Huyo akikuchoka uje na kwangu. Mke wangu hana tabia ya kunichunguza.Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?
Mjukuu punguza wivu japo kidogo....Duh Da Sophy mbona una makubwa weye! Ni Ujumbe unataka kuufikisha kwa muhusika nini? Maana sielewi msukumo umetokana na nini!
Eti Kama unatoka na mume wangu, ushasema ni wangu yaani si wako so ni mali yangu, yangu peke yangu wengine wote wanaomtumia ni wevi so kama unafurahi kuitwa mwizi sawa tu ila nijuavyo mie mume/mke wa mtu anauma!!
Huyo akikuchoka uje na kwangu. Mke wangu hana tabia ya kunichunguza.
Na Mama yoyoo wako anasema hivyo hivyo!! na we si humchunguzi babu?Huyo akikuchoka uje na kwangu. Mke wangu hana tabia ya kunichunguza.
Duh Da Sophy mbona una makubwa weye! Ni Ujumbe unataka kuufikisha kwa muhusika nini? Maana sielewi msukumo umetokana na nini!
Eti Kama unatoka na mume wangu, ushasema ni wangu yaani si wako so ni mali yangu, yangu peke yangu wengine wote wanaomtumia ni wevi so kama unafurahi kuitwa mwizi sawa tu ila nijuavyo mie mume/mke wa mtu anauma!!
Duh.....umenishika pabaya babu..... wivu kiasi ni haki yangu ya msingi Babu umesahau??:frown:Mjukuu punguza wivu japo kidogo....
na wewe wa kwako tukitoka naye itakuwaje????
Kwani nimebisha Da Sophy?? Sijabisha kuwa umetongozwa kama nilivyotongozwa mie! Na niliposema wangu peke yangu namaanisha ndivyo inavyotakiwa ingawa sivyo ilivyo so nyie wa mtaani ni wezi tu mtake msitake!! Ungekuwa wa halali si angekupeleka mkafunga ndoa kabisa?? Msisingizie mambo ya kanisani!! Ukubali tu kuwa wewe ni mapozeo na mapozeo utabaki.Yako peke yako? Thubutu! Sasa kinachomleta kwangu nini? Na wala mimi sio mwizi basi nikueleze uzuri, nimetongozwa kama wewe ulivyotongozwa.
Nisimchunguze nichekwe? Yule ni mali yangu peke yangu!Na Mama yoyoo wako anasema hivyo hivyo!! na we si humchunguzi babu?
Mwenzenu sijaolewa sasa nikaponee wapi? Na ninahitaji mapenzi kama nyie mnavyopata.
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?
Mwenzenu sijaolewa sasa nikaponee wapi? Na ninahitaji mapenzi kama nyie mnavyopata.
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?
Mwenzenu sijaolewa sasa nikaponee wapi? Na ninahitaji mapenzi kama nyie mnavyopata.