Mipango miji
Member
- Feb 3, 2017
- 61
- 63
Binafsi yangu kati ya hiyo miji ningechagua Njombe. Watu wanadhani njombe ni mbao ambazo kimsingi wana supply East Africa yote mpaka Sudan kusini. Njombe INA supply viazi mviringo, inatoa parachichi nyingi nje ya nchi kuliko, thamani ya ardhi njombe ni kubwa kuliko kahama. Watu wa njombe ni wachapakazi sana pia naona hata kariakoo hapa wanunuzi wakubwa wa majengo ni wananjombe. Kahama ni pazuri lakini hali ya hewa na fursa za madini hazitabiriki,