Kama kila kitu kinachotokea kwenye maisha ya binadamu ni mpango wa Mungu then kwanini Wakristo na Waislamu hufanya jambo hili?

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,118
27,121
Waislamu na Wakristu uhubiri kwamba kila jambo analolifanya mwanadamu na kila jambo analo fanyiwa mwanadamu ni mipango ya Mungu.

Kama hoja hii ndio msimamo wa mafundisho ya kikristo na kiislamu then kwanini wakristu na waislamu HUTUBU DHAMBI ZAO kwa Mungu pindi watendapo dhambi?

Kwa sababu kama kila jambo analo lifanya mwanadamu ni mpango wa Mungu maana yake ni kwamba hata hiyo dhambi uliyo ifanya ni mpango wa Mungu, kwamba Mungu ndio ameamua wewe ufanye hiyo dhambi.. unapo tubu dhambi hiyo maana yake ni kwamba unakosoa mipango ya Mungu kwenye maisha y'ako.
 
Si kila jambo n mpango wa Mungu.

Mungu hakupangii kutenda dhambi.

So kichwa chako cha uzi ni vyema ungefanyia marekebisho.

Mungu hujua yote utakayoyapitia na kuyafanya na ambayo atakutendea
 
Si kila jambo n mpango wa Mungu.

Mungu hakupangii kutenda dhambi.

So kichwa chako cha uzi ni vyema ungefanyia marekebisho.

Mungu hujua yote utakayoyapitia na kuyafanya na ambayo atakutendea
So yapo mambo anayo fanya biandamu ambayo Mungu hajayapanga? Yataje mkuu nipate kujifunza
 
Waislamu na Wakristu uhubiri kwamba kila jambo analolifanya mwanadamu na kila jambo analo fanyiwa mwanadamu ni mipango ya Mungu.

Kama hoja hii ndio msimamo wa mafundisho ya kikristo na kiislamu then kwanini wakristu na waislamu HUTUBU DHAMBI ZAO kwa Mungu pindi watendapo dhambi?

Kwa sababu kama kila jambo analo lifanya mwanadamu ni mpango wa Mungu maana yake ni kwamba hata hiyo dhambi uliyo ifanya ni mpango wa Mungu, kwamba Mungu ndio ameamua wewe ufanye hiyo dhambi.. unapo tubu dhambi hiyo maana yake ni kwamba unakosoa mipango ya Mungu kwenye maisha y'ako.
Kwanza hilo swali haliwahusu Wakristo, kwa sababu kwa imani yao wansema "Yesu alishafanywa laana kwa kusulubiwa ili abebe dhambi zao". Kwa maana hiyo wakristo hawana cha kutubu.

Zaidi ya hayo, nijuavyo wakristo huungama tu kwa mapadri na siyo kwa Mungu. Maana mungu wao tayari kishasulubiwa ili abebe dhambi zao.


Hapo lazima upate kizunguzungu kuelewa.
 
Waislamu na Wakristu uhubiri kwamba kila jambo analolifanya mwanadamu na kila jambo analo fanyiwa mwanadamu ni mipango ya Mungu.

Kama hoja hii ndio msimamo wa mafundisho ya kikristo na kiislamu then kwanini wakristu na waislamu HUTUBU DHAMBI ZAO kwa Mungu pindi watendapo dhambi?

Kwa sababu kama kila jambo analo lifanya mwanadamu ni mpango wa Mungu maana yake ni kwamba hata hiyo dhambi uliyo ifanya ni mpango wa Mungu, kwamba Mungu ndio ameamua wewe ufanye hiyo dhambi.. unapo tubu dhambi hiyo maana yake ni kwamba unakosoa mipango ya Mungu kwenye maisha y'ako.
Wakristo wa wapi wanasema kila kitu mpango wa Mungu? Hiyo imani ni ya waislam. Ambayo watu wa pwani wanayo sana. Yani mtu ata akifanya umalaya akiugua wanasema Mungu kapanga.
 
Kwanza hilo swsli haliwshus7 Wakristo, kwa sababu kwa imani yao wansema "Yesu alishafanywa laana kwa kusulubiwa ili abebe dhambi zao". Kwa maana hiyo wakristo hawana cha kutubu.

Zaidi ya hayo, nijuavyo wakristo huungama tu kwa mapadri na siyo kwa Mungu. Maana mungu wao tayari kishasulub7wa ili abebe dhambi zao.


Hapo lazima upate kizunguzungu kuelewa.
Mambo usiyoyajua na yale ya kuokoteza vijiweni, na hasa yanapogusa Imani za watu na mafundisho yake, ni vema ukakaa kimya kuilinda hadhi Yako.
 
Wakristo wa wapi wanasema kila kitu mpango wa Mungu? Hiyo imani ni ya waislam. Ambayo watu wa pwani wanayo sana. Yani mtu ata akifanya umalaya akiugua wanasema Mungu kapanga.
Imani ya Waislam huielewi,Waislam siyo kondoo wa kufata mchungaji aliyepotea.

Usichanganye heri na shari na dhambi na thawabu.
 
Mambo usiyoyajua na yale ya kuokoteza vijiweni, na hasa yanapogusa Imani za watu na mafundisho yake, ni vema ukakaa kimya kuilinda hadhi Yako.
Kipi hapo ambacho nimekisema hakipo kama nilivyokieleza?

Huwa sikisii.

Au wewe huamini kuwa Yesu alifanywa laana? Nikupe mistari ya biblia?
 
Imani ya Waislam huielewi,Waislam siyo kondoo wa kufata mchungaji aliyepotea.

Usichanganye heri na shari na dhambi na thawabu.
Wewe hujui wakristo sisi wakatoliki hatuamini hao wapuuzi wakristo tupo tofauti acha kukariri. Mnajikutaga mnajua ukristo kuliko wakristo wenyewe, alafu hamtaki na sisi tuongelee fake religion yenu. Shuwain
 
Back
Top Bottom