda, eti kisa 'fulani' kasema, mtu anaweza kusema chochote kile maana mdomo ni male yake na halipii kuongea.

Ndio maana makonda alipotaja 'watuhumiwa' wa dawa za kulevya, hakuishia kutaja tu, aliwapeleka polisi ili wawachunguze, wengine wanaojijua wanahusika na dawa za kulevya wakakimbilia mahakamani wasihojiwe maana wanajua wangekamatwa. Na nyie mpelekeni necta wamchunguze.
 
Kama na yeye ni Mtanzania hakuna hoja ya kujadili. Lakini kama ni Mtanzania hoja ipo. Akabidhi vyeti!
 
Kila mtu anaishi kapuni. Hakuna wa kuongea tena. Sembuse huko Mahakamani.
 
Back
Top Bottom