Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,719
Kuifananisha Njombe na Kahama ni utovu wa nidhamu, Kahama mji mkubwa sana hapa Tanzania na una mchanganyiko wa watu wengi, una biashara nyingi tofauti na madini, ni Mji ambao ni kiungo cha nchi zinazopakana na Tanzania upande wa Magharibi.
Njombe ni mji mdogo ambao unategemea zaidi Wakinga na Wabena wapande Miti ili kupata mbao ambapo hapo unaongelea miaka 7-10 ukianza hicho kilimo tarehe ya leo. Na mjue miti ina risky za kuchomwa moto nk.
Njombe ni mji mdogo ambao unategemea zaidi Wakinga na Wabena wapande Miti ili kupata mbao ambapo hapo unaongelea miaka 7-10 ukianza hicho kilimo tarehe ya leo. Na mjue miti ina risky za kuchomwa moto nk.