Hapa
Nyani Ngabu ana hoja, kuwa kughushi cheti ni kosa kisheria.
Wanaodhani alifoji wana fursa ya kumfungulia kesi kisheria kama wale wanaoghushi na kufunguliwa kesi na serikali.
''The onus is on complainant to prove guilty'' otherwise kuna presumption of innocence
Kwa upana wa suala hili, nje ya sheria lina impact kubwa sana
1. Kwamba, zoezi zima la kutafuta vyeti fake lina shaka unless uwepo ufafanuzi
2. Viongozi hawatendi wasemayo 'walk the talk'
3. Waliowajibishwa 'wameonewa' kwasababu ya double std
Hayo yote ni dhana ambayo inaweza kupata miguu kama Paul hatajitokeza ili kujitakasa au kukiri na kuwajibika. Ni suala la muda tu
Kama ulivyosema mtumiaji wa media kama yeye anapoamua kukaa kimya ni 'tacitly accepting the allegations'