Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
mamii siku hizi hatuna hofu ya Mungu
Hata kama hatuna hofu ya Mungu, hii inatisha. watu kama hawa wanatamani hata kumuua mke wa huyo jamaa ili aolewe yeye, maana si anasema kinachozuia ni dini?