Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hiyo Mwanza unayoizungumzia ni jiji la Mwanza lakini sio Kama Dar Mwanza ni mkoa mkubwa kuna wilaya nyingine Kama sengerema,kwimba,Misungwi huko maisha ya shida.Ukitaka nilinganishe mbeya na Mwanza kwa maendeleo ya mkoa nje na majiji mbeya inaiacha mwanza.Hata kwa per capital income Kuna Gap kubwa sana.
Mbona husemi shida za mbeya? Au kwenyewe hazipo?!
 
Yaaa Kanda ya ziwa mwanza ndo ikoo vizuri kila sector at least bukoba vijijini ikoo poa nayooo ilaa sehemu nyingi bado Kuna changamoto nyingi tuuu japo kwa sahivi kila sehemu au kila mjii unajitaidi kimaendeleoo na kila mjii unafulsa nyingi tuu ni wemwenyewe kuwa mbunifu,
Maendeleo msiwe mnaangalia mijini tu. Angalia vijijini pia.


Mkoa mzima wa kagera ukitoa bukoba hakuna mji mkubwa wa maana lakin vijijini ni Bora kuliko baadhi ya miji hapa bongo.


Ukiungalia mji wa bukoba asubuhi unakuwa na foleni watu wakiingia mjini kufanya shughuli mchana wakitoka vijijini kwao na jioni kunakuwepo foleni ya kutoka mjini kurudi vijijini.



Na mkijenga nyumba nzuri vijijini serikali itawafata tu kuwawekea huduma Kama inavyofanya kwa vijiji vya bukoba
 
Eti wanajenga nyumba halafu hawaishi huko.


Hiv unajua kagera ni mkoa wa tatu nchi kwa population na population density.


Kagera population ni 3.2 million Mara ya 10 ya njombe yenye watu laki 9
Nyuma ya dar na mwanza tu

Kagera Ina population density ya 124 people per square nyuma ya dar, mwanza na Kilimanjaro tu.


Kijana kajenge kwenu? Hio ndo nguvu ya pesa Mambo ya kumiliki nyumba kariakoo tu huku kwenu Kuna matope huo ni upumbavu wa wakinga



Ndo maana route ya ndege ya bukoba haikosi wateja watu wanarudi vijijini kwao Mara kwa Mara.


View attachment 1883500View attachment 1883501View attachment 1883502View attachment 1883503View attachment 1883504View attachment 1883505View attachment 1883506View attachment 1883507View attachment 1883508
unaziua hesabu kweli mkuu 3.2 ni mara kumi ya Laki tisa kweli.Halafu swala la population sio kigezo cha maendeleo kanda ya ziwa inapopulation kubwa ambayo haizalishi ni tegemezi ndio sababu ya umasikini kukithiri lake zone.Njombe 80% ya working class inazalisha na almost twenty percent ya wazee nao wanajitgemea kiuchumi.
 
Hiyo Mwanza unayoizungumzia ni jiji la Mwanza lakini sio Kama Dar Mwanza ni mkoa mkubwa kuna wilaya nyingine Kama sengerema,kwimba,Misungwi huko maisha ya shida.Ukitaka nilinganishe mbeya na Mwanza kwa maendeleo ya mkoa nje na majiji mbeya inaiacha mwanza.Hata kwa per capital income Kuna Gap kubwa sana.
Yaaa jiji la mwanza center ndo kila kitu ukuu pembezoni Hamna kitu bado ni changamoto, sema selikali inakazi kubwa Sana inatakiwa kuhakikisha barabara zinazounganisha wiliya na wilaya zinapigwa lami
 
Frester Roadways
The Pride of Kahama

View attachment 1883892
FB_IMG_1628335380745.jpg
 
Nyumba unazoita za maana zimejengwa na wasomi walioko mjini hawaishi huko wala hawafanyi uwekezaji kubadili maisha ya waliowaa huko pengine ni kwa sababu hakuna tija.

Sasa hata ujenge bangalow la kufikia huko katerere kwenu la mamilioni na mimi niwe na pagala hata hapo Katoro au Rujewa maeneo ya Mjini,pagale langu ni more valuable kuliko hilo bangalow lako la kupigia picha.

Nyumba zetu za kufikia Vijijini kwetu zipo ila sie sio watu wa sifa za kijinga na kupoteza rasilimali kwa kujenga majumba ya gharama Vijijini.Kwanza Ili iwe nini labda?

Sawa Opportunity, mimi ni mwenzio hata hivyo, japo natokea Kusini Mashariki yaani Gas City, Korosho City!
 
unaziua hesabu kweli mkuu 3.2 ni mara kumi ya Laki tisa kweli.Halafu swala la population sio kigezo cha maendeleo kanda ya ziwa inapopulation kubwa ambayo haizalishi ni tegemezi ndio sababu ya umasikini kukithiri lake zone.Njombe 80% ya working class inazalisha na almost twenty percent ya wazee nao wanajitgemea kiuchumi.
Hebu angalia chimbuko la post yangu.


Jamaa anasema wahaya wanajenga nyumba nzr vijijini lakin hawakai huko
Sasa hizo nyumba anakaa mende au?



Na usiniquote vibaya. Population sio kigezo Cha maendeleo ndiyo.


Lakin saa nyingine sehemu zinakuwa na population kubwa Kama sababu hali inaruhusu mfano Kuna chakula,unafuu wa maisha, maisha ni Bora, huduma za kijamii nk
Mfano kagera Kuna wilaya zina hospital zaidi ya tano, barabara za lami,umeme na shule ka zote ndo maana zinakuwa na population kubwa.



Lakin population na density ya kagera Ina sababu chanya. Kagera hakuna majiji makubwa lakin una population density kubwa ya watu wanaokaa vijijini
1. Kuna low rural urban migration huko kagera kwa sababu ya hudumu kusogea vijijini.
2. Kagera watu wanaoishi mijini ni 3% ya watu wote wa kagera. Wengi hungangania vijijini.
3. Vijiji vya vinajitosheleza ndo maana watu hawapakimbii Sana.
4. Hali ya hewa ya bukoba sio baridi Wala sio joto
 
Unasema baada ya dar na Kilimanjaro vijijini kunafata njombe????


Kijana Mimi naposema mkatembelee vijijini huko bukoba mkaone elimu mijengo na majengo muwe mnaelewa

Hiyo Kilimanjaro ukichunguza unaweza inazidiwa na kagera kwa makazi Bora vijijini maana ni sehemu ya wachaga yenye nyumba Bora lakin kwa kagera sio wahaya au wanyambo wa karagwe Wana nyumba nzr

Baadhi ya vijiji huko bukobaView attachment 1883728View attachment 1883729View attachment 1883730View attachment 1883732

Je kuna tija au ni majengo ya kuishi popo? Kuna biashara yoyote? Kama hakuna ni baseless. Kujenga nyumba kubwa na nzuri zikiwa hazina watu ina maana gani?
 
Je kuna tija au ni majengo ya kuishi popo? Kuna biashara yoyote? Kama hakuna ni baseless. Kujenga nyumba kubwa na nzuri zikiwa hazina watu ina maana gani?
Kijana una uhakika nyumba zilizopo vijijini kagera kunaishi popo?

Hiv hiyo population ya 3.1 million ya kagera wanaishi wap Kama sio kwenye hayo majumba?


Population density ya kagera ambayo ni 124 per square metres inaishi wap Kama sio hayo majumba.



Ungekuwa rate ya Rural urban migration ni ndogo husingekuwa unaongea haya.




Bukoba asilimia 97 huishi vijijini kwenye hayo majumba.na hii ni asili ya wahaya kujipenda .
 
We pimbi, Kuna mkeka gani kwenda huko polini ikonda, kwa huko ikonda ndo mnaona ni bonge la hospitali lakini kwa huku hako ni kakituo ka Afya tu.
😆😆😆😆 Sizitaki mbichi hizi,kama sio mkeka onyesha asphalt highway ya huko kwenu kama hata mnayo.

Onyesha hospital kama hiyo huko kwenu mwanangwa na Hungumalwa kama ipo.Kigeu geu 😆😆☝️☝️.Aliyekuwa anasifia hiyo hospital baada ya kufika ni mimi au wewe?

Give credit where necessarily
 
Mgawane fito na nani nyie mapimbi?! Nchi hi Ni yenu? Nyie ndo mliikomboa kutoka kwa mkoloni?! Kipindi tunakomboa nchi nyie si mlikuwa busy kutoleana funza kwenye hizo kwato zenu! Tena mshukuru sana tunawabebabeba tu ingawa hamjawahi kuchangia msaada wowote katika nchi, ebu waulize mtwara walipo jaribu kuzuia gesi kilichowatokea! Au walipojaribu kuleta fyoko kuhusu korosho, Tutapiga hadi shangazi zenu.
Kibuyu kitupu hiki?

Wapi uliwahi soma sukuma resistance? How about Ngoni and Mkwawa(Hehe)

Uwage na akili,tutagawana fito mtakula hayo mawe huko.
 
Sizitaki mbichi hizi,kama sio mkeka onyesha asphalt highway ya huko kwenu kama hata mnayo.

Onyesha hospital kama hiyo huko kwenu mwanangwa na Hungumalwa kama ipo.Kigeu geu .Aliyekuwa anasifia hiyo hospital baada ya kufika ni mimi au wewe?

Give credit where necessarily
Hiyo hospital ni nzuri kwa kiwango cha huko polini kwenu, hata muhimbili ni nzuri kiwango cha TZ lakin kwa kiwango cha America ni upuuzi mtupu
 
Hiyo hospital ni nzuri kwa kiwango cha huko polini kwenu, hata muhimbili ni nzuri kiwango cha TZ lakin kwa kiwango cha America ni upuuzi mtupu
Onyesha hospital acha kulia Lia kama ke,weka mziki acha maneno
 
Kijana una uhakika nyumba zilizopo vijijini kagera kunaishi popo?

Hiv hiyo population ya 3.1 million ya kagera wanaishi wap Kama sio kwenye hayo majumba?


Population density ya kagera ambayo ni 124 per square metres inaishi wap Kama sio hayo majumba.



Ungekuwa rate ya Rural urban migration ni ndogo husingekuwa unaongea haya.




Bukoba asilimia 97 huishi vijijini kwenye hayo majumba.na hii ni asili ya wahaya kujipenda .
Hayo majumba ni ya minority walioko mjini,hao madungayembe wengine wako hoi
 
Kibuyu kitupu hiki?

Wapi uliwahi soma sukuma resistance? How about Ngoni and Mkwawa(Hehe)

Uwage na akili,tutagawana fito mtakula hayo mawe huko.
We kweli kichwa nazi, yaani unazungumzia upumbavu wenu wa kuamini risasi kuwa maji! Ila kweli nyie ni mandezi sana, Risasi kugeuka maji, mliuawa kiboya sana kwa ujinga wenu, huyo mkwawa naye baada tu ya kuiona Germany Rolling machine akajinyonga bila hata kuguswa, kama sio undezi nini!! Ebu chekishia mwana wa kanda ya ziwa, mwana wa Tanganyika, Mwana wa Afrika Julius K. Nyerere pasipo hata kumwaga damu, yaani kwa akili kubwa tu akaing'arisha December Tanganyika ikawa huru.
 
We kweli kichwa nazi, yaani unazungumzia upumbavu wenu wa kuamini risasi kuwa maji! Ila kweli nyie ni mandezi sana, Risasi kugeuka maji, mliuawa kiboya sana kwa ujinga wenu, huyo mkwawa naye baada tu ya kuiona Germany Rolling machine akajinyonga bila hata kuguswa, kama sio undezi nini!! Ebu chekishia mwana wa kanda ya ziwa, mwana wa Tanganyika, Mwana wa Afrika Julius K. Nyerere pasipo hata kumwaga damu, yaani kwa akili kubwa tu akaing'arisha December Tanganyika ikawa huru.
Nataka nione sukuma resistance sio kuongea Sana kama yatima hapa.Nyerere mwenyewe tulimpa maarifa wenyewe na tukamlea.

Huko machimboni hakuna shule au taasisi hata moja iliyotoa viongozi zaidi ya viazi kama wewe hapo.
 
Back
Top Bottom