Wewe ni kiazi tu
Sekou Toure ni Hospital ya Mkoa mzima wa Mwanza. Kahama ni Mkoa????
Yaaani ndio ujue Kahama ni Level nyingine ingekuwa ni Makao makuu ya Mkoa usinge leta hoja ya kipuuzi hivi.
Mbali na hapo huduma za Afya Kahama Bado ni za uhakika kutoka kwenye hospital za binafsi Kama Aga Khan, BAKWATA na Marie stoppers na hata zile za serikali.
Hospital ya Wilaya Kahama unaweza weka group moja na Hospital ya Nyamagana Kona ya Butimba au Hospital ya Ilemela kule Kabusungu.
Sent from my Infinix X5515 using
JamiiForums mobile app