Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Miji ya kanda ziwa ni habari nyingine huwezi linganisha na kusini, hata kama kwa msaada wa serikali, serikali inawekeza zaidi miundombinu kanda ya ziwa kuliko huko kusini kwenu.
Zaidi ya kuwekeza hapo Mwanza kuna sehemu gani kwingine kuna miundombinu? Miji ya huko ni ya kichovu Sana.
 
Wiki iliyopita nilitembelea miji hii hapo chini, ila pia nilifika Songea, Mbinga na Ikonda, aisee pale Ikonda kuna hospitali nzuri sana.
Ila jamani ee Njombe na Makambako zinapigwa fimbo na MAFINGAView attachment 1876176View attachment 1876177View attachment 1876179
Hahaha ulipita barabaran ndo unaanza ku compare hapo umefeli sana kumbuka hii miji mitatatu Ina jiografia tofauti sana mafinga ni rahisisi kuuona mji wote tofauti na miji ya njombe na makambako ko usikae ukaanza kusimulia kwa mtu Alie tembelea hii miji atakucheka unacho kiongea maana njombe ni mji ulio kwenye milima na mabonde na makambako eneo lake kubwa ni tambalale
 
Hahaha ulipita barabaran ndo unaanza ku compare hapo umefeli sana kumbuka hii miji mitatatu Ina jiografia tofauti sana mafinga ni rahisisi kuuona mji wote tofauti na miji ya njombe na makambako ko usikae ukaanza kusimulia kwa mtu Alie tembelea hii miji atakucheka unacho kiongea maana njombe ni mji ulio kwenye milima na mabonde na makambako eneo lake kubwa ni tambalale
Na hata suala la miundombinu mingi Kama lami za barabara za mitaa njombe na makambako zpo mbali mno ukilinganisha na mafinga yenye km 10 mji mzima
 
Sasa kwa upuuzi wako hukumbuki kipindi Magu anasema alitolea mfano wa jiji la Mwanza ambapo Nyamagana ndo City Council. Lakini umeshindwa kuonyesha Mwanza CC ni Nyamagana lakini umeweza kuonyesha Dar CC ni Ilala
Hakika
 
Wiki iliyopita nilitembelea miji hii hapo chini, ila pia nilifika Songea, Mbinga na Ikonda, aisee pale Ikonda kuna hospitali nzuri sana.
Ila jamani ee Njombe na Makambako zinapigwa fimbo na MAFINGAView attachment 1876176View attachment 1876177View attachment 1876179
Apoo unafeli Sana makambako na njombe zipo mbali sana angalia hata idadi ya watu nayoo itakupa majibu wapi pakoo vizuli, wee tatizo gorofa la mafinga balabalani palee ndo limekupoteza iloooo
 
Musoma, Geita, Kahama, Bukoba, Bariadi, Shinyanga, Sirari, Tarime, Katoro, Sengerema,nk
Sasa kuna nini cha maana kwenye hivyo vijiji? Hivi Kahama inaweza lingana kimiundombinu hata na Sumbawanga?

Afadhari Geita,Shinyanga walipata mradi wa ULGSP,Sasa vijiji vya Bukoba,Bariadi,Tarime,Katoro,Sirari na Sengerema haviwezi hata kusogelea Tunduma kwa kila kitu.
 
Sasa kuna nini cha maana kwenye hivyo vijiji? Hivi Kahama inaweza lingana kimiundombinu hata na Sumbawanga?

Afadhari Geita,Shinyanga walipata mradi wa ULGSP,Sasa vijiji vya Bukoba,Bariadi,Tarime,Katoro,Sirari na Sengerema haviwezi hata kusogelea Tunduma kwa kila kitu.
Kijana uliwahi fika bukoba?
Maana unaitaja taja tu eti Kijiji?


Huko kusini ukitoa mbeya na iringa hakuna mji unaoweza ufikia bukoba kwa lolote.labda stendi ya mabasi maana ndo ilishindikana.


Nitajie sehemu ya huko bukoba mjini ambayo haina barabara ya lami.

Husisahau bukoba ndo Kuna bandari na busy airport kubwa baada ya mwanza.
 
Kijana uliwahi fika bukoba?
Maana unaitaja taja tu eti Kijiji?


Huko kusini ukitoa mbeya na iringa hakuna mji unaoweza ufikia bukoba kwa lolote.labda stendi ya mabasi maana ndo ilishindikana.


Nitajie sehemu ya huko bukoba mjini ambayo haina barabara ya lami.

Husisahau bukoba ndo Kuna bandari na busy airport kubwa baada ya mwanza.
Mwambie kabisa ATCL / Precision air zipo kila siku (Dar-Mwz-Bukoba na Bukoba-Mwanza-Dar) x2
 
Mwambie kabisa ATCL / Precision air zipo kila siku (Dar-Mwz-Bukoba na Bukoba-Mwanza-Dar) x2
Watu wengine bwana wanafikiri mji ukiwa mbali Sana na dar ndo Basi Kijiji.
Bukoba airport ipo top five ya viwanja vilivyo busy bongo.



Kusini huko hakuna mji Wala watu wanaoweza shinda na bukoba na watu wa bukoba
bk%20townn.PNG
View attachment 1877695
HJDSS.jpg
cathe.PNG
2620657_Allsocial-1605763701701.jpg
3.PNG
msira.PNG
ndizi.PNG
12139993_1492267991067507_2618653931639448129_o.jpg
nbvdh.jpg
ndede.PNG
kkkjk.PNG
hiikgik.PNG
 
Sasa kuna nini cha maana kwenye hivyo vijiji? Hivi Kahama inaweza lingana kimiundombinu hata na Sumbawanga?

Afadhari Geita,Shinyanga walipata mradi wa ULGSP,Sasa vijiji vya Bukoba,Bariadi,Tarime,Katoro,Sirari na Sengerema haviwezi hata kusogelea Tunduma kwa kila kitu.
Niko hapa nakitazama hiki Kijiji cha bukoba .


We mtu ya njombe unatumia Cha Arusha labda
bk%20townn.PNG
cc04af9141ffef7300c26637ac8d9b2d.jpg
bk%20air.PNG
 
Sasa kuna nini cha maana kwenye hivyo vijiji? Hivi Kahama inaweza lingana kimiundombinu hata na Sumbawanga?

Afadhari Geita,Shinyanga walipata mradi wa ULGSP,Sasa vijiji vya Bukoba,Bariadi,Tarime,Katoro,Sirari na Sengerema haviwezi hata kusogelea Tunduma kwa kila kitu.
Tatizo lako hizo sehemu zote hujawahi kufika, kwa taarifa yako Geita yenyewe haioni ndani kwa kahama. Na kwa taarifa yako ukitoa mbeya hakuna mji hata mmoja huko kusini unaofikia KAHAMA
 
Hiki kijiji hata kwa Swax hakifikii japo kimejitahidi
Swaxx ndo sumbawanga sio.


Kijana hebu toka huko kusini utembee kidogo.




Sumbawanga yako ni Kama mji wa karagwe hapo chini.

Screenshot_20210730-102958.jpg
Screenshot_20210730-085210.jpg
Screenshot_20210730-103126.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20210101-163931.jpg
    Screenshot_20210101-163931.jpg
    35.3 KB · Views: 6
  • bk%20airp.PNG
    bk%20airp.PNG
    215.3 KB · Views: 7
Tatizo lako hizo sehemu zote hujawahi kufika, kwa taarifa yako Geita yenyewe haioni ndani kwa kahama. Na kwa taarifa yako ukitoa mbeya hakuna mji hata mmoja huko kusini unaofikia KAHAMA
Huyo jamaa ni wa kupuuzwa.

Wala hajawahi fika Kanda ya ziwa kabisa
 
Back
Top Bottom