Kahama VS Njombe/Mafinga

Angalia kidogo wageni wanaoingia na kutoka kahama, angalia pia viwanda baadhi pale kahama labda tungesema chai itawaboost lakini kuliko chao afadhali uuze pweza ambazo utachukua kilwa na kwenda kuuza newala au uchukue pweza nangulikuru ukauze hata nachingwea utapata pesa maana chai ina settlers tu.
 
Bro Mbeya hata robo ya mwanza haitokuja kufika kiufupi Ukiitoa Dar, basi inayofuata ni Mwanza hapo umemaliza ndio utakuja Arusha
😄😄😄😄 Mzee Baba nyie ni wengi tuu kama simbilisi ila njaa tupu huko ndo maana mna mark time tuu
Ukiitoa Dar next ni Dom,Arusha then Mwanza in terms of cash
 
Kuna mtu alizungumzia Iringa kwa Taarifa yako Iringa ukitoa vyuo vikuu na vyuo vya kawaida yaani uitoe RuCU, Iringa University Zamani Tumaini, Na uitoe Mkwawa Iringa haina lolote inaachwa na Mafinga maana vyuo ndio vinaongeza population zaidi ya hapo na zaidi ukute vyuo vimefungwa utaanzia ipogoro, miyomboni, kihesa au hadi mwangata watu ni wakuhesabu tu
 
Najadili kwa kuangalia mzunguko wa pesa na fursa kibiashara wakuu na sii vinginevyo
 
Nyie manamba wa migodi ndio inakula kwenu maana sie shughuli zetu hazina uhusiano na hisani za Magu.Pamba hiyoooo inadoda
Huoni tunajenga kila kitu huku, tuna Chato international airport inaendelea kujengwa, Mwanza inakuja kuwa bonge la airport likiisha.
.
Tunajenga hospital ya wilaya Katoro ambayo ni kata tu.
Tunalima pamba.
Tuna migodi ya kutosha, Ashanti anglogold, Barrick au Acacia ya zamani tuna almasi mwadui.
.
Machimbo mengine hadi kero, Nyarugusu, Mwansubi n.k
Tuna malls za kisasa, tuna kiwanja cha mpira chenye leseni ya kuchezewa mechi za CAF kirumba, tuna Nyamagana nyasi za mzungu.
.
Nimechoka hapa nimeandika kibaguzi nimewatenga wa kagera na watu wa Mara
 
Mkuu mimi sipo kishabiki bali nitakupa ukweli,kwanza umekosea kulinganisha mkoa na wilaya,Njombe ni mkoa ina wilaya 4 na Halmashauri 6 ambapo mafinga na kahama zote ni wilaya.kwa kuangalia fursa za kibiashara katik hayo maeneo uliyotaja Njombe wilaya na hata Mkoa ipo mbali sana kuzidi hizo wilaya ulizozitaja.
Lakini kwa point yako sehemu ya wewe kuanzia fursa nitakushauri uende kahama kwa sababu zifuatazo
1.Ni vigumu sana kufanya biashara ya aina yoyote Njombe/mafinga kama sio mzawa au mshirikina
2.Njombe hamna mchanganiko wa watu wa mikoa mingine,tofauti na wafanyakazi wa serikalini,so bado wana mambo ya kizamani ya undugu na ukwetu.
So it is better uende kahama
 
Mzee Baba nyie ni wengi tuu kama simbilisi ila njaa tupu huko ndo maana mna mark time tuu
Ukiitoa Dar next ni Dom,Arusha then Mwanza in terms of cash

Kabla hujakua mkuu nilisafirisha sana sukari, power na the like Mbeya naifahamu vyema kuliko unavyo fikiri anzia uyole, kilimo, Mama john, ccm, hadi unashuka iwambi kwenda mbalizi, au metta kuelekea mjini huko, kabwe, soweto, nzovwe na mbembela zake naijua mbeya kuliko wewe , nimeishi Block T nadhani ulikua mdogo Boss, naongea nachokifahamu kwa taarifa yako
 
Mzee Baba nyie ni wengi tuu kama simbilisi ila njaa tupu huko ndo maana mna mark time tuu
Ukiitoa Dar next ni Dom,Arusha then Mwanza in terms of cash

Nilisaka sana pesa kanda yenu naifahamu sio kuisikia kwa kuishi kabisa, nina chapa za power na sukari usoni mwangu, so keep cool mkuu
 
Normal business fluctuations Kama chai na kahawa ya Ludewa.Ujue tuna pesa kuliko nyie wachuuzi mnaobahatisha vijisenti naomba tuelewane


pye..chai kila siku kwenye masoko ya dunia inazidi kushuka.utaniambia nn ww...labda useme kahawa..tena njombe haiko..km iko bas mmeanz kupanda 6yrs back..
 
Huj
pye..chai kila siku kwenye masoko ya dunia inazidi kushuka.utaniambia nn ww...labda useme kahawa..tena njombe haiko..km iko bas mmeanz kupanda 6yrs back..
Hujui kitu wewe tunapanda kahawa ya kuzidi Ludewa no matter Njombe yenyewe ulifika miaka mingi afu unatoa ushuzi hapa.Hakuna biashara inashuka kila siku hizo ni normal price fluctuations
 
pye..chai kila siku kwenye masoko ya dunia inazidi kushuka.utaniambia nn ww...labda useme kahawa..tena njombe haiko..km iko bas mmeanz kupanda 6yrs back..

Kahawa Njombe Haipo, Only Mbinga , Mbozi(vwawa, Mlowo, ileje, mbalizi, ) Kigoma ( Manyovu, incliding munanila, ) Kilimanjaro, Karagwe na Muleba, kiasi na Tanga kidogo lushoto, Tukuyu hayo ni baadhi ya maeneo wanayolima kahawa hiyo ya njombe uliiona watu
 
Kahawa Njombe Haipo, Only Mbinga , Mbozi(vwawa, Mlowo, ileje, mbalizi, ) Kigoma ( Manyovu, incliding munanila, ) Kilimanjaro, Karagwe na Muleba, kiasi na Tanga kidogo lushoto, Tukuyu hayo ni baadhi ya maeneo wanayolima kahawa hiyo ya njombe uliiona wapi QUOTE]
 
Back
Top Bottom