Zitto
Former MP Kigoma Urban
- Mar 2, 2007
- 1,562
- 10,890
you are not serious at all. Haya angalia haba kurefresh mind yako https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/20767-habari-njema-je-mnayajua-haya-3.html
Haha haha haha
Hiyo mbona tayari nimepeleka swali bungeni. Nilidhani unasemea Kamati ya Bomani. Hizi nyingine ni kazi za kila siku na wala hazizuii kufanya kazi nyingine. Tumetumwa Bungeni kufanya kazi hizi. Na JF inasaidia sana kupata taarifa.
Point ya msingi katika mambo makubwa kama haya ya KAGODA ni rahisi sana kupoteza watu maboya. Ninarudia, Lowasa hahusiki moja kwa moja na KAGODA. Labda wanaofloat jina lake hapa wana ajenda fulani ambayo ninaamini ni kutuzuga.
Ninadhani what i have ni kamili. Ninaamini ni 100%!