Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kupambanisha Kahama na Njombe ni sawa sawa na kulimbiza Jet kwa mguu..TUnaongelea MC sasawasa na mwanafunzi wa primary akiongoza anajiona mjanja zaidi ya mwanafunzi wa form6 aliyeongoza..huo ni upuuzi na kukosa hekima.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha porojo wewe,we are closing the gap 👇

Screenshot_20210731-104459.png


Screenshot_20210731-104537.png
 
Unajua kwanini Njombe imekua ya 3, Katika Mikoa tajiri Tanzania ?, Wakati imekua Mkoa miaka 5 tu iliopita, Sababu ni wajanja katika biashara. Kuanzia Upangwa(Ludewa), Ukinga (Makete) hadi maeneo mengine wanachakarika sana hata kama eneo ni dogo.

Wanalima kilimo biashara hata iwe Mahindi kuliko maeneo mengine(ambao wao wanafanya Kilimo kula). Ingawa kwa sasa uchumi ni mgumu kokote pale lakini huwezi linganisha maeneo ya madini na yasio ya madini. Njombe wametumia akili kwa kupanda miti, Kahama wamepewa madini bure na Mungu.
Wa kwanza na wa pili Ni mkoa gani?
 
Binafsi yangu kati ya hiyo miji ningechagua Njombe. Watu wanadhani njombe ni mbao ambazo kimsingi wana supply East Africa yote mpaka Sudan kusini. Njombe INA supply viazi mviringo, inatoa parachichi nyingi nje ya nchi kuliko, thamani ya ardhi njombe ni kubwa kuliko kahama. Watu wa njombe ni wachapakazi sana pia naona hata kariakoo hapa wanunuzi wakubwa wa majengo ni wananjombe. Kahama ni pazuri lakini hali ya hewa na fursa za madini hazitabiriki,
nasikia wakinga wanatawala sana kariakoo.kumbe Njombe anasupply mbao hadi Sudan?
 
Halafu parachichi unayozungumzia njombe ambayo ilianzia tukuyu hadi ushirika na viwanda vikajengwa Rungwe, maana pale njombe ile ni raw material mnazalisha na impact yake ni ndogo na ndio maana bei za miaka ile ilikua juu kuliko wakati huu
viwanda gani vimejengwa Rungwe?
 
Source ni screenshot ya post yako mwenyewe JF, yaani umeandika post ukascreenshot ili tu ujifurahishe,
Ulivyo mnafiki upande wa dar city ukaweka mabano ni ilala tu lakini upande wa Mwanza city ukaacha kuweka mabano kwamba ni Nyamagana tu!
Sasas kwa upuuzi wako hukumbuki Magu alisema ilala iwe ndio Dar CC? Source hii hapa 👇
 

Attachments

Wiki iliyopita nilitembelea miji hii hapo chini, ila pia nilifika Songea, Mbinga na Ikonda, aisee pale Ikonda kuna hospitali nzuri sana.
Ila jamani ee Njombe na Makambako zinapigwa fimbo na MAFINGAView attachment 1876176View attachment 1876177View attachment 1876179
Kwanza pole Sana kwa kuugua/kuuguza hapo hospital ya Mt.Emaculate Ikonda.Hospital za govt zingekiwa na landscape nzuri na huduma bora kama hapo usingesikia kelele.

Afu shukuru umekuta mkeka uko poa,miaka 2 ijayo utaweza kufika Mbeya via Makete kwenye mkeka ,kwa sasa mkeka unaishia Makete mjini.

Fimbo gani unaisemea ndugu just kwa kupita tuu njiani? It is a matter of fact kwamba Mafinga imekua Sana kwa sasa na ni kweli ni kubwa na imeendelea kuliko Makambako.

Ila kwa Njombe hapana,nyie mnapita road tuu na kukutana na old town ya Njombe mnaishia kusema ni Mji mdogo.Jiografia ya Njombe ni milima na mabonde na ina nuclear settlement pattern unlike Mafinga ambayo ni linear settlement hivyo rahisi kuonekana.

Kingine Njombe is green all over is like makazi yamejificha ndani ya misitu kwa hiyo unaweza usielewe.Personally nafurahia Sana mandhari ya Njombe.

Lakini jambo kubwa na la muhimu ni wewe kukubali kwamba Miji yetu ya Kusini imeendelea kuliko ya huko kwenu 😃😃 na kwamba govt inazidi kuifungua kwa miundombinu.
 
Lakini jambo kubwa na la muhimu ni wewe kukubali kwamba Miji yetu ya Kusini imeendelea kuliko ya huko kwenu na kwamba govt inazidi kuifungua kwa miundombinu.

Miji ya kanda ziwa ni habari nyingine huwezi linganisha na kusini, hata kama kwa msaada wa serikali, serikali inawekeza zaidi miundombinu kanda ya ziwa kuliko huko kusini kwenu.
 
Back
Top Bottom