MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
Si ndo hapo AU, imenibidi nijichunguze mara mbili mbili isije ikawa ninabishana na mke mwenza wa kiukwelii .... lucky me siyo.Mkuu mbona kama Dasophy anakufanyia wewe maake hapa ni kweli inawezekana huyo mkewe yupo humu JF ndo maana kaja straight kwa kumpa taarifa huyo aibiwaye.