Hebu leta picha za town centre ya njombzilihs
tumeshazituma nyingi sana humu labda kama umeanza leo kwenye huu uzi.Hebu leta picha za town centre ya njombe
Hebu leta picha za town centre ya njombzilihs
tumeshazituma nyingi sana humu labda kama umeanza leo kwenye huu uzi.Hebu leta picha za town centre ya njombe
Serikali iko Shinyanga, jibu rahisi kabisa! Kwa hiyo vipaumbele vinakua pale ilipo serikali.Akiwa Town council kambuluza Shy vizuri tu na Dunia inajua, Sasa ni level moja Municipal na bado ana potential ya kutengeneza mapato zaidi ya hiyo Shy kwa nini serikali ishindwe kuwekeza zaidi Kahama kuliko huko Shy ili iweze kuvuna zaidi?
Kahama gari limewakaaa
Hali hiyo iko pale Dodoma, Mtwara, Moro na mfano wa zamani ni Machinga Complex DSMMasoko yote mapya yanashida sababu inajulikana sera ya uuzaji holela wa bidhaa ndio sababu,watu wametapakaa mtaani na bidhaa ambako hawalipi ushuru na wanauza popote,tatizo liko nchi nzima nenda Morogoro tatizo,Dodoma tatizo,Bado kutakua na shida kisutu,Magomeni pia.Hivyo kukosekana wateja ndio sababu ya masoko kuyumba.Serikali isipofumba macho masoko yatageuka magofu
Mmmh, yaani hela ya Stendi ijenge barabara ya kwenda vijijini? Stendi kama ni billion 4, barabara ni kama kilometa 3, utafika kijiji kipi mdau kwa umbali huo?Hata kwa makambako mpango wao wa kujenga stendi kipagamo naona hauko sawa Basi nyingi zinapita tuu itabidi waiboleshe iii ya Sasa afuu ni Ina eneo kubwa lakutosha iyo pesa kwajili ya stendi ya kipagamo wajenge barabara za kwenda vijijini kwa kiwango Cha lamii itasaidia sanaaaa
Kahama kubaya we,hapawez kufanana na Iringa em kuwa na heshima na miji ya watuHii battle nimemshangaa labda hajatembea huyu muanzisha maada, Kahama huwezi ifananisha na hata Iringa, Tabora, Songea, Kigoma, Shinyanga na the like
Duh ahsante kwa kunichekesha hiv kwel ,vumb la mbeya ulifananishe na Dom? hahah 😆Kuna nini cha ajabu hapo Dom kupashinda Mbeya.
1.Mbeya ina fursa za kiuchumi kushinda Dom.
2.Population ya Mbeya kubwa kushinda Dom.
3.Kibiashara Mbeya iko hot kuliko Dom
4.Mji wa Mbeya ni mkubwa na mzuri kushinda Dom.
5.Hali ya hewa Mbeya iko safi kuliko Dom.
6.Miundombinu ndo usiseme
Kwa Viwango vya Tarura hapo n km 8 za lami ,hii ina tija kuliko huo upuuzi wa stand ambayo hakuna hata gari moja la mikoani linalalaMmmh, yaani hela ya Stendi ijenge barabara ya kwenda vijijini? Stendi kama ni billion 4, barabara ni kama kilometa 3, utafika kijiji kipi mdau kwa umbali huo?
Weka video ya Kahama tuone hizo hatua mlizopiga,kama hatua zinapigwa mdomoni sawaKama hiyo ndo njombe Basi bado sana aisee.kahama mnaionea bure. Kahama imepiga hatua Sana
leo na waletea latest Arial view ya Njombe Town
Wewe bure wa head..kwani Kahama na Njombe ziko level moja..?Kahama ni MC Njombe ni TCNjombe TC tunazidi kukimbiza kama kawaida yetu..
Na mwaka huu wa 2020/21 kwa mara ya kwanza tumeizidi manispaa uchwara ya Kahama kwa mapato
Njombe TC 8.7 bln Kahama 7.5 bln .Njombe ni
View attachment 1873599
Ni hivi sizungumzii level na hata kama ni ishu ya level ni aibu kwa inayojiita Manispaa kuzidiwa na isiyo Manispaa.Wewe bure wa head..kwani Kahama na Njombe ziko level moja..?Kahama ni MC Njombe ni TC
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeongoza asilimia tena kwa Wachovu Wenzie,weka mapato halisi tulinganishe uone utakavyovuna aibu
Hata Lindi na Mpanda na Sumbawanga zote ni MC lakini ni miji ya kichovu na maskini.Hizo MC zenu zimejaza maskini mjini hakuna cha maana wanafanya.Kupambanisha Kahama na Njombe ni sawa sawa na kulimbiza Jet kwa mguu..TUnaongelea MC sasawasa na mwanafunzi wa primary akiongoza anajiona mjanja zaidi ya mwanafunzi wa form6 aliyeongoza..huo ni upuuzi na kukosa hekima.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
MC lakini inaongoza katika MC..hiyo TC kama imejaza matajiri..mbona bado haijafika levo za MC so usiwabeze lindi na MC nyingine..endeleeni kulima miti mbao tunazihitaji sana..ila huwezi shindana na wachimba dhahabu kwa pesa.Hata Lindi na Mpanda na Sumbawanga zote ni MC lakini ni miji ya kichovu na maskini.Hizo MC zenu zimejaza maskini mjini hakuna cha maana wanafanya.
Njombe hakuna wachovu huku tumejaa wachapakazi ndio maana unaona tunawakimbiza kimapato nyie MC wachovu
Ni procedures tu zinasubiliwa,MC ya Kahama haikutangazwa Rasmi kwa procedure ila Mwendazake fulani alitamka tuu ikawa MC .MC lakini inaongoza katika MC..hiyo TC kama imejaza matajiri..mbona bado haijafika levo za MC so usiwabeze lindi na MC nyingine..endeleeni kulima miti mbao tunazihitaji sana..ila huwezi shindana na wachimba dhahabu kwa pesa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Msubirie Geita na Kibaha TC ndio zipo kwenye pipelineNi procedures tu zinasubiliwa,MC ya Kahama haikutangazwa Rasmi kwa procedure ila Mwendazake fulani alitamka tuu ikawa MC .
Kwa hiyo kuwa mpole baada ya sensa next year itatangazwa rasmi pamoja na Geita na Mbozi
Baada ya Sensa Manispaa ni Geita,Kibaha,Njombe,Kasulu na MboziMsubirie Geita na Kibaha TC ndio zipo kwenye pipeline