- Thread starter
- #301
Nimesikia kajukuu. Namsubiria anipruvie kuwa hazinitoshi. Otherwise nitaprove otherwise.
Samahani kaka zinakutosha sana, ulimi uliniteleza. Lakini napenda ujue kuwa sikuhitaji wewe wala bwana mwingine, ninaye huyu ananitosha upo hapo? Na usitegemee eti atanitema nije kwako, hilo halitatokea ng'o. Kwanza sina shida na mwanaume wa alimradi anavaa suruali au ana pesa, no. Kama suruali hata mie navaa na pesa ninazo za kunitosha, sihitaji buzi. Penzi ninalohitaji ndilo huyu bwana ananipatia nami namkidhi vilivyo, watu wazima tunajilia vyetu kwa raha zetu, wa kununa wakinuna hainihusu. Anayechunguza achunguze, akichoka ataacha. Mwanamke mzima na elimu tele midigrii kibao hadi ya ulaya anahangaika hadi kumnyang'anya mume wake simu eti akae nayo aone wanaompigia, kang'ang'ania simu ya mtu miezi 3 anaenda nayo ofisini anarudi nayo kaambulia patupu, vya kuliwa vimeendelea kuliwa. Kama hulipi hulipi tu, halohaloooo msitake ncheke mie.