Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,504
- 8,253
Mbona husemi shida za mbeya? Au kwenyewe hazipo?!Hiyo Mwanza unayoizungumzia ni jiji la Mwanza lakini sio Kama Dar Mwanza ni mkoa mkubwa kuna wilaya nyingine Kama sengerema,kwimba,Misungwi huko maisha ya shida.Ukitaka nilinganishe mbeya na Mwanza kwa maendeleo ya mkoa nje na majiji mbeya inaiacha mwanza.Hata kwa per capital income Kuna Gap kubwa sana.




