Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,152
- 137,156
- Thread starter
- #501
Kama alivyozusha bajeti kuhusu orodha wa watu wa drugs!!!! Au yeye alionesha ushaidi?
So monkey see monkey do, huh?
Kama alivyozusha bajeti kuhusu orodha wa watu wa drugs!!!! Au yeye alionesha ushaidi?
SIMPLE: So long as mada ipo JF, hiyo ni sababu tosha kwamba umewataka wana-JF ndio watoe ushahidi!! Na una kila sababu ya kufanya hivyo kwa sababu ni wana-JF ndio waliokomalia zaidi suala la Daudi Bashite!! Na kama kumbukumbu zangu zipo, ni JF ndipo mjadala huu ulianza na kisha kusambaa kwingine!Anhaaa umerudi, sio?
Safi sana...sasa twende hoja kwa hoja na mstari kwa mstari.
Naomba tuanzie hapo kabla hatujaendelea na mengine.
Nionyeshe mahali kwenye bandiko langu la kwanza hapa ambapo nimewataka wana-JF ndio wanipe ushahidi.
Naomba sana tuanzie hapo ili tusipoteze focus. Nipe, nionyeshe nukuu ya mimi kutaka hivo, tafadhali sana.
Hiyo post ni ya December 2015. Hivyo pamoja na kuthibitisha kwamba hoja ya kuitwa Bashite imeanzia JF na probably ndio maana umeleta JF lakini kwa upande mwingine inathibitisha tuhuma dhidi yake si za jana wala leo!!! Na hata ukimsoma Mamaphilipo kwenye posts zake zingine, anaonesha wazi wala sio shabiki wa mambo ya kisiasa!!!!Nilikutana naye Koromije Misungwi Mwanza miaka ya 2000 enzi hizo akiitwa DAUDI Bashite. Sifahamu kivipi anaitwa Paul Makonda. Namfahamu in and out
SIMPLE: So long as mada ipo JF, hiyo ni sababu tosha kwamba umewataka wana-JF ndio watoe ushahidi!! Na una kila sababu ya kufanya hivyo kwa sababu ni wana-JF ndio waliokomalia zaidi suala la Daudi Bashite!! Na kama kumbukumbu zangu zipo, ni JF ndipo mjadala huu ulianza na kisha kusambaa kwingine!
Msome Mamaphilipo hapa chini:
Hiyo post ni ya December 2015. Hivyo pamoja na kuthibitisha kwamba hoja ya kuitwa Bashite imeanzia JF na probably ndio maana umeleta JF lakini kwa upande mwingine inathibitisha tuhuma dhidi yake si za jana wala leo!!! Na hata ukimsoma Mamaphilipo kwenye posts zake zingine, anaonesha wazi wala sio shabiki wa mambo ya kisiasa!!!!
But all in all, majority ya utakaowataka watoe ushahidi kwenye hizo social networks bado hawana tofauti na wana-JF!!!
akienda kuripoti polisi kesi ikishaanza anakuwa shahidi namba 1. anayeshitaki kwenye criminal case ni republic"Kwa hiyo mimi nikija hapo ulipo na kukutwanga ngumi kwenye chembe huwezi kwenda mahakamani kunifungulia mashitaka ya kukushambulia?
Nimeshindwa vp? Aliyesema kwamba ana ushahidi ni Askofu Gwajima! Je, Gwajima yupo hapa JF?! Kama uliowataka watoe ushahidi sio wana-JF; WHY umeleta mada JF?!I knew it.
Umeshindwa kunionyesha nilipowataka wana JF wanipe ushahidi wa tuhuma dhidi ya Makonda.
Tunaweza kuendelea na mengine sasa.
Kumbe hoja yako ya kutaka ushahidi ni kutokana na kile kinachosemwa kwenye mitandao ya kijamii!!!Manake mpaka sasa kilichopo au niseme ambacho nakijua mimi kupitia hii mitandao ya kijamii ni maneno tu kuwa Paul Makonda si jina lake halisi.
Maandishi yako ni mengi mkuu lkn nitajaribu kufafanua kwa jinsi navojua.Mkuu, Moja ya raha ya maongezi nikujiwezesha kwa wa kile anachokiongea mwenzako kukielewa, kwa mtindo wa JamiiForums kusoma na kuelewa kile kilichoandikwa.
Na ndio nakubaliana na wewe, hapa inaongelewa ni ushahidi wa jamhuri juu ya mtuhumiwa.
Na ushahidi wa muajiriwa juu ya muajiri, yaani mimi na wewe aka mwananchi, mlipa kodi Ikiwa ndani ya Dar au mikoani, au kwa msemo sahihi mimi na wewe ndio tunaolipa mishahara, kwa hio jamhuri au kwa kuanzia ofisi ya Mkuu wa Mkoa ndio atupe ushahidi, na sio vice versa.
Naelewa neno Public office au kwa maneno mepesi ofisi ya kwako, yangu na wote sisi humu, hilo neno bado naona linakutatiza.
Nakushauri google it, utapata kufunguka Mkuu , kwa hio kwa comment yako hapo mimi kutoka nje ya mada, mbona nimo at the core of it, kama Dunia na kilichomo ndani yake.
Tutazidi kufahamishana mkuu, ukielewa wewe na mimi basi, taratibu tutaelewana kwa jengine.
Na jengine kwa argument ya kusema mtendaji wa serikali aka Wakuu wa mikoa ambao si wakuchaguliwa yaani wa kuteuliwa na sio accountable kwa anao waongoza yaani sisi wananchi, haina mashiko kwa sababu hapo unaongelea jamhuri yaani serikali kwa ujumla wake, ndio sasa panakua pazuri zaidi, Kwa hio ni amri tu toka juu iende wizara ya elimu, kumlinda mtendaji kwa njia ambayo itutaarifu niyaje.
It sting both ways.. Ndio maana akiwa wazi na sisi kondoo basi tumeridhishwa na mtendaji wetu, tunaangalia mengine muhimu zaidi ya
Haya.
Huko alipo bwana bashite sijui ana hali gani. Unajua Mkuu, Ukweli unaweza ukaurarua moyo wa mtu vibaya sana?Kama si kweli na ushahidi haupo, basi alete vyeti kila mtu avione!
Kama upo huko usisahau kutembelea Kolomije au Call Me JHahaaa...nipo huku Ikungulyabashashi kaka.
Nasikia tu hadi wachungaji wanasema eti Paul Makonda si jina lake bali jina lake ni Daudi Bashite na ushahidi wanao lakini hawatuonyeshi huo ushahidi.
I wonder why!
Things that make you go hmm....
Mhh, mpaka Kiswahili kilishindikana, Daudi amekwisha
..Ajisafishe kwenye social media ?!Hawezi kujisafisha kwa lolote maana anawajua raia wa nchi hii na tabia zao...watazua jambo jingine akifanya unachokiita kujisafisha...Hekima anayoitumia ndiyo sahihi"kukaa kimya"...akiitwa na vyombo husika vyenye kuhusika na academic status yake atatoa maelezo huko...nadhani mpaka sasa hakuna chombo husika kimetoa taarifa kuhusiana na academic status yake...sasa labda ajisafishe wapi?Hili swala la Makonda mbona limekuwa complicated-in this day and age it should not be happening-could it be analindwa na the master-why don't he just come out and cleanse himself of the dirt
Sikila jambo unalo sikia ulitolee ufafanuzi,kukaakimya nisehemu ya mjibu, hasa kwajambo lauzushi kama hili .makonda kasoma navyeti anavyo ndio maana kakaakimya ilihawawapiga debe endapo wakiamua kufungua kesi ndiowatajua Vyeti vipi ama no......Lakini wahusika hawakukanusha na kueleza bayana uhusika wao?.Makonda anapata kigugumizi gani? Katika hili.
Ninachoweza kukuthibitishia Daud Bashite mwisho wake ni jumapili hii.I knew it.
Umeshindwa kunionyesha nilipowataka wana JF wanipe ushahidi wa tuhuma dhidi ya Makonda.
Tunaweza kuendelea na mengine sasa.
Wewe na huyo Kikwete mpo kwenye hiyo 80%Kikwete alisema asilimia 80% ya watanzania ni fuata upepo