Kama ni kweli na ushahidi upo....

Kama ni kweli na ushahidi upo....

Hahahaaa....huo ushahidi alonao mbona naye hatuonyeshi?

Anasema tu kuwa anao.

Welp, saying it so doesn't ever make it so.

But we shall see.
98ecbb1a6bff23c44870abba3a00fb07.jpg
 
Lakini wahusika hawakukanusha na kueleza bayana uhusika wao?.Makonda anapata kigugumizi gani? Katika hili.

Hakuna hata mmoja aliyetoa ushahidi wa vyeti hadharani,

Tatizo hizi tuhuma zinaweza kuwa sawa lakini kuziibua tuhuma baada ya vita vya madawa ya kulevya kunatia shaka,Ina maaana ni siku nyingi Gwajima anafahamu Bashite anatumia cheti cha mtu na kama asingemtaja kwenye issue ya madawa angekaa kimya mpaka leo?
 
Askofu Gwajima anasema mh. Paul makonda ana division zero na amenunua vyeti bandia. Sasa cha kushangaza watu wanaweka ushahidi kwa kutuwekea mapicha ya makonda na huyo wanayedai kununua cheti kwake, yaani mnamtuhumu kwa vyeti ushahidi mnaweka mapicha waliyopiga bustani ni?
Acheni kutufanya watanzania wajinga, unamtuhumu makonda ana vyeti feki halafu unataka makonda aonyeshe vyeti halali? Weka vyeti vyako tuvione kesi iishe.
Tumechoka mapicha ya makonda kuwa ndio ushahidi wa vyeti vyeki, tunataka vyeti vyeki tuvione.
Kwani uhakiki wa vyeti ulifanyikaje? Necta si mamlaka ya serikali na ina orodha ya watu wenye vyeti halali. Kwa nini? Kila mhusika alie hakikiwa alitakiwa kuwasilisha nakala halisi ya cheti chake. Makonda ni nani? Ambae utaratibu huu haumgusi?
 
Kwa hali ilivyo:
Kuna raia wanamtuhumu Mkuu wetu wa Mkoa kuwa ameiba utambulisho wa mtu mwingine kupitia vyeti.

Sisi wenye Imani na mkuu wetu wa mkoa. tunamuomba, ajitokeze, azivunje tuhuma hizi, aonyeshe vyeti vyake, ili awaonyeshe hawa vizabizabina kuwa yeye ni mtu safi na elimu yake haina chembe ya shaka!

Kitendo cha kukaa kimya bila kujibu tuhuma, ni kuonyesha kuwa tacitly anakubaliana na tuhuma hizo!.

Kitendo cha mke wake kufuta post ya Instagram aliyoipost zamani kabisa akijitambulisha kama mama Daudi inaonyesha kuwa kuna kitu kinafichwa, kwa nini afute?- Kikawaida, kwa nchi za Ulaya/marekani ukiwa na tuhuma za post fulani kwenye mitandao ya jamii halafu ukaifuta, inapelekea kuaminika kwamba unaficha kitu, Tena basi ukiwa raisi ndo kabisaaaa huruhusiwi kufuta kile ulichokwisha posti.

Tumeona kwa mujibu wa taarifa mpya, Makonda ana ndugu wa kuzaliwa naye, lakini wazazi wake wanadai wana mtoto mmoja, Je wanaficha hizi information kwa nini?

Ni dhahiri Makonda hana namna, ni lazima aje clean katika hili suala ili kurudisha imani ya wakazi wa mkoa wa DSM kwake!
Ila wewe ni mnafiki
Unampenda harafu unaponda
Unafiki Tz hautaisha
 
Hakuna hata mmoja aliyetoa ushahidi wa vyeti hadharani,

Tatizo hizi tuhuma zinaweza kuwa sawa lakini kuziibua tuhuma baada ya vita vya madawa ya kulevya kunatia shaka,Ina maaana ni siku nyingi Gwajima anafahamu Bashite anatumia cheti cha mtu na kama asingemtaja kwenye issue ya madawa angekaa kimya mpaka leo?
Ukweli ni kwamba la madawa limezua mengi. I kwa ni pamoja na Makonda kuwa bungeni, kuanzishwa kwa kesi ya kikatiba hata pia u feki wa vyeti. Lakini watu wasitumie madawa kama kichaka cha kuficha maovu.Hii ndio rai yangu
 
Makosa yote ya jinai, anayeweza kufungua mashtaka ni Jamhuri kwa kupitia polisi (DPP). Wewe raia uliyetoa taarifa juu ya uwepo ya jinai unakuwa shahidi.

Lakini pia watu wanatakiwa kujua kuwa, mahakamani hasa mahakama za kwetu hapa, unaenda kama option ya mwisho maana ukipeleka shitaka mahakamani, mpaka hukumu kuja kutoka inaweza kuchukua hata miaka 10. Kama kuna njia nyingine za kumwajibisha mhalifu ni afadhali kuzitumia hizo kuliko kukimbilia mahakamani ambako hukumu itachukua miaka, hasa mawakili wakiamua kuirefusha kesi.
Je kuna mtu aliyeenda kuripot police au ni hayo maneno ya mitaani na umbea usioisha
 
Nianze kwa kusema tu kuwa mimi ni mbeba maboksi nisiyejua mengi hususan kwenye hiyo fani ya 'wasomi' wabobezi [wanasheria] ambao ndiyo majiniasi wetu wenye kuongea Viingereza hatari lakini salama. Nimeishia kidato cha nne tu. Kwa hiyo msinihoji sana kuhusu elimu yangu. Ni ndogo sana.

Sasa hapa nilipo na ujinga wangu huu najiuliza maswali kadha wa kadha na sipati majibu.

Hivi kinachodaiwa dhidi ya Makonda ni kosa la jinai?

Kama ni kosa la jinai na kama kweli ushahidi upo, tena ambao ni wa kutosha na kuridhisha kabisa, kwa nini hao watu waolizitoa hizo tuhuma hawaendi kumfungulia kesi mahakamani?

Au haiwezekani kwa raia kwenda kufungua kesi mahakamani kwa manufaa ya umma dhidi ya kiongozi?

Manake mpaka sasa kilichopo au niseme ambacho nakijua mimi kupitia hii mitandao ya kijamii ni maneno tu kuwa Paul Makonda si jina lake halisi.

Jina lake halisi ni Daudi Bashite. Lakini sijaona ushahidi wowote ule uliotolewa na hao watuhumu unaothibitisha hizo tuhuma zao.

Sasa maneno tu peke yake si ushahidi wa lolote maana mtu yeyote yule anaweza kuzua lolote lile dhidi ya yeyote yule kwa sababu yoyote ile.

Nyie 'wasomi', hivi kweli haiwezekani kwenda kumfungulia mashitaka huyo Paul Makonda kama kweli ushahidi wa yanayosemwa dhidi yake upo?

Si mumburute tu mahakamani huko akaaibike rasmi. Au ni majungu tu?

Hivi lile zoezi la uhakiki vyeti limefikia wapi? Wameshafika ofisi ya mkuu wa mkoa?

Hawa ndio wangetusaidia kukata mzizi wa fitina.
 
Mkuu, kesi za jinai bongo ni kama kesi za domestic violence za US. You call 911 to report a domestic violence incident, but you don't have the right to move the case forward; nor are you obliged to testify against or for the alleged perpetrator - whether you are the victim or witness. It is the prosecutor, based on the evidence presented to him/her by the cop who responded to the 911 call, who has the discretion to decide whether the case moves forward or not, depending on the facts of the case.

Similarly, in Tanzania, state attorneys (mawakili wa Jamhuri) decide, at their own discretion, whether or not the case moves forward. Worse still, the Tanzanian government is more corrupt. You don't expect to win a case against the government, in Tanzania, especially when a senior government official is involved. In fact, you can expect negative outcomes such as being detained and or tortured if you pursue the fight with the government further in cases of this nature.
Je wewe ulipiga hiyo 999 mkuu
Au umbea tu
 
Je kuna mtu aliyeenda kuripot police au ni hayo maneno ya mitaani na umbea usioisha
Raia wanakuwa waoga kutokana na namna ya ofis ya mwendesha mashtaka inavyo shughulikia mashauri.mf. Kes ya Lema
 
Toa ushaidi wa haya uliyoyasema!
Hayo yoote yanayosemwa dhidi ya mskonda ,ni vile tu wengi wameshikwa pabaya. .nawanaona huyu kijana kwa ujasiri wake .vigogo wengi wangetajwa.na kwamba Gokolo hili lingevua wengi.kwa hali hii Hela zinatumika kuhakikisha kasi ya kijana huyu makonda inasambaratishwa kabisa...Kama ni kweli tagu mkuu wa wilaya Mpaka RC.hamukutaja lolote, kutajwa wabwia unga mmekuja juu kama moto wa kifuuuu kulikoni? Wanafiki nyie
 
Mvua Saba zinakaribia. Sijasema mimi ni sheria ya Jamhuri.
 
Hii yote inaonyeshwa na mtoa uzi kujitoa ufahamu, niliwahi kuielezea kabla ya hapa na nitajaribu kukuelezea tena kwa sababu sioni sababu ya kupinga a very strong argument toka kwa wachangiaji waliopita na mimi naongezea hoja za msingi ndani ya same argument.

Hapa Tanzania na nchi nyengine nyingi ambazo zinazoitwa zimeendelea, mfumo na taratibu tunaoutumia ie democratic country, ni wa kuiga na tumejikweza nao, una mpaungufu yake na mazuri yake, hii ni topic ya forum nyengine.

Ktk misingi hio ya democrasia na hata kikatiba, kwa sababu vyote viwili vinashabihia kitu kimoja..

Kuna kitu kinaitwa Public office au ofisi za watu, yaani mimi na wewe Nyani, na upande wa pili kuna watumishi au viongozi tuliyowapa dhamana ya kushikilia hizo nafasi, mbele ya KIAPO..

Mathalani wizara na makatibu wake, wakuu wa mikoa, wilaya nk

Na sehemu kubwa kuwa accountable na sifa ya uongozi wa Public office ni kitu kinaitwa transparency au uwazi.

Ndio maana ukienda hata kwenye councils offices, ofisi za madiwani za nchi kama UK na nyengine, cv za hawa madiwani ziko wazi, kuonyesha tunadeal na mtu wa aina gani na muhimu zaidi uwelewa wao kazi, kuchambua mambo, utungaji wa state policy na utendaji na ufutiliaji wa hizo sheria ktk utekelezaji wake.

Sasa tukija kwa Bwana Paul Makonda, yeye ni kiongozi wa mkoa, na sio diwani wa mtaa, ni kiongozi wa Public office yenye kujimuisha watu wasiopungua milioni 8, kwa hio mimi kama mwananchi na mkazi wa Dar, ni haki yangu kumuelewa na kumtambua Paul Makonda ni nani, ametokea wapi, amesoma wapi, amefanya nini ktk Maisha, alimradi full cv, na tafadhali don't get confused na maisha yake binafsi, kama kaoa wapi, anakula nini nk. Hapa kinachtafutwa integrity ya mtu na sio kingine..

Nataka kujua kama mlipa kodi wa jamahuri wa Tanzania na mkaazi wa Dar, kuelewa upeo na uwezo na weledi wa kiongozi wangu, na hio sio kitu cha ajabu.

Au Nyani, huko unakoishi waliokuajiri hawakukuomba uwapatie cv yako? Au it is a walk in job? Na hizo ni private entities wanayohaki ya kuihifadhi cv yako.. sembuse mimi mwananchi ambae ndie muajiri, you seems to be oblivious ya hii fact ndogo tu.

Sasa kwa hili mimi na wewe na wakaazi wa Dar ni waajiri wa Makonda, tunahitajiwa kuelewa hilo wasifu wa Makonda.

Ndio maana ikaitwa ofisi ya uheshimiwa, hatma yake Muheshimiwa sio kwa bahati bali kwa uwazi wake na heshima ya ofisi, yaani Public office, yaani kwa maana sahihi ofisi ya wananchi.

Mbona hili liko simple, serikali a big Public corporate au ofisi ya Mkuu wa Mkoa, ituweke wazi juu ya hili, kuondoa agitation zetu na wasi wasi wetu.
 
Askofu Gwajima anasema mh. Paul makonda ana division zero na amenunua vyeti bandia. Sasa cha kushangaza watu wanaweka ushahidi kwa kutuwekea mapicha ya makonda na huyo wanayedai kununua cheti kwake, yaani mnamtuhumu kwa vyeti ushahidi mnaweka mapicha waliyopiga bustani ni?
Acheni kutufanya watanzania wajinga, unamtuhumu makonda ana vyeti feki halafu unataka makonda aonyeshe vyeti halali? Weka vyeti vyako tuvione kesi iishe.
Tumechoka mapicha ya makonda kuwa ndio ushahidi wa vyeti vyeki, tunataka vyeti vyeki tuvione.
Nenda Necta
 
Unajifanya hujui au na wewe umetumwa? Kipi ni rahisi kwake kuonyesha vyeti au kuzunguka kwa mashehe, wachungaji, maaskofu kutafuta relief? Sasa mshauri akimaliza viongozi wa dini wote aanza na waganga wa kienyeji, japo tunajua ameshaanza ila hata post! upepo huu ni mkali hauachi mtu!
Sasa hivyo vyetu amwonyeshe nani?
Gwajima si anavyo hivyo vyeti huyo ndio aviweke hadharani.
 
Hahaaa...nipo huku Ikungulyabashashi kaka.

Nasikia tu hadi wachungaji wanasema eti Paul Makonda si jina lake bali jina lake ni Daudi Bashite na ushahidi wanao lakini hawatuonyeshi huo ushahidi.

I wonder why!

Things that make you go hmm....
Ulipotelea wapi Ngabu? Nilikumiss hadi nikakuulizia huku. Kuna member mmoja akaniambia wewe ndiye Masogange ukitoka ndani utarudi jukwaani.
 
Cross examination ni kesi? Na kwani haijulikani kuwa forgery ni kosa la jinai?
Cross examination ni kesi? Na kwani haijulikani kuwa forgery ni kosa la jinai?
kaka nani kasema cross examination ni kesi?kule ndo mawakili huwa wanapata nafasi ya kumuuliza mtuhumiwa au shahidi hata mambo binafsi ili kujenga hoja,utashangaa kwenye kesi ya katiba akaulizwa kama anamjua Daudi Bashite?hapo ndo mchezo unapoanza
 
Back
Top Bottom