Kama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi alizaliwa Kivule, Alifikaje Zanzibar?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,689
109,119
Kama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi kumbe alizaliwa Kivule Mkuranga Mkoani Pwani kutoka kwa Baba yake ambaye Kiasili anatokea Tanzania Bara ila alimpeleka tu Kisiwani Zanzibar ili akapate Elimu sahihi ya Dini ya Kiislamu inakuwaje Maamuzi ya Maziko yake yafanyike Kesho Ugenini Kisiwani Zanzibar na siyo Kivule Mkuranga Mkoani Pwani (Tanzania Bara) alikozaliwa?

Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussen Mwinyi najua huwa unanisoma sana tu GENTAMYCINE hapa JamiiForums kama afanyavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan hivyo najua utaweza kujinibu kwa ID yako Kificho au hata Ndugu zako walioko hapa JamiiForums nao kwa ID zao Kificho nao wanaweza Kunijibu kwani kiukweli kwa sasa Linachanganya wengi na kuzua Hisia Mseto nyingi.
 
Kama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi kumbe alizaliwa Kivule Mkuranga Mkoani Pwani kutoka kwa Baba yake ambaye Kiasili anatokea Tanzania Bara ila alimpeleka tu Kisiwani Zanzibar ili akapate Elimu sahihi ya Dini ya Kiislamu inakuwaje Maamuzi ya Maziko yake yafanyike Kesho Ugenini Kisiwani Zanzibar na siyo Kivule Mkuranga Mkoani Pwani ( Tanzania Bara ) alikozaliwa?

Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussen Mwinyi najua huwa unanisoma sana tu GENTAMYCINE hapa JamiiForums kama afanyavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan hivyo najua utaweza kujinibu kwa ID yako Kificho au hata Ndugu zako walioko hapa JamiiForums nao kwa ID zao Kificho nao wanaweza Kunijibu kwani kiukweli kwa sasa Linachanganya wengi na kuzua Hisia Mseto nyingi.
jambo hili sio hata la kumchanganya mtu wala kubabaika nalo, kwasabb ni Jambo la kifamilia kwanza licha ya kua na maslahi ya umma wa waTz na Taifa kwa ujumla 🐒

Hayati Mzee Mwinyi ameacha mjane mwenye asili ya Kizanzibar lakini ana watoto sio tu raia wa kawaida bali pia mawakili wa somi, watunga Sheria lakini kuna mwingine ni mkuu wa nchi 🐒

hakuna bahati mbaya juu ya uamuzi wa Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi Mwinyi kuzikwa Zanzibar.
Ni uamuzi wa familia husika kwa uhuru na maslahi yao wenyewe wameamua kufanya hivyo na ni haki yao 🐒

R.I.P hayati Ali Hassan Mwinyi -Mzee Rukhsa.
 
jambo hili sio hata la kumchanganya mtu wala kubabaika nalo, kwasabb ni Jambo la kifamilia kwanza licha ya kua na maslahi ya umma wa waTz na Taifa kwa ujumla 🐒

Hayati Mzee Mwinyi ameacha mjane mwenye asili ya Kizanzibar lakini ana watoto sio tu raia wa kawaida bali pia mawakili wa somi, watunga Sheria lakini kuna mwingine ni mkuu wa nchi 🐒

hakuna bahati mbaya juu ya uamuzi wa Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi Mwinyi kuzikwa Zanzibar.
Ni uamuzi wa familia husika kwa uhuru na maslahi yao wenyewe wameamua kufanya hivyo na ni haki yao 🐒

R.I.P hayati Ali Hassan Mwinyi -Mzee Rukhsa.
Kuna uwezekano pia kwamba wamefanya hivyo ili kuendeleza uhalali wa wanafamilia kucheza pote hasa nafasi ya pale juu. Wameona mbali. "Hata baba na babu yetu kazikwa kule....". Lakini bado kimsingi hayo ni maamuzi ya familia wengine kuyaingilia ni kujipa kazi isiyo yetu.
 
Kama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi kumbe alizaliwa Kivule Mkuranga Mkoani Pwani kutoka kwa Baba yake ambaye Kiasili anatokea Tanzania Bara ila alimpeleka tu Kisiwani Zanzibar ili akapate Elimu sahihi ya Dini ya Kiislamu inakuwaje Maamuzi ya Maziko yake yafanyike Kesho Ugenini Kisiwani Zanzibar na siyo Kivule Mkuranga Mkoani Pwani (Tanzania Bara) alikozaliwa?

Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussen Mwinyi najua huwa unanisoma sana tu GENTAMYCINE hapa JamiiForums kama afanyavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan hivyo najua utaweza kujinibu kwa ID yako Kificho au hata Ndugu zako walioko hapa JamiiForums nao kwa ID zao Kificho nao wanaweza Kunijibu kwani kiukweli kwa sasa Linachanganya wengi na kuzua Hisia Mseto nyingi.
Huyo Hussein mwinyi nasikia ndio alongangania kuzikwa Unguja kujinasibisha na Uzanzibari waliokuwa hawana nafikiri ni utashi wa kisiasa zaidi waonekane Wazanzibari wakati sio kweli wao ni watanganyika tu .
 
Back
Top Bottom