Kama natoka na mumeo...

Kama natoka na mumeo...

Ndio mawazo yenu potofu hayo. Wewe kama unampa mumeo tiGo mpe kivyako, lakini kama ni wa kutoka atatoka kufuata mapenzi ya kiukweli na kwako atakuwa anarudi kufuata ufirauni wa tiGo tu. Utaja..!
wewe mwenyewe umesema unampa kila kitu.....sasa unakana nini hapa na kunigeuzia mimi kibao!!!??

mwenzio siibi cha mtu na kula halali tu, haramu kwangu mwiko!!!

mapenzi ya kweli kwa taarifa yako yako kwake na mkeo wewe utabaki 'MAPOOZEO' for life!!!

its hard to accept it but its the truth mamii!!!!
 
Hee msikieni huyu hivi wadhani ni huyo wa kwako tu ndie anayetoa siri za mkewe kwako? Mbona karibia wote wanaocheat hufanya hivyo? So usijidanganye kuwa kwako kafika ndo mana anakuelezea mambo ya familia yake. Ni mbinu tu ya kukufanya uendelee kumpa uroda kwa jina la kukupenda!! Bila kukwambia mkewe kashindwa hiki na kile si utamshangaa kwa nini kakufuata?? pole wee

Hao marafiki wanaokueleza ujinga huo its either mko kwenye kundi moja au wanakucheka ujinga! Kalagha baho. Eti wako hatochukuliwa ah mie unanichosha mpenzi hebu nisepe maana unantia hasira ka vile mume wangu ndo unayetembea naye!!

Usitie shaka mpenzi, kondoo wa manyoya atazizima mwenyewe hapahapa
 
USHAURI WA BURE KWA WAPWAZ, BINAMUS, KAZINS NA ALL THE BABUZ AND BIBIZ

Tusitoe nafasi kujadili madudu kama haya kutoka kwa mtu aliyejirejista kuja kumharibia mood mwanamke mwenzake

kwani kuruhusu haya ni kukaribisha ze utamu kidogokidogo kwenye hili jamvi; naona tunaenda kwenye mipasho... sadly tunaipa nafasi

chonde-chonde ndugu zangu, tusitumike kudhalilisha wenzetu au kuwa vehicles za personal malice

Naona kabisa hii thread ni ya kumuudhi mtu n huyo Da sophy kaja na lake jambo

SHETANI ASHINDWE!!
 
USHAURI WA BURE KWA WAPWAZ, BINAMUS, KAZINS NA ALL THE BABUZ AND BIBIZ

Tusitoe nafasi kujadili madudu kama haya kutoka kwa mtu aliyejirejista kuja kumharibia mood mwanamke mwenzake

kwani kuruhusu haya ni kukaribisha ze utamu kidogokidogo kwenye hili jamvi; naona tunaenda kwenye mipasho... sadly tunaipa nafasi

chonde-chonde ndugu zangu, tusitumike kudhalilisha wenzetu au kuwa vehicles za personal malice

Naona kabisa hii thread ni ya kumuudhi mtu n huyo Da sophy kaja na lake jambo

SHETANI ASHINDWE!!

well said binamu
mimi naona ananichimbia ban ya maisha humu!!!
 
well said binamu
mimi naona ananichimbia ban ya maisha humu!!!

hehehe ukiangalia post yangu ya mwanzo katika hii sredi nilikuwa namaanisha hicho alichoongea de novo lakini vijana walikuwa na jazba! sasa sredi limekata page utazani gazeti la shigongo.
 
well said binamu
mimi naona ananichimbia ban ya maisha humu!!!

yani we hujui tu nilivyokereka na jinsi mwanamke anavyojidhalilisha humu tena mbele ya wapwaz, binamuz na ma-daddys wote

achana na ban ya maisha, dawa ni kuweka kwenye ignore list tu kazi kwisha
 
hehehe ukiangalia post yangu ya mwanzo katika hii sredi nilikuwa namaanisha hicho alichoongea de novo lakini vijana walikuwa na jazba! sasa sredi limekata page utazani gazeti la shigongo.

nilikusoma but the good thing ni kwamba huw ankuelewa nadhani kuliko mtu mwingine yeyote humu ( u knw wat i mean bro)

yani we hujui tu nilivyokereka na jinsi mwanamke anavyojidhalilisha humu tena mbele ya wapwaz, binamuz na ma-daddys wote

achana na ban ya maisha, dawa ni kuweka kwenye ignore list tu kazi kwisha

hapo umenikumbusha pazuri bro
 
nilikusoma but the good thing ni kwamba huw ankuelewa nadhani kuliko mtu mwingine yeyote humu ( u knw wat i mean bro)



hapo umenikumbusha pazuri bro


hehehe here comez my bht. nakumbukaga ile memori kadi yako with unlimited GB . ukigombea ubunge niPM nikurushie kura yangu.
 
hehehe here comez my bht. nakumbukaga ile memori kadi yako with unlimited GB . ukigombea ubunge niPM nikurushie kura yangu.

hahaaaa umenifurahisha!! mzee hii kichwa moto basi tu!!!

aaah i can do much better huku huku nje mjengoni staki bana wataniambukiza kusinzia saa za kazi
 
Sema Da Sophy, wanawake wengi wakishaolewa tu basi wanajiachia hawajitunzi tena miili yao wananenepa bila mpango, nyumbani ni kuvaa makanga tu saa zote, nywele na kucha hawana time nazo tena rti kwa vile wameshaolewa, muda na mume tena hawana eti wamechoka au visingizio vya ugonjwa mara naumwa kichwa mara naumwa tumbo ali mradi tu watafute sababu za uwongo tu za kuwakwepa waume zao. Jikoni haingii tena kwa sababu anachoka sana, kila siku chakula kinapikwa na mtumishi labda siku za sikukuuu tu ndiyo kwa nadra ataingia jikoni utadhani umeoa mtumishi. Ulichoandika hapa ndiyo sababu za kutosha kabisa za kushamiri kwa nyumba ndogo maana mapenzi ambayo wanaume wanayakosa majumbani kwao wanayapata nyumba kubwa kwa kila namna na matokeo yake nyumba ndogo inakuwa promoted na kuwa nyumba kubwa na nyumba kubwa inakuwa demoted na kuwa mapozeo. Badilikeni wanawake mkitaka kutunza ndoa zenu ili wanaume wasihamie kwenye nyumba ndogo kulalama tu bila kufanya mabadiliko yoyote katika ndoa zenu ni kama kutwanga maji.
 
mi nshampa promise.....I catch her she is mine!!!!!!!!!! upalestina lazima ufanye kazi siku hiyo!!!!

yaani knowingly unamganda mume wangu..........st****d idiot!!!

eti tunafanya kwa siri hatojua, tunatunziana heshima............

heshima ya kuniibia mume........my foot!!!

Upalestina si hoja, mi pia mpalestina kwetu Kalali una lingine?
 
Mimi hapa nitamtetea Da Sophy kwa mantiki hii. Huyo jamaa kama hajalazimishwa na Da Sophy na kamzimia Da Sophy kwa hiari yake mwenyewe, basi hilo si kosa la Da Sophy. Acheni kumwandama Da Sophy wa watu. Huyo mke wa jamaa inabidi amwache tu huyo jamaa akaanze maisha yake upya na kivyakevyake.

Da Sophy, you go girl.
 
Ninatamani ningekufahamu Da Sophy. Unahitaji kumfahamu Mungu, maana mawazo na maneno yako inaonyesha kabisa wewe na Mungu hamna correlation kabisaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
Ninatamani ningekufahamu Da Sophy. Unahitaji kumfahamu Mungu, maana mawazo na maneno yako inaonyesha kabisa wewe na Mungu hamna correlation kabisaaaaaaaaaaaaaaaa.

Anayehitaji sala ni huyo mume wa mtu aliyeapa kumpenda mkewe ktk shida na raha.
 
Anayehitaji sala ni huyo mume wa mtu aliyeapa kumpenda mkewe ktk shida na raha.

hilo halimtoi huyu bibie kwenye makosa kwa sababu hata yeye anajua huyo ni mume wa mtu na nimakosa kufanya afanyayo.

huwezi kuhalalisha haramu kwa haramu bwana!!!
 
Ninatamani ningekufahamu Da Sophy. Unahitaji kumfahamu Mungu, maana mawazo na maneno yako inaonyesha kabisa wewe na Mungu hamna correlation kabisaaaaaaaaaaaaaaaa.

mamii siku hizi hatuna hofu ya Mungu
 
USHAURI WA BURE KWA WAPWAZ, BINAMUS, KAZINS NA ALL THE BABUZ AND BIBIZ

Tusitoe nafasi kujadili madudu kama haya kutoka kwa mtu aliyejirejista kuja kumharibia mood mwanamke mwenzake

kwani kuruhusu haya ni kukaribisha ze utamu kidogokidogo kwenye hili jamvi; naona tunaenda kwenye mipasho... sadly tunaipa nafasi

chonde-chonde ndugu zangu, tusitumike kudhalilisha wenzetu au kuwa vehicles za personal malice

Naona kabisa hii thread ni ya kumuudhi mtu n huyo Da sophy kaja na lake jambo

SHETANI ASHINDWE!!

Hii inaitwa HEKIMA........
 
Anayehitaji sala ni huyo mume wa mtu aliyeapa kumpenda mkewe ktk shida na raha.

Wote wana makosa, hata huyo mume angekuja kusema hapa huo ujinga ningemwambia hivyo pia. Ila naona ajabu sana mdada mwenye HESHIMA zake kujisifia anatoka na mume wa mtu. Hiyo ni LAANA
 
Back
Top Bottom