Kama natoka na mumeo...

Kama natoka na mumeo...

hadi ule mtandao una mpa?? maana nasikia ndo hasa wanachofata huko kwenu......

Shosty hata ampe ule mtandao, anajuaje kama mke wa jamaa anayatumia matundu saba yote ipasavyo uwanjani na mumewe?!!kwani anakuwepo kushuhudia? ye anadanganywa kuwa wife haniridhishi anaona raha kukalia tuu..haloooo
 
Kwa nini utoke na mume wa mtu lakini?????................Huoni kama ni dhambi(unavunja mojawapo ya amri za Mungu na kuhatarisha ndoa ya mtu hivi hivi)........Ingekuwa mumeo anatoka na nyumba ndogo ungejisikiaje(yaani kama ungekuwa umeolewa)


You need the Holy Spirit..................
aaaah huyu akicheza na wewe amekwisha.....labda 40 zake sisifike...
 
Kwa taarifa yako yeye ndiye anayening'ang'ania, na huyo mkewe sasa hivi ndo mapozeo, upo hapo?

Pole sana!

Ndio mnavyodanganywa? Masikini wee; nyie ndo mnaishiwa kupelekwa round 5 na kina fide wakiwa wamepakia konyagi zao! Wiki nzima mko hoi by the end of it mzee anarudi kwenye tyt yake kwani huko haifuji kihivyo!

Siku moja akiwa na mkewe usiku wa manane mpigie simu kuwa unaumwa ghafala na unaomba aje haraka!
 
da sophy huyo wako unaejua mna share wawili ukijua kuwa katongoza na watatu jee utafanyaje?

Nani kakuambia tunashea? Yule anayemwita mkewe kwani anafanya nini zaidi ya kumfulia nguo na kumtandikia kitanda mwenzie apumzike baada ya kunitimizia mpenzie wajibu. Ni kwamba pale anakwenda kulala tu, na siku mojamoja kupozea ile kidogo ya kutunzia nyumba, mwanamke mwenyewe hovyo, ni kwamba tu ndoa za kikristo zina kasoro hiyo huwezi kumwacha lakini pale ni hana mke.

Unaulizia kutongoza wengine, ataanzia wapi? Alivyoshikwa uzuri anajua mwenyewe, hafurukuti hata chembe. Hivi unajua kuna siku huwa nafanya kabisa bidii kumfukuza aende kwa mkewe maana sasa keshakuwa kama zuzu, analia kama mtoto kujutia alivyovaa mkenge wa huyo asiyejua maana ya kuolewa.
 
Dada mmoja alizoea kuwaambia watu wa namna hii ...... jihangaisheni tu ila mkumbuke kuwa mie ndo wa kwanza kuiona asubuhi na wa mwisho kuiona usiku- yaani lazima niione kila siku!!

kala kabatani sikaoni hapa ah kula senkyuuu
 
Itakuwaje umehakikisha kuwa unaemuibia hajui ilhali anamchunguza mumewe??... Ukitaka kujua huyo mume wa mtu anakupenda mwambie amwache mkewe na akuoe wewe kama atathubutu,vinginevyo mnapunguziana mihemko tu..!!
Eniwei, kama unavyoona huyo jamaa hakuumbwa kwa ajili ya mkewe pekee na pia siyo kwa ajili yako tu!..

Karibu jamvini pole na chimbo.
 
Nani kakuambia tunashea? Yule anayemwita mkewe kwani anafanya nini zaidi ya kumfulia nguo na kumtandikia kitanda mwenzie apumzike baada ya kunitimizia mpenzie wajibu. Ni kwamba pale anakwenda kulala tu, na siku mojamoja kupozea ile kidogo ya kutunzia nyumba, mwanamke mwenyewe hovyo, ni kwamba tu ndoa za kikristo zina kasoro hiyo huwezi kumwacha lakini pale ni hana mke.

Unaulizia kutongoza wengine, ataanzia wapi? Alivyoshikwa uzuri anajua mwenyewe, hafurukuti hata chembe. Hivi unajua kuna siku huwa nafanya kabisa bidii kumfukuza aende kwa mkewe maana sasa keshakuwa kama zuzu, analia kama mtoto kujutia alivyovaa mkenge wa huyo asiyejua maana ya kuolewa.

Samahani hivi ulisema unaitwa Mrs nani vileee..........................ah kumbe upo single ah niliona hiyo pete ya ndoa nikajua.............
 
Na sikufichi namkamua kisawasawa. Yaani ni makamuzi ya kiukweli. Sigusi pesa yake, mie langu penzi tu. Yaani huyo mkewe angejua mumewe anamsemaga nini kwangu wakati ninapompa wallahi angewehuka, acha tu asijue. Na tumekubaliana kutunziana heshima, kwa hiyo suala la kujulikana ni hakuna. Kama ni wewe dada bht uwe na amani tu dear, hutojua kamwe.

Unakamua au kukamuliwa tu?!..je na wewe kilele kinafika na unafurahia? mana hiyo ndo ikufurahishe vizuri na wewe ujisike penzi unatoa nakulipata..ulitaka huyo mume amsifie mkewe kuwa mzuri na anawajibika..unadhani game litaendelea kama mko kitandani? wewe wawapi?! haaaa kweli mwanamke hulka si vinginevyo...mambo nare nareeeee!!!
 
haya haya .....hahaaaaaaa thats my role model!!!!
mwaga mapwenti yenye mashiko kwanza huyu da 'watever mi naona hajajitambua bado......wacha aendeleee kuharibiwa mpaka hapo atapojikuta voluntary actions zimekuwa involuntary!!!


anajidai hataki pesa yake wala nn madai ni mapenzi ya dhati, mie nikilifuma hili nalitwanga kisawasawa coz najua ananiharibia budget nyumbani, sio cjui kamshika mr cjui kitu gani, mie kwangu ni uharibifu wa budget tu(nitaanza na muhucka huyo aleta kiherehere ndo unamalizia mazimaaa)
 
Dada mmoja alizoea kuwaambia watu wa namna hii ...... jihangaisheni tu ila mkumbuke kuwa mie ndo wa kwanza kuiona asubuhi na wa mwisho kuiona usiku- yaani lazima niione kila siku!!
ukweli utaendelea kuwa huo
 
Pole sana!

Ndio mnavyodanganywa? Masikini wee; nyie ndo mnaishiwa kupelekwa round 5 na kina fide wakiwa wamepakia konyagi zao! Wiki nzima mko hoi by the end of it mzee anarudi kwenye tyt yake kwani huko haifuji kihivyo!
!

hahahahahaha mzee umesahau na Valuu unamix na maziwa lazima hiyo express iwake moto more fire hahahaha
 
Kwa taarifa yako yeye ndiye anayening'ang'ania, na huyo mkewe sasa hivi ndo mapozeo, upo hapo?


hivi lini mtafungua akili zenu watu kama wewe ukajua kabisa huyo mwanaume anakudanganya/tumia 2, wewe ndio ovyo kabisa bora hata ungeniambia upo kwake coz anakufanyia hiki na kile, sasa wewe unadai upo ki dhati?khaaa yaani ovyo kupitiliza.
 
Nani kakuambia tunashea? Yule anayemwita mkewe kwani anafanya nini zaidi ya kumfulia nguo na kumtandikia kitanda mwenzie apumzike baada ya kunitimizia mpenzie wajibu. Ni kwamba pale anakwenda kulala tu, na siku mojamoja kupozea ile kidogo ya kutunzia nyumba, mwanamke mwenyewe hovyo, ni kwamba tu ndoa za kikristo zina kasoro hiyo huwezi kumwacha lakini pale ni hana mke.

Unaulizia kutongoza wengine, ataanzia wapi? Alivyoshikwa uzuri anajua mwenyewe, hafurukuti hata chembe. Hivi unajua kuna siku huwa nafanya kabisa bidii kumfukuza aende kwa mkewe maana sasa keshakuwa kama zuzu, analia kama mtoto kujutia alivyovaa mkenge wa huyo asiyejua maana ya kuolewa.

SOUNDS LIKE HE... (Antie Sophy)
 
Kwa unavyoambiwa dasophy..... Most probably unadanganywa. Utajuaje Kama akwambiayo ni kweli? Kweli hadithi ncha Saba ! Mwambie amuache .... Aende kanisani aseme kuwa katenda zinaa amuache uolewe wewe
 
Nani kakuambia tunashea? Yule anayemwita mkewe kwani anafanya nini zaidi ya kumfulia nguo na kumtandikia kitanda mwenzie apumzike baada ya kunitimizia mpenzie wajibu. Ni kwamba pale anakwenda kulala tu, na siku mojamoja kupozea ile kidogo ya kutunzia nyumba, mwanamke mwenyewe hovyo, ni kwamba tu ndoa za kikristo zina kasoro hiyo huwezi kumwacha lakini pale ni hana mke.

Unaulizia kutongoza wengine, ataanzia wapi? Alivyoshikwa uzuri anajua mwenyewe, hafurukuti hata chembe. Hivi unajua kuna siku huwa nafanya kabisa bidii kumfukuza aende kwa mkewe maana sasa keshakuwa kama zuzu, analia kama mtoto kujutia alivyovaa mkenge wa huyo asiyejua maana ya kuolewa.

Ndoa kitu gani kama unatamba amekufa na kuoza kwako, si atengane na mkewe awe na wewe?!..hata ukizunguka nae wapi, mwisho wa siku ni mume wa mtu tena wa yule dada anayemfulia na kumtandikia kitanda tu..
Kama anakupenda pia kwanini kila siku mkutane gesti? akupeleke kwake, thubutuu..pole samaki!
 
anajidai hataki pesa yake wala nn madai ni mapenzi ya dhati, mie nikilifuma hili nalitwanga kisawasawa coz najua ananiharibia budget nyumbani, sio cjui kamshika mr cjui kitu gani, mie kwangu ni uharibifu wa budget tu(nitaanza na muhucka huyo aleta kiherehere ndo unamalizia mazimaaa)

mi nshampa promise.....I catch her she is mine!!!!!!!!!! upalestina lazima ufanye kazi siku hiyo!!!!

yaani knowingly unamganda mume wangu..........st****d idiot!!!

eti tunafanya kwa siri hatojua, tunatunziana heshima............

heshima ya kuniibia mume........my foot!!!
 
Back
Top Bottom