Na ndo maana pwani na kanda ya ziwa wenye kamba ndefu ndo wanafaidi mema ya nchi, kusini endeleeni kusubiri tutakuwa tunawafikiria kidogokidogo make hamna msaada wowote mliotoa nchi hii, Mwana kanda ya ziwa hayati Mwalimu Nyerere ndo baba wa taifa hili ndo alileta uhuru wakati huo wanakusini mko busy mnatoleana funza tu


, na bila baba wa taifa mwanakanda ya ziwa J. K Nyerere hata reli mngekuwa mnaionea kwenye tv tu, na mjue hatukujenga reli kwa ajili yenu bali tulijenga kwa ajili ya kufanya biashara na Zambia na ndo maana tulishirikiana nao, na mapato yanayopatikana tunajenga kanda ya ziwa na pwani kwanza afu wengine ndo tunawafikiria kidogo ila kusini tunawaweka mwisho kabisa.