jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 21,692
- 41,852
Achana nao hao..ambao hawajawahi fika bkb.Kijana huu mji ndo wa kulinganisha na bukoba kweli?
Wamejengewa hizo barabara sijui dual ndo mnaona maendeleo?
Kama hujui nyuma ya mwanza bukoba ndo inafuata kwa miundombinu na majengo Kanda ya ziwa
Bukoba hakuna mtaa ambao hauna barabara ya lami na Wala hawajawahi pata hiyo miradi
Bukoba Kuna airport kubwa,nzr ( jengo la abiria linazidi Hadi la mwanza) na iko busy na inapokea abiria 60000 kwa mwaka. Na ipo top five nchini. Atcl route ya dar mwanza bukoba ndo inawalipa Sana kwa route za ndani .
Bukoba Kuna uwanja mzr Sana wa michezo wenye nyasi bandia kaitaba stadium
Bukoba kuna bandari kubwa mbili bukoba custom na kemondo zote zinapokea kila siku meli kubwa Kama Victoria. Bandari ya bukoba ndo ya pili baada ya mwanza Kanda ya ziwa.
Umeme,maji na mawasiliano kwa bukoba sio chida. Umeme unatumika wa Uganda.
Mji huu wa sumbawanga ndo wa kulinganisha na bukoba kweli?
View attachment 1877849View attachment 1877850
#MaendeleoHayanaChama
