Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Wanasema SGR Ni JPM aliipendelea kwao, wakati Engineer wa SGR ni tokea kipindi cha BWMPesa zinaenda hazina, na katika mikoa inayofaidi pesa za hazina ni pamoja na kanda ya ziwa, serikali haijawahi kututenga kama ilivyoitenga kusini, na ndo maana Rais juzijuzi tu kazindua ujenzi wa SGR kanda ya ziwa kwanza kabla ya kusini make kipaumbele cha nchi hii ni pwani na kanda ya ziwa kwanza afu wengine ndo wanafuata, na wa mwisho kabisa ni kusini.



Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app




