Kama ni kweli na ushahidi upo....

Kama ni kweli na ushahidi upo....

Licha ya kwamba Makonda mwenyewe alichemka vibaya kwenye hiyo vita, lakini hapa nilipo najiuliza kwa nini yote haya ya Daudi Bashite yameibuka sasa hivi na si awali hususan kama watu walikuwa wanajua kuwa hilo jina la Paul Makonda si jina lake kweli.
Dharau zake.kwa watu zikifikia.mahali ambapo 'society' ikasema basi yatosha..unajua dingi ukiwa mjingamjinga itafika siku watoto wanakubadilikia.
Huwezi kusema ofisi nzima ya Mkuu wa.mkoa eti kuna watumishi 4 tu wengune wote mizigo...kumbuka ofisi ya RAS ina watumishi zaidi ya 60..
Aidha unamwita mtumishi mwenzio wa ummaa 'kichaa' yena publicly na bila.kosa.

Ukijiona wewe una akili na unajua kila kitu duniani kuliko wenzio basi ni vyema ujiridhushe kwa utimilifu wa ukamili wako.

Jinsi unavyowafanya wenzio ni mazombi ndivyo nawe wanavyokuchunguza na kukusanya taarifa zako. Muda.muafaka ukifika basi lazima upepo utafute pa.kutokea.
Kwa hili la Bashite issue ya yeye kuwataja wenzake kuwa ni wauza unga ndiyo imekuwa climax ya jamii kuanika uozo wake pia.

Kama wewe.nu.mkristo nadhani unajua.mfano wa Yesu wa Boriti na kibanzi. Uzuri wa.maisha ya sisi binadamu ni.kama yote.yameongelewa kwa biblia
 
Nimependa ulivyojiweka...kama hawaelewi watakuelewa tu kwa kuulizana.
 
Twende international.... hata Rais Bill Clinton alipoambiwa kwamba alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na yule dada Monica Lewinsky, aliita waandishi wa habari na mnakumbuka alichosema....." I did not have sexual relationship with that woman..." Kwa nini hakukaa kimya???? Kukaa kimya kwenye scandal is not a good option hasa kwa wanasiasa.
 
Dharau zake kwa watu zikifikia mahali ambapo 'society' ikasema basi yatosha..unajua dingi ukiwa mjingamjinga itafika siku watoto wanakubadilikia.
Huwezi kusema ofisi nzima ya Mkuu wa.mkoa eti kuna watumishi 4 tu wengune wote mizigo...kumbuka ofisi ya RAS ina watumishi zaidi ya 60.. Nilipo mimi Mungu yupo...
Aidha unamwita mtumishi mwenzio wa umma 'kichaa' yena publicly na bila kosa.

Ukijiona wewe una akili na unajua kila kitu duniani kuliko wenzio basi ni vyema ujiridhushe kwa utimilifu wako.

Jinsi unavyowafanya wenzio ni mazombi ndivyo nawe wanavyokuchunguza na kukusanya taarifa zako. Muda.muafaka ukifika basi lazima upepo utafute pa.kutokea.
Kwa hili la Bashite issue ya yeye kuwataja wenzake kuwa ni wauza unga ndiyo imekuwa climax ya jamii kuanika uozo wake pia.

Kama wewe.nu.mkristo nadhani unajua.mfano wa Yesu wa Boriti na kibanzi. Uzuri wa.maisha ya sisi binadamu ni kama yote yameongelewa kwa biblia
 
Okay, ina maana kila tuhuma huwa zinajibiwa?

Zile za Magufuli kumpiga mkewe hadi kupelekea kulazwa Muhimbili nazo zilijibiwa?
Ukakasi katika mlolongo wa elimu ya kiongozi yeyote inatia doa hadi kuchafua credibility yake hivyo ni sharti atoe maelezo ya kutosha kuuaminisha umma anaouongoza kuwa yeye ni mtu safi na anaishi anachokisema. Issue ya Magufuli kumpiga mkewe iwe kweli au si kweli ina athari gani kwa Taifa? Yeye mbali ya kuwa Rais lkn ana mambo binafsi kama binadamu na kama mwanaume, Rais wa Malawi alimtaliki mkewe na kuoa mwingine akiwa Ikulu wala haikuwa issue ya kitaifa kwa sababu Urais una mambo ya nchi na mambo binafsi pia. Lakini hili la utusitusi kwenye elimu ya Rc linatuhusu sana kama Taifa kwa sababu siyo lazima awe Rc wa Dar tu kesho anaweza kupelekwa Arusha keshokutwa Rukwa.
 
kwanza Czonje ndio anasubiriwa achape viboko kwa mkono wake mwenyewe ili IWE UTAMU KUNOGA, akifunga macho utelez utamzoa na yeye, hapo matope lazima yamchafue.
Mchimba mashimo hutumbukia mwenyewe...Mchimbe mashimo tope liende kwa wengine...mna mambo wana wa tz
 
Mimi siamini kama mtaamini.

Naamini mtahamisha magoli tu.

Nyani Ngabu, mbona watu wameamini kinachosemwa bila ushahidi?? suala si nani ataamini au hataaamini. Akitokea mtu akakuita "mwizi" mtaani kwako, how would you react? utakaa kimya kwa kuogopa ukisema "mimi si mwizi" watu hawatakuamini???
 
Say what?

Kabisa unaona sawa kuwa na rais ambaye ni wife beater?
Ndo bongo hiyo. Ndo maana issue hiyo haikubebewa bango. Siyo jamba la ajabu kwenye jamii yetu mke kupigwa. Its a none issue. Nilishangaa sana. Nikauliza hilo mara nyingi tu lakini sikueleweka.
 
Nyani Ngabu, mbona watu wameamini kinachosemwa bila ushahidi?? suala si nani ataamini au hataaamini. Akitokea mtu akakuita "mwizi" mtaani kwako, how would you react? utakaa kimya kwa kuogopa ukisema "mimi si mwizi" watu hawatakuamini???
You are comparing apples to oranges.
 
Ndo bongo hiyo. Ndo maana issue hiyo haikubebewa bango. Siyo jamba la ajabu kwenye jamii yetu mke kupigwa. Its a none issue. Nilishangaa sana. Nikauliza hilo mara nyingi tu lakini sikueleweka.
Tunashangaza sana aisee!
 
Back
Top Bottom