Kama ni kweli na ushahidi upo....

Kama ni kweli na ushahidi upo....

This saga has taken a new turn,wazazi wake wamemwambia Zamaradi(clouds) kwamba yeye ni mtoto pekee but under the carpet imeonekana ana dada mkubwa na mdogo wa kiume-why all this-its obvious the end is near-the loop is closing-To escape this quagamire one has to be Houdini,unfortunately he is not. Fallout ya hii Magufuli,s credibility will be in jeopardy
Kwahiyo wewe unaijua vizuri familia ya Makonda kuliko baba na mama yake ?
 
Nyani Ngabu,

Bila kujijua unatumia the very same cheap defensive tactics used by all corrupt politicians in Africa!!

Wakati wa mchakato wa katiba mpya nilizungumza hapa kwamba miongoni mwa mifumo yoooooote ambayo tuliletewa na Western Countries, ni mfumo wa Utawala Bora pekee ndio haujapigiwa kelele na viongozi wa Afrika tofauti ni mifumo mingine ya kisiasa na kiuchumi ambayo ilikejeliwa na kuitwa majina mbalimbali yaliyolenga ku-discredit hiyo mifumo!!

Kwa mfano, Utandawazi ukaja kuitwa Utandawizi!! Soko Huria likaja kuitwa Soko Holela!!

But why Utawala Bora haukuwa discredited na watawala pamoja na mawakala wao?! The answer is very simple like ABC... YES, and I mean it!!!

Kwa nchi zilizojaa uovu na ukosefu wa maadili, utawala bora ni kichaka tosha cha kuficha uhalifu na uovu wa watawala na mawakala wao!

Moja ya nguzo kuu za Utawala Bora ni Utawala wa Sheria!! Kiongozi mwizi; ukimtuhumu kwamba ni mwizi atakuambia TOA USHAHIDI kwamba mimi ni mwizi!! Atazungumza hili with confidence kwa sababu anafahamu vema hutakuwa na uwezo wa kutoa ushahidi ingawaje hili halifuti ukweli kwamba yeye ni mwizi!!!

Watawala wetu na mawakala wao wakaupenda mfumo huu wa utawala bora kwa sababu walijua pale tutakapowatuhumu uovu na uhalifu wao watatupiga bakora ya kwamba tutoee ushahidi dhidi yao sawa na wewe NN unavyowataka watu watoe ushahidi hapa JF kwavile unafahamu majority hawatakuwa na access ya kutoa huo ushahidi!!

Unawataka watu watoe ushahidi against senior government official na wapate ushahidi huo kupitia government agencies!! Unless there's something behind your thread because both you and I know no one can give that, at least here!!

But how does these games played?!

Fine, kwamba wananchi huwa wanakosa tangible evidence kwahiyo huwa wanaamua kupeleka mashitaka yao mbele ya umma!! Akina Dr Slaa kwa kufahamu wasingekuwa na tangible evidence ya kuwa-implicate watu; wakaamua kuwashitaki wezi wa EPA kwenye mahakama ya umma kama inavyofanyika kwa Makonda!!

The idea behind, kiongozi wa umma hapaswi kuwa na makando makando!! Na kwavile hapaswi kuwa na makando makando pia hapaswi kutumia legal loopholes la kuwataka watu wathibitishe tuhuma dhidi yao kwavile system haiwezi kuwa rahisi kufanya hivyo!!

Kutokana na hilo, kiongozi mwadilifu ni yeye ndie anatakiwa kutoka clean dhidi ya tuhuma zozote dhidi yake!!! Hizi si tuhuma ndogo! Na pamoja na cheap arguments kwamba it's all about his drugs "fight" lakini ukweli ni kwamba tuhuma dhidi ya Makonda hazikuanza baada ya sakata la dawa za kulevya!!!

Sasa kama kila wakati unatuhumiwa; why don't you come clean to prove how wrong those haters are?!

NN unataka upewe ushahidi hapa... hivi ni ushahidi gani ambao utawekewa hapa na kuukubali kwamba ni tangible evidence?! Sitarajii kwamba unachotarajia ni kuwekewa vyeti hapa cuz' unless viwe certified bila kuacha shaka yoyote ile vinginevyo bado huo hauwezi kuwa ushahidi!!!

Na kuna kitu very interesting kuhusu hii issue!!!

Mwaka 2012 hapa hapa JF kuna watu walileta mada kuhusu Ali Hapi!! Makumi kwa makumi ya members wa JF walitoka mbele kutetea uwezo wa Hapi kielimu ingawaje kwa kuangalia comments zao wala sio wana CCM!! Juzi juzi tu hapa mada kuhusu Hapi ikaletwa tena!! Kama ilivyotokea 2012 dhidi ya Hapi, ndivyo ilivyotokea majuzi!!!

Kinyume chake, hakuna hata mmoja anayeelezea positive side ya mlolongo wa elimu wa Makonda!!! Makonda kasoma juzi juzi tu... mbona watu hawajitokezi kumtetea kama walivyomtetea Hapi zaidi ya kutoa hoja dhaifu kwamba "ni majungu tu hayo!!" WHY?! Makonda hajasoma miaka 50 iliyopita tudhani kwamba aliosoma nao wamekufa....!!!

Nimekupa mfano huo hapo juu kuonesha wakati mwingine sio lazima uletewe makaratasi as a source of evidence!!! Mazingira peke yake, ukichanganya na uwezo wa kufikiri aliokupa Mungu; kwa pamoja vinaweza kukusaidia kufikia conclusion!!!

Narudia, Makonda kama kiongozi hatakiwi kuishi na makando makando!! Pale tuhuma kali dhidi yake zinapotolewa anatakiwa kutoka mbele na sio kutumia legal loopholes kuwataka watu wathibitishe kwa sababu tu unajua hawataweza!! Na katu kuwataka watu wathibitishe si tu kwamba haitaondoa uwezekano wa yeye kuwa fraud bali pia itaendelea kuacha shaka nyingi dhidi yake!!!

Tuhuma za kuwa fraud ni tuhuma mzito kwa kiongozi mwandamizi wa serikali!! Mwanzoni angeweza kuzipuuza lakini inapotokea hadi viongozi wa kiroho nao wanatoa tuhuma hizo; nitakuwa mtu wa ajabu nikiungana na hoja kwamba "kwanini iwe yeye ndie wa ku-prove otherwise!"
 
So long as you can not prove them wrong, the only way is to seek public compassion.
Phrases won't do you any good.
Come out and show what you got!
Showing publicly academic certicates, really ?

- Wewe mwenyewe ulifeli, then if not upload yours hapa tuone
 
Nimenda hayo maneno "precedent,law report na criminal offence" MWe kusoma raha natamani nirudi shule
 
Showing publicly academic certicates, really ?

- Wewe mwenyewe ulifeli, then if not upload yours hapa tuone
Msiwe wasahaulifu, ni juzi juzi tu hapa mlileta matokeo ya Mwanaasha Kikwete kuwa amefeli, Tena hamkutosheka mkayaleta na matokeo ya Jesca Magufuli, mnashindwaje kuyaleta ya The so called David Bashite na muweze kuya link na Paul Makonda na mtushaidishe kuwa they are same person in real?
 
Msiwe wasahaulifu, ni juzi juzi tu hapa mlileta matokeo ya Mwanaasha Kikwete kuwa amefeli, Tena hamkutosheka mkayaleta na matokeo ya Jesca Magufuli, mnashindwaje kuyaleta ya The so called David Bashite na muweze kuya link na Paul Makonda na mtushaidishe kuwa they are same person in real?
Lima bustani hata ya mchicha mkuu hapo kwenu "you go get back to normal psychologically, hauko sawa
 
Lima bustani hata ya mchicha mkuu hapo kwenu "you go get back to normal psychologically, hauko sawa
Hivi nawezaje kuwa sawa na wewe? umezoea kulialia na kulalamika!! Hata mlima mchicha ana nafuu kuliko wewe!!
 
Hayo yoote yanayosemwa dhidi ya mskonda ,ni vile tu wengi wameshikwa pabaya. .nawanaona huyu kijana kwa ujasiri wake .vigogo wengi wangetajwa.na kwamba Gokolo hili lingevua wengi.kwa hali hii Hela zinatumika kuhakikisha kasi ya kijana huyu makonda inasambaratishwa kabisa...Kama ni kweli tagu mkuu wa wilaya Mpaka RC.hamukutaja lolote, kutajwa wabwia unga mmekuja juu kama moto wa kifuuuu kulikoni? Wanafiki nyie
 
Tujikumbushe namna ya habari za upotoshwji zinavyo shughilikiwa katika serikali yetu. Je unakumbuka Jerry Muro alipo zushiwa kuwa mteule wa Sizonge Mara moja Habari hiyo ilikanushwa Vikali na mamlaka husika. Lakini lilipo zushiwa la kutenguliwa kwa Mrisho Gambo Je? mamlaka zilikaa kimya Bila kukanusha habari hiyo.Kama habari za uongo hukanushwa, na habari ya makonda kutumia cheti kisicho chake ni habari ya uongo kwanini haikanushwi?
Kanusha wewe
 
Unajifanya hujui au na wewe umetumwa? Kipi ni rahisi kwake kuonyesha vyeti au kuzunguka kwa mashehe, wachungaji, maaskofu kutafuta relief? Sasa mshauri akimaliza viongozi wa dini wote aanza na waganga wa kienyeji, japo tunajua ameshaanza ila hata post! upepo huu ni mkali hauachi mtu!
Alikuambia hivyo kuwa anazunguka na mashekhe na wachungaji kutafuta relief au hisia zako zinakupeleka puta? onyesha mahala sote tuone na tujiridhishe huyu mkuu kweli ameshikwa na anatafuta relief, else itabakia kuwa majungu wa wauza ngada.
 
Tujikumbushe namna ya habari za upotoshwji zinavyo shughilikiwa katika serikali yetu. Je unakumbuka Jerry Muro alipo zushiwa kuwa mteule wa Sizonge Mara moja Habari hiyo ilikanushwa Vikali na mamlaka husika. Lakini lilipo zushiwa la kutenguliwa kwa Mrisho Gambo Je? mamlaka zilikaa kimya Bila kukanusha habari hiyo.Kama habari za uongo hukanushwa, na habari ya makonda kutumia cheti kisicho chake ni habari ya uongo kwanini haikanushwi?
Habari za Muro na Gambo zilikanushwa na ikulu sababu huo uzushi ulitengeneza tangazo feki iliyoonekana limetolewa na Mkurugenzi wa mawasiliano ikulu,Issue ya vyeti/majina feki pia imewahi kuwakumba Mwigulu na Kigwangala lakini serikali haikutoa tamko
 
Habari za Muro na Gambo zilikanushwa na ikulu sababu huo uzushi ulitengeneza tangazo feki iliyoonekana limetolewa na Mkurugenzi wa mawasiliano ikulu,Issue ya vyeti/majina feki pia imewahi kuwakumba Mwigulu na Kigwangala lakini serikali haikutoa tamko
Lakini wahusika hawakukanusha na kueleza bayana uhusika wao?.Makonda anapata kigugumizi gani? Katika hili.
 
Believe me, kumiliki cheti feki kunapunguza kujiamini sehemu yeyote ya kazi hata kama una cheo gani.

Confidence alivyokuwa nayo Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda aka Bashite, imeanza kupungua tangu kuibuliwa kwa sakata la yeye kumiliki vyeti feki.

Ni ajabu sana operation muhimu kama hili ya kupiga marufuku matumizi ya viroba kuanza bila kusikia tamko lolote kutoka kwa mwenye mkoa wake.

Awali alikuwa mstari wa mbele kuandaa press conference kutoa matamko kwa mambo mengine yasiyokuwa na maana kama, kutolala gesti mchana, kupaka rangi nyumba zote mkoani kwake, kuorodhesha wageni wanaoingia Dar, ila kwa hili lililo na uzito karibu sawa na madawa ya kulevya yuko kimya kigugumizi hiki kimeanza lini, tatizo cheti, pole sana Bashite.

Nimeamini kweli dunia duara, enzi zile wewe ndio ulikuwa ukiwaita waandishi wa habari, leo waandishi wanakuita wewe lakini hutokei.

Conclusion:
Kuwa na vyeti halisi raha sana (CONFIDENCE).
 
Hahahaaa....huo ushahidi alonao mbona naye hatuonyeshi?

Anasema tu kuwa anao.

Welp, saying it so doesn't ever make it so.

But we shall see.
b206a444c4f04e6a9a957b2eb140ee12.jpg
 
Askofu Gwajima anasema mh. Paul makonda ana division zero na amenunua vyeti bandia. Sasa cha kushangaza watu wanaweka ushahidi kwa kutuwekea mapicha ya makonda na huyo wanayedai kununua cheti kwake, yaani mnamtuhumu kwa vyeti ushahidi mnaweka mapicha waliyopiga bustani ni?
Acheni kutufanya watanzania wajinga, unamtuhumu makonda ana vyeti feki halafu unataka makonda aonyeshe vyeti halali? Weka vyeti vyako tuvione kesi iishe.
Tumechoka mapicha ya makonda kuwa ndio ushahidi wa vyeti vyeki, tunataka vyeti vyeki tuvione.
 
Back
Top Bottom