Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Sema hivi amejiridhisha kwamba akijenga hotel huko Kahama itaishia kuwa makazi ya popo ila guest itawafaa Ili muendelee kupigana miti kama pacha kulingana na uwezo wao.

Njombe kuna hoteli nyingi kwa sababu kuna watu wenye kipato kulala Hotelini
Hotel au mighahawa iliyochangamka? 5 [emoji93] hotel mnazo????

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Migodi mingine mikubwa on pipeline kujengwa Kusini,this time around ni Mkoa wa Mbeya will have a nioubium mining

Screenshot_20210806-174719.png


Screenshot_20210806-174539.png
 
Kana kwamba haitoshi,mgodi mwingine wa madini adimu duniani ya Helium uko mbioni kuanzishwa,this time around ni Rukwa region 👇👇

Screenshot_20210806-164057.png


Screenshot_20210806-164112.png




Screenshot_20210806-164001.png
 
[emoji38][emoji38][emoji13][emoji13] Wewe ni kituko ,wenzako wamejenga mahoteli Njombe wewe unazungumzia guest Kahama?

Umeona picha ya hotel hata moja kutoka Kahama? Ushauri wa bure hiyo guest iwe kwa show time ndio utapata wateja huko Kahama.
Nani wakujenga hotel njombe wewe, hivyo vilodge vya buku dala dala ndo mnaita hotel [emoji23][emoji23]
Angalia hotel zilivyo hapo chini zinavyokuwaga;
images-21.jpg
images-22.jpg
 
Nani wakujenga hotel njombe wewe, hivyo vilodge vya buku dala dala ndo mnaita hotel [emoji23][emoji23]
Angalia hotel zilivyo hapo chini zinavyokuwaga;View attachment 1883167View attachment 1883169
Yaani Guest ndio mnaita hotel? 😆😆😝😝 Sio kila kagorofa basi ni hoteli, kiukweli ushamba ni mzigo mzito Sana.

Ukisikia hotel ujue ni good looking,awesome landscape just like this nice one in Njombe 👇👇

Screenshot_20210806-204601.png


Screenshot_20210806-204620.png
 
Yaani Guest ndio mnaita hotel? [emoji38][emoji38][emoji13][emoji13] Sio kila kagorofa basi ni hoteli, kiukweli ushamba ni mzigo mzito Sana.

Ukisikia hotel ujue ni good looking,awesome landscape just like this nice following in Njombe [emoji116][emoji116]

View attachment 1883195

View attachment 1883196
Hizo hapa Mwanza Ni Lodge za kishiri huko nje ya mji ndo unatupostia hapa unaita hotel.
Cheki hotel ambayo huwa
images-23.jpg
 
Za Kahama ziko wapi? [emoji13][emoji13][emoji13] Njombe inachapa kote kote Kahama na Mwanza City
Njombe ndo upuuzi gani huo hapa Tanzania, kakijiji kamejengwa pembezoni kufuata barabara huku nyuma hivyo vijumba ni mapori tupu.
 
[emoji38][emoji38][emoji13][emoji13] Wewe ni kituko ,wenzako wamejenga mahoteli Njombe wewe unazungumzia guest Kahama?

Umeona picha ya hotel hata moja kutoka Kahama? Ushauri wa bure hiyo guest iwe kwa show time ndio utapata wateja huko Kahama.
Samahani mkuu kama nimekukwaza.Mimi sio kituko mkuu .Ndio mwanzo wa kuanza na mtaji wangu ni mdogo.Nachoangalia ni demand ya wateja hata kwa siku ukiweza kulaza laki mbili kwa Guest house yenye vyumba 20 ni income nzuri sana mkuu .Kuliko hela ikae bank na huku wanaendelea kuikata.
 
Samahani mkuu kama nimekukwaza.Mimi sio kituko mkuu .Ndio mwanzo wa kuanza na mtaji wangu ni mdogo.Nachoangalia ni demand ya wateja hata kwa siku ukiweza kulaza laki mbili kwa Guest house yenye vyumba 20 ni income nzuri sana mkuu .Kuliko hela ikae bank na huku wanaendelea kuikata.
Hapana mkuu ni uamzi wako na pesa zako,utani wa jukwaani ubakie jukwaani.
 
Back
Top Bottom