Mkuu, tuhuma dhidi ya Makonda Zipo wazi Sana, na mwenye jukumu la Kumshtaki Makonda si mtu aliyemtuhumu Bali ni mwajiri, aliyemtuhumu amedai anao ushahidi wa kutosha na yupo tayari kuisaidia mahakama.
Sasa hapo mwenye kuchukua hatua ni bosi wake tu na si vinginevyo.
kwani umesahau Makonda alivyowatuhumu watu kuuza wakati akijua kuwa, "A person cannot be made guilty if not proven by the court of law ",Sasa Makonda aliwataja publicly kitendo ambacho ni kuchafua image ya mtu, nadhani unajua kuwa, what goes around comes around ,alianzisha ugomvi wa mawe akasahau kuwa anaishi kwenye nyumba ya vioo, ugomvi umeanza akakimbilia kujificha humo humo.
Watu wenye akili Zetu tuliuona mwisho mbaya Makonda, if his boss won't fire him, his personality and political charisma in the state house will totally get faded.