Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 15,656
- 14,617
Wakipelekana mahakamani ushahidi utatolewa tuHuu Ndio ushahidi ?
Wakipelekana mahakamani ushahidi utatolewa tuHuu Ndio ushahidi ?
Aliyemteua anamlia timing tu amtumbue ,kwanza amempa muda "ajitumbue" na aondoke kwa "heshima" lakini jamaa ameubeba mzigo asiouweza. Anapata flashback ya kufunga nyuzi za viatu za watu wale ambazo zinamwogopesha.
Huyu Mr. Daudi ni wazi amezikubali tuhuma zinazoelekezwa kwake kwa sababu huu ukimwa wake juu ya vyeti halali na halisi. Kama anavyo ni suala la kulizima kwa dakika 2 tu. Ni kama hapana kazi tu na kutumbua jipu.
Mr. Daudi kama anavyo vyeti halali na halisi ambayo ni vyake, kwa kelele zinazopingwa kwamba aviweke hadharani basi naamini kwa anavyopenda kamera na tv angelikwishafanya mkutano na waandishi wa habari na kuwaonesha F,0-zake na Div. 1 zake.
Magu na Mr. Daudi wanaviziana. Ni nani kati yao anayemchelewesha mwenzake?
Tumecherewa kweli kweri, mwende kuwatumikia wadanganyika.
Kwa hiyo unakubali so far hakuna ushahidi wa hizo tuhuma?Wakipelekana mahakamani ushahidi utatolewa tu
Ukimya wa Makonda kuhusu vyeti unamaanisha nini?Kwa hiyo unakubali so far hakuna ushahidi wa hizo tuhuma?
Tumia akili yako kufikiria kuna watu wameshikilia akili zako ?,kila ukiulizwa swali unaleta link
You see man... your reference now is Askofu Gwajima lakini ukisoma bandiko lako umewataka wana- JF ndio wakupe ushahidi!
Taarifa zinapimwa. Unataka kufananisha uwepo wa magaidi watakaohatarisha usalama wa nchi na watu wake na shutuma zilizotoka kwa mtu anayejibu mapigo? Polisi wanajiridhisha na tuhuma kabla ya kuhoji au kukamata. Lkn bado gwajima ana nafasi ya kupeleka hivyo vyeti vya makonda mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake au atamsubiri makonda atoe vyake mpk lini?Ukiona mtu haelewi hata hili nae atakuwa alibashitika katika elimu yake...
Hapana sio kunishitukia! Unajua nina tatizo moja... nikianza kuandika; maneno yanakuja tu kama mvua matokeo yake posts zangu zinakuwa ndefu!! So, what I did ni kujaribu kuipunguza... just editing!! Sasa niliamua kui-delete kabisa huku nikii-edit kwa sababu nilihofu huenda ungei-access mapema... na ndicho ulichofanya!chige naona umefuta bandiko lako fasta kabla sijakushukia.
Hahahaaa safi sana. Umejistukia kuwa umechemka ukajirudi mwenyewe.
You see man... your reference now is Askofu Gwajima lakini ukisoma bandiko lako umewataka wana- JF ndio wakupe ushahidi!
Mbona yuko wazi tayari? Ambaye hayuko wazi ni gwajima amekaa na ushahidi ofisini kwa nini?Mkuu, Moja ya raha ya maongezi nikujiwezesha kwa wa kile anachokiongea mwenzako kukielewa, kwa mtindo wa JamiiForums kusoma na kuelewa kile kilichoandikwa.
Na ndio nakubaliana na wewe, hapa inaongelewa ni ushahidi wa jamhuri juu ya mtuhumiwa.
Na ushahidi wa muajiriwa juu ya muajiri, yaani mimi na wewe aka mwananchi, mlipa kodi Ikiwa ndani ya Dar au mikoani, au kwa msemo sahihi mimi na wewe ndio tunaolipa mishahara, kwa hio jamhuri au kwa kuanzia ofisi ya Mkuu wa Mkoa ndio atupe ushahidi, na sio vice versa.
Naelewa neno Public office au kwa maneno mepesi ofisi ya kwako, yangu na wote sisi humu, hilo neno bado naona linakutatiza.
Nakushauri google it, utapata kufunguka Mkuu , kwa hio kwa comment yako hapo mimi kutoka nje ya mada, mbona nimo at the core of it, kama Dunia na kilichomo ndani yake.
Tutazidi kufahamishana mkuu, ukielewa wewe na mimi basi, taratibu tutaelewana kwa jengine.
Na jengine kwa argument ya kusema mtendaji wa serikali aka Wakuu wa mikoa ambao si wakuchaguliwa yaani wa kuteuliwa na sio accountable kwa anao waongoza yaani sisi wananchi, haina mashiko kwa sababu hapo unaongelea jamhuri yaani serikali kwa ujumla wake, ndio sasa panakua pazuri zaidi, Kwa hio ni amri tu toka juu iende wizara ya elimu, kumlinda mtendaji kwa njia ambayo itutaarifu niyaje.
It sting both ways.. Ndio maana akiwa wazi na sisi kondoo basi tumeridhishwa na mtendaji wetu, tunaangalia mengine muhimu zaidi ya
Haya.
Judgement will be in a favour of nyani!ha ha ha
kesi ya nyani umpelekee ngedere
Hapana hawezi kwenda mahakamani kukufungulia mashtaka bali atakwenda polisi ambao watakufungilia mashitaka mahakamani na yeye atakuwa shahidi wa kwanza wa jamuhuri!Kwa hiyo mimi nikija hapo ulipo na kukutwanga ngumi kwenye chembe huwezi kwenda mahakamani kunifungulia mashitaka ya kukushambulia?
WALA UNGA, WAUZA UNGA, ACHENI KUMUANDAMA MAKONDA ! MBONA HAMJAMSHUTUMU KABLA HAJAANZISHA VITA YA BWIMBWII ?!Hahaaa...nipo huku Ikungulyabashashi kaka.
Nasikia tu hadi wachungaji wanasema eti Paul Makonda si jina lake bali jina lake ni Daudi Bashite na ushahidi wanao lakini hawatuonyeshi huo ushahidi.
I wonder why!
Things that make you go hmm....
Nianze kwa kusema tu kuwa mimi ni mbeba maboksi nisiyejua mengi hususan kwenye hiyo fani ya 'wasomi' wabobezi [wanasheria] ambao ndiyo majiniasi wetu wenye kuongea Viingereza hatari lakini salama. Nimeishia kidato cha nne tu. Kwa hiyo msinihoji sana kuhusu elimu yangu. Ni ndogo sana.
Sasa hapa nilipo na ujinga wangu huu najiuliza maswali kadha wa kadha na sipati majibu.
Hivi kinachodaiwa dhidi ya Makonda ni kosa la jinai?
Kama ni kosa la jinai na kama kweli ushahidi upo, tena ambao ni wa kutosha na kuridhisha kabisa, kwa nini hao watu waolizitoa hizo tuhuma hawaendi kumfungulia kesi mahakamani?
Au haiwezekani kwa raia kwenda kufungua kesi mahakamani kwa manufaa ya umma dhidi ya kiongozi?
Manake mpaka sasa kilichopo au niseme ambacho nakijua mimi kupitia hii mitandao ya kijamii ni maneno tu kuwa Paul Makonda si jina lake halisi.
Jina lake halisi ni Daudi Bashite. Lakini sijaona ushahidi wowote ule uliotolewa na hao watuhumu unaothibitisha hizo tuhuma zao.
Sasa maneno tu peke yake si ushahidi wa lolote maana mtu yeyote yule anaweza kuzua lolote lile dhidi ya yeyote yule kwa sababu yoyote ile.
Nyie 'wasomi', hivi kweli haiwezekani kwenda kumfungulia mashitaka huyo Paul Makonda kama kweli ushahidi wa yanayosemwa dhidi yake upo?
Si mumburute tu mahakamani huko akaaibike rasmi. Au ni majungu tu?
Aa ni mama DAUDI ankusalimia tuHuo ndo ushahidi?
Kama alivyozusha bajeti kuhusu orodha wa watu wa drugs!!!! Au yeye alionesha ushaidi?Ahahahaaa....kwa hiyo kumbe huyo Gwajima naye hakuuonyesha huo ushahidi anaodai anao.
Hivyo hatuwezi hata kujua kama kwamba [1] anao kweli na [2] ni ushahidi unaotosha na kuridhisha.
Hivyo hata yeye anaweza akawa anazusha tu ili kupoteza kabisa lengo na kuzua mparaganyiko tu.