T
Mikoa kumi inayoongoza kwa kuchangia pato la Taifa. Kanda ya ziwa imeingiza Mikoa mitatu, Nyanda za juu kusini mmeingiza mikoa miwili, na hamuoni aibu??? Wavivu sana nyie... WeView attachment 1880753
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile appy
Sasa zaidi ya madini geita itaizidi nn mkoa wa njombe mapato tu kimkoa imepigwa gap na kumbuka Kuna migodi soon inaanzishwa ludewaBasi tunaitoa Ruvuma na tunaiweka Njombe, kwa sababu najua Njombe bado ni mdogo kwa Geita na haiwezi mpangua Geita...
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app

