Kama natoka na mumeo...

Kama natoka na mumeo...

mamii siku hizi hatuna hofu ya Mungu

Hata kama hatuna hofu ya Mungu, hii inatisha. watu kama hawa wanatamani hata kumuua mke wa huyo jamaa ili aolewe yeye, maana si anasema kinachozuia ni dini?
 
tafuta wa kwako utambee nae hadi uchoke, hata nung'ayembe wanapata wanaume siku hizi...wamejaa tele tu kwanini uibe upendo wa mwenzio toka kwa mumewe? upendo huo wote unaong'ang'ania toka kwa mume wa mwenzio anaye deserve ni mkewe..huoni aibu?
 
Hata kama hatuna hofu ya Mungu, hii inatisha. watu kama hawa wanatamani hata kumuua mke wa huyo jamaa ili aolewe yeye, maana si anasema kinachozuia ni dini?

wanawake tumeumbwa na haya jamani lakini huyu mwenzetu anayaweza kusema hadharani hivi??
 
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?

I see.
Wewe ni timu na uwanja wa mazoezi.Mechi zoote serious ni nyumbani na mamaa.Hongera kwa kuwa uwanja bora wa mazoezi,phew!
 
hilo halimtoi huyu bibie kwenye makosa kwa sababu hata yeye anajua huyo ni mume wa mtu na nimakosa kufanya afanyayo.

huwezi kuhalalisha haramu kwa haramu bwana!!!

Nalitambua hilo. Lakini hata kama si Da Sophy, anaweza akawa Da' Chiku, Da' Asha, nk....kwa hiyo hapo utaona kuwa tatizo kuu ni uaminifu na uadilifu wa huyo mwanamme. Da Sophy akimtolea nje huyo jamaa guess what he'll most likely do...he'll go on to the next one and the poor wife will still have the same problem. The curative solution here would be for the wife to cut the husband lose. Standing by him and going off the deep end on Da Sophy won't solve anything. He'll still mess around and creep on her (wife)
 
Nalitambua hilo. Lakini hata kama si Da Sophy, anaweza akawa Da' Chiku, Da' Asha, nk....kwa hiyo hapo utaona kuwa tatizo kuu ni uaminifu na uadilifu wa huyo mwanamme. Da Sophy akimtolea nje huyo jamaa guess what he'll most likely do...he'll go on to the next one.

na mwingine akimtolea nje na mwingine na mwingine!!!!! he will definitely take his balls back to his wife!!!
 
sasa wewe Da Sophy ulitaka mwenye mumewe akae kimya kwa sababu gani? Ana haki zote kwa mumewe. Unajifungia njia na mungu hatakubariki. Achana na huyo bwana mungu atakupa wako.
 
na mwingine akimtolea nje na mwingine na mwingine!!!!! he will definitely take his balls back to his wife!!!

Nope..not necessarily...he can still go buy a hooker, right? Ndio maana nasema tatizo kuu na sugu ni mwanamme. Na let's say akamfuata demu mwingine ambaye sio hooker...huoni uwezekano wa yeye kumdanganya huyo demu mwingine kuwa yeye yuko single?
 
Wanaume wako wengi, tafuta wa kwako. na ikiwa una conscience, you will be embarrassed of yourself when you look at the mirror.

I believe every thing you do is part of you writing ur autobiography, ikibidi kamwone psychologist maana such behaviour and justification is not normal...
 
Nope..not necessarily...he can still go buy a hooker, right? Ndio maana nasema tatizo kuu na sugu ni mwanamme. Na let's say akamfuata demu mwingine ambaye sio hooker...huoni uwezekano wa yeye kumdanganya huyo demu mwingine kuwa yeye yuko single?

Nakubali it takes 2 to tango and 1 golden rule ni no man is unattached. Once u believe this pick up line umekwisha... Infact if women who are said to be of ill-repute were not there...where would that man go to? I guess back to their wife and lovely children!

Women should not make themseleves potential/vulnerable targets.
 
Nakubali it takes 2 to tango and 1 golden rule ni no man is unattached. Once u believe this pick up line umekwisha... Infact if women who are said to be of ill-repute were not there...where would that man go to? I guess back to their wife and lovely children!

Women should not make themseleves potential/vulnerable targets.

Mwanamme anaweza akamdanganya mwanamke kuwa yeye yuko single....hapo utafanyaje sasa?

Hujawahi kusikia au kuona wanaume wanaotoa pete zao za ndoa wakitoka nyumbani?
 
Nope..not necessarily...he can still go buy a hooker, right? Ndio maana nasema tatizo kuu na sugu ni mwanamme. Na let's say akamfuata demu mwingine ambaye sio hooker...huoni uwezekano wa yeye kumdanganya huyo demu mwingine kuwa yeye yuko single?[/QUOTE]
thats a different case, huyu dadaako hapa anafanya knowingly that this guy is a married person!!
 
Nope..not necessarily...he can still go buy a hooker, right? Ndio maana nasema tatizo kuu na sugu ni mwanamme. Na let's say akamfuata demu mwingine ambaye sio hooker...huoni uwezekano wa yeye kumdanganya huyo demu mwingine kuwa yeye yuko single?[/QUOTE]
thats a different case, huyu dadaako hapa anafanya knowingly that this guy is a married person!!

Knowingly or not, mkosaji mkuu ni mwanamme anayekiuka kiapo chake kwa mkewe. Huyo jamaa hafai kuwa mume wa mtu. We utapenda kuwa na mume kama huyo? Au mume wako akicheat utamsamehe tu na kusema ni kosa la kimada aliye cheat naye?
 
Mwanamme anaweza akamdanganya mwanamke kuwa yeye yuko single....hapo utafanyaje sasa?

Hujawahi kusikia au kuona wanaume wanaotoa pete zao za ndoa wakitoka nyumbani?

U will know a man who is married or attached. Wengi they will make the dissappearance act, simu unreachable au wanataka uwapigie some specific times, never take u home or introduce u to their friends...infact if you are inquisitive, utaona kialama kwenye kidole cha pete - it always leaves a mark.. and also their comfortability when you go out.

There are always tale tale signs and one should be able to read them... ndo maana golden rule always start from the premise...there is no man unattached.
 
U will know a man who is married or attached. Wengi they will make the dissappearance act, simu unreachable au wanataka uwapigie some specific times, never take u home or introduce u to their friends...infact if you are inquisitive, utaona kialama kwenye kidole cha pete - it always leaves a mark.. and also their comfortability when you go out.

There are always tale tale signs and one should be able to read them... ndo maana golden rule always start from the premise...there is no man unattached.

He can still *** a hooker....whats the difference?
 
Nakubali it takes 2 to tango and 1 golden rule ni no man is unattached. Once u believe this pick up line umekwisha... Infact if women who are said to be of ill-repute were not there...where would that man go to? I guess back to their wife and lovely children!

Women should not make themseleves potential/vulnerable targets.

U will know a man who is married or attached. Wengi they will make the dissappearance act, simu unreachable au wanataka uwapigie some specific times, never take u home or introduce u to their friends...infact if you are inquisitive, utaona kialama kwenye kidole cha pete - it always leaves a mark.. and also their comfortability when you go out.

There are always tale tale signs and one should be able to read them... ndo maana golden rule always start from the premise...there is no man unattached.

asante mamii!!! thats all i can say at least kwa sasa
 
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?

Kumbuka what goes around comes around. Na wa kwakwo ataibiwa tuu na ndiyo hapo utaona utamu wake. Malipo ni hapa hapa. Pay back is a b!@#ch girl!

Kama wewe ni "she man" then hiyo nayo habari nyingine...pepo la aina yake.
 
wakuu,

Naona hii sredi ilinipita mchana manake nilikuwa bize na makabrasha ya tukta huku,

Lakini nimejitahidi kusoma post moja baada ya nyingine hadi mwisho

Nimegundua kwamba wengi wetu tumeijadili more subjectively zaidi.....na sio objectively. Tumeelezea hisia zetu zaidi in a normative way...
Walau mwishoni mkuu Nyani Ngabu amejaribu kuongelea upande mwingine wa shilingi na nadhani tungeanzia hapo

kama great thinkers (sinkers?) tunatakiwa tujadili hoja kwa hoja na sio kumhukumu mleta hoja, hayo ni maoni yangu.

Na zaidi naoan wengi wetu tunajaribu kuukwepa ukweli halisi wa maisha tunayoishi kwa kumhukumu huyu dada Sophy....hebu kaa jifikirie na ureflect maisha yako, utagundua kwamba hiki ni kitu ambacho kipo na huenda kimeshakupata kwa namna moja au nyingine

Suala hapa ni kujadili kwa nini na kwa vipi hali iko hivyo, na tufanyeje walau kuirudisha kwenye hali ya kawaida (kama hii sio kawaida)

naona kaimu katibu ananibeep ngoja nimwone will be back
 
Nimegundua kwamba wengi wetu tumeijadili more subjectively zaidi.....na sio objectively. Tumeelezea hisia zetu zaidi in a normative way...
Walau mwishoni mkuu Nyani Ngabu amejaribu kuongelea upande mwingine wa shilingi na nadhani tungeanzia hapo

Looh! shukrani angalau kwa kuona kuwa angalau kuna upande wa pili wa hoja ambao kwa maoni yangu ndio mzizi wa tatizo linalojadiliwa. Kama nilivyoanisha hapo mwanzoni, kama mume mtu kaamua kutoka na Da Sophy tayari keshaonesha utovu wa uaminifu kwa mkewe. Hii ina maana kuwa kuna uwezekano mkubwa hata kabla ya Da Sophy kuingia kwenye picha jamaa alikuwa akijivinjari na Da mwingine. Na huenda hata baada ya Da Sophy kuondoka kwenye picha jamaa ataendelea na auntie mwingine. Sasa hapo utaona kuwa kwa mke wa jamaa kuraruana na Da Sophy hakutatatua tatizo lililopo. Wengi hapa hawalioni hili kwa vile kama ulivyosema reaction yao ni subjective. It is subject to their emotions which seem to be pretty high....
 
Ndo hapo sasa! Kumbe hata baada ya kuoa majaribu bado hayaishi. Sijawahi kusikia mtu anapigwa marufuku asichunguze ubavu wake unaendeleaje
 
Back
Top Bottom