Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Hotel au mighahawa iliyochangamka? 5Sema hivi amejiridhisha kwamba akijenga hotel huko Kahama itaishia kuwa makazi ya popo ila guest itawafaa Ili muendelee kupigana miti kama pacha kulingana na uwezo wao.
Njombe kuna hoteli nyingi kwa sababu kuna watu wenye kipato kulala Hotelini
hotel mnazo???? Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app






