Kama ni kweli na ushahidi upo....

Kama ni kweli na ushahidi upo....

Kakutuma Bashite na Magufuli ugeuze kibao tukuulize Magufuli alipomtumbua Kabwe alituonyesha ushahidi wanalo hilo na watu wanavielelezo kibao wanangoja makonda aseme sitaki kuchafuliwa vyeti vayangu hivi tngu kuzaliwa hadi leo

mkuu hata yale matokeo ya wengi ya kuwekwa kwa website yawekwe hapa!!
 
Kwa mtu ambaye hataki kupaka tope tumbua lake la kisiasa lazima angefuata ushauri wangu

Ila kama angekuwa ni Manji anaulizwa vyeti, Angekuwa Hajavileta?

So kimya kingi humaanisha vingi mubashara

Msitutoe kwenye reli

Analipwa kodi zetu

aonyeshe vyeti

Mbona Simple!

Aonyeshe vyeti ili iweje?

Kwa amri ya nani?

Na akionyesha mtakubali au mtahamisha magoli na kudai hivyo alivyovionyesha navyo ni feki?

Hii nchi bana....
 
mkuu hata yale matokeo ya wengi ya kuwekwa kwa website yawekwe hapa!!
si ndio maana haonekani popote si ndio muujiza ha ha Daudi Bashite na baba yake hawako kwenye records ngoja ndalichako achonge na aadhiriwe mchana peupe
 
Bla blaaa zimezidi mitandaoni. Yote haya yanamkuta Makonda kwa sababu ya Sembe!

Licha ya kwamba Makonda mwenyewe alichemka vibaya kwenye hiyo vita, lakini hapa nilipo najiuliza kwa nini yote haya ya Daudi Bashite yameibuka sasa hivi na si awali hususan kama watu walikuwa wanajua kuwa hilo jina la Paul Makonda si jina lake kweli.
 
Aonyeshe vyeti ili iweje?

Kwa amri ya nani?

Na akionyesha mtakubali au mtahamisha magoli na kudai hivyo alivyovionyesha navyo ni feki?

Hii nchi bana....
kwani anavyo sasa hivi mzee mzima mjengoni kavuliwa nguo kitengo wako kazini safari hii watashitakiwa chezea TZ wewe
 
Hakuna mtu anayeitwa Paul Makonda hili jina kajipachika tu ili kuharamisha mambo yake.Baba yake Mzazi alimwita Bashite yeye kaja kuinajisi heshima ya wazazi wake kabadili jina.

Ushahidi wa hayo unayoyasema uko wapi?

Msiishie kusema tu maana kusema ni rahisi mno.

Tuthibitishieni hayo mnayoyasema.
 
Tunataka bashite aweke vyeti hadharani njia ya mwongo fupi si ametuhumiwa ushahidi upi wakati cv yake ipo juu
Sasa mpenzi kama asipovitoa utafanyaje?

kwa nini tunawapa nguvu watuhumiwa eti , avitoe,ajitetee, aombe msamaha n.k

ni lini tutaamka kama wenye nguvu na kufanya anachoshauri ngabu??

wewe binafsi haupendi kuona kabisa huo ushahidi unawekwa hapa? usingependa?

suppose umedanganywa sasa!!!

au unapenda kuamini?
 
Licha ya kwamba Makonda mwenyewe alichemka vibaya kwenye hiyo vita, lakini hapa nilipo najiuliza kwa nini yote haya ya Daudi Bashite yameibuka sasa hivi na si awali hususan kama watu walikuwa wanajua kuwa hilo jina la Paul Makonda si jina lake kweli.
usijitie huna kumbukumbu yameshaongewa sana hata mke wake anajii le mama daudi ila imepata momentum baada ya yeye kushirikiana na akina GSM na azimio kudhulumu mali za nchi ndio maana watu wamejiuliza nani huyu ambaye magufuli anamangalia tuu akivunja sheria akishiikaiana na wezi
 
Nianze kwa kusema tu kuwa mimi ni mbeba maboksi nisiyejua mengi hususan kwenye hiyo fani ya 'wasomi' wabobezi [wanasheria] ambao ndiyo majiniasi wetu wenye kuongea Viingereza hatari lakini salama. Nimeishia kidato cha nne tu. Kwa hiyo msinihoji sana kuhusu elimu yangu. Ni ndogo sana.

Sasa hapa nilipo na ujinga wangu huu najiuliza maswali kadha wa kadha na sipati majibu.

Hivi kinachodaiwa dhidi ya Makonda ni kosa la jinai?

Kama ni kosa la jinai na kama kweli ushahidi upo, tena ambao ni wa kutosha na kuridhisha kabisa, kwa nini hao watu waolizitoa hizo tuhuma hawaendi kumfungulia kesi mahakamani?

Au haiwezekani kwa raia kwenda kufungua kesi mahakamani kwa manufaa ya umma dhidi ya kiongozi?

Manake mpaka sasa kilichopo au niseme ambacho nakijua mimi kupitia hii mitandao ya kijamii ni maneno tu kuwa Paul Makonda si jina lake halisi.

Jina lake halisi ni Daudi Bashite. Lakini sijaona ushahidi wowote ule uliotolewa na hao watuhumu unaothibitisha hizo tuhuma zao.

Sasa maneno tu peke yake si ushahidi wa lolote maana mtu yeyote yule anaweza kuzua lolote lile dhidi ya yeyote yule kwa sababu yoyote ile.

Nyie 'wasomi', hivi kweli haiwezekani kwenda kumfungulia mashitaka huyo Paul Makonda kama kweli ushahidi wa yanayosemwa dhidi yake upo?

Si mumburute tu mahakamani huko akaaibike rasmi. Au ni majungu tu?
Jiulize kwanini alivyoitwa Mahakamani alikataa na Cha ajabu Wakili kutoka Ofisi ya Mwana Sheria Mkuu (Na sio Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ama wakili wake Binafsi) ndio akaenda kumuwakilisha /Kumtetea halafu ndio utapata Majawabu ya Maswali yako.
 
Sasa mpenzi kama asipovitoa utafanyaje?

kwa nini tunawapa nguvu watuhumiwa eti , avitoe,ajitetee, aombe msamaha n.k

ni lini tutaamka kama wenye nguvu na kufanya anachoshauri ngabu??

wewe binafsi haupendi kuona kabisa huo ushahidi unawekwa hapa? usingependa?

suppose umedanganywa sasa!!!

au unapenda kuamini?

"unabisha nini wakati Mange ametuambia"
 
Jiulize kwanini alivyoitwa Mahakamani alikataa na Cha ajabu Wakili kutoka Ofisi ya Mwana Sheria Mkuu (Na sio Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ama wakili wake Binafsi) ndio akaenda kumuwakilisha /Kumtetea halafu ndio utapata Majawabu ya Maswali yako.

Hapo niki imagine nitakuwa nabashiri, kudhani, na kuhisi tu.

Sitaki kufanya hivyo na ndo maana naomba wote wanaodai Paul Makonda si jina lake wanipe ushahidi ili niridhike halafu nianze kumshukia na yeye.
 
Hahaaa...nipo huku Ikungulyabashashi kaka.

Nasikia tu hadi wachungaji wanasema eti Paul Makonda si jina lake bali jina lake ni Daudi Bashite na ushahidi wanao lakini hawatuonyeshi huo ushahidi.

I wonder why!

Things that make you go hmm....
Kiongozi ukituhumiwa kaa pembeni hadi ukweli upatikane.Kiutawala unasimamishwa kupisha uchunguzi ikithibitika unachukuliwa hatua stahiki ikiwemo pia kushitakiwa.
 
Lazima tufike hadi mahakamani?? Yeye ni Mtumishi wa umma tuhuma zipo mezani...ajitokezi na vyeti halali afute tuhuma hizi....very simple na maisha yaendelee...!!
 
Kiongozi ukituhumiwa kaa pembeni hadi ukweli upatikane.Kiutawala unasimamishwa kupisha uchunguzi ikithibitika unachukuliwa hatua stahiki ikiwemo pia kushitakiwa.

Duh!

Kama ni hivyo basi serikali nzima, viongozi wote wa kisiasa wakiwemo Mbowe, Lisu, Lema, Zito, na hata huyo Gwajima nao wangekaa pembeni, siyo?
 
Back
Top Bottom