Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal

Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal





Ndugu Zitto nina swali hapo kwenye kuhusu Kagoda kuwa State sponsored...Je kuna ufafanuzi wowote ule kuhusiana na individuals walio na majukumu ya kufanya maamuzi on behalf of the state?

Kwasababu ukisema tu kwamba ni "State sponsored" na kuishia hapo hakuna tofauti na kutumia kauli ya "Usalama wa Taifa" Bila ufafanuzi wa kuwa ni usalama wa Taifa wa aina gani huo wa kuuza nchi ama ni kina nani hao "State" waliofuja pesa za wananchi na kulitumbuliza Taifa kwenye umasikini kwasababu ya corruption.

Ama "State" haiundwi na individuals ambao ni lazima wawe held accountable in case of violations of the rules that governs the state and its people? This time corruption?

Ama inawezekana na The Head of State must have beeen involved?
Kazi ipo....Kati ya JK na EL kuna kutupiana mpira wa lawama as to who is responsible for the "State Sponsored" Corruption?

Jmushi kama ni kweli it was state sponsored tunatakiwa kujua hizo pesa zilitumika vipi, inawezekana kulikuwa na covert operations ambazo zilihitaji ujanja kama huo, lakini tunapaswa kuambiwa ni operations zipi na zimetunufaisha vipi. Labda Kagoda itafunua macho yetu ya kujua hasa nani ni kigogo wa ufisadi
 
Zitto unafanya kosa kubwa sana kwenye conclusion yako.

It is true Kagoda was birthed not by the govt but by Mtandao plus Idara.

total taken was 40 billion and total spent on 2005 election was less than 15 billion.

Sasa hizo 25 billion zilikokwenda ndio utawakuta wakuu wa mtandao 2, ambao waligawana hizo hela na baadhi ya watu wengine kwenye Idara.

Kwa hiyo Zitto endelea kuchunguza utajua ukweli wote sababu trace za bank transactions zinajulikana zote kwa hiyo utazipata tu na wewe kama ukichunguza au ukiwa na sources kwenye kamati ya mwanyika au kwenye Idara. Ni hayo tu.
 
Jmushi kama ni kweli it was state sponsored tunatakiwa kujua hizo pesa zilitumika vipi, inawezekana kulikuwa na covert operations ambazo zilihitaji ujanja kama huo, lakini tunapaswa kuambiwa ni operations zipi na zimetunufaisha vipi. Labda Kagoda itafunua macho yetu ya kujua hasa nani ni kigogo wa ufisadi

Ganesh alisema ni lowassa lakini Zitto akasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni...Akasema ni "State sponsored" na mimi nikajiuliza ina maana hakuna majina ya watu humo ndani ya State?
 
Kwa hiyo Zitto endelea kuchunguza utajua ukweli wote sababu trace za bank transactions zinajulikana zote kwa hiyo utazipata tu na wewe kama ukichunguza au ukiwa na sources kwenye kamati ya mwanyika au kwenye Idara. Ni hayo tu.


Zitto ana mambo mengi ambayo anaendelea kuchunguza na hadi leo hajapata majibu. Ushauri wangu kwa huyu kijana ni kuwa, asichukue jukumu lingine kabla hujamaliza yale ya kwanza. Despite doing one thing at a time, think also of first in first out.

Nevertheless, kama hujapata majibu sio vibaya kusema kuwa huna majibu au hujapata nafasi ya kuchunguza au kufuatilia.
 
yeah i think it is right watu wasitumie kivuli cha "state" na "idara" kujificha. Mwalimu alikuwa anauliza huko ikulu mnakimbilia nini, kumbe watu walijua wanakimbilia nini. I am sure pamoja na uzembe wote uliopo. lazima kuna records za orders ambazo zinatoka kwa individuals ambao ndio wanatakiwa kuwa held accountable.
 


...Kwasababu ukisema tu kwamba ni "State sponsored" na kuishia hapo hakuna tofauti na kutumia kauli ya "Usalama wa Taifa" Bila ufafanuzi wa kuwa ni usalama wa Taifa wa aina gani huo wa kuuza nchi ama ni kina nani hao "State" waliofuja pesa za wananchi na kulitumbuliza Taifa kwenye umasikini kwasababu ya corruption.

Ama "State" haiundwi na individuals ambao ni lazima wawe held accountable in case of violations of the rules that governs the state and its people? This time corruption?

Jmushi,

Yani mi mwenyewe nimechoka akili hapo na huyu Mheshimiwa.

Zitto anadhani anaweza kusema vitu kijuu juu tu na kutumia maneno specious, eti "state sponsored corruption" halafu akamsafisha Lowassa na kutuchota kirahiiiisi.

Zitto sasa hivi anataka kukubalika kwa power brokers wa nchi, na kujijengea gravitas kwa wazee wa CCM, same playbook aliyotumia kijana Jakaya. Anataka avue ile image ya kuwa Mbunge mmoja mpiga kelele anaefukuzwa fukuzwa Bungeni. Anataka aalikwe kwenye cocktail parties Magogoni, aingizwe kwenye Tume za uchunguzi za CCM administration, hataki kina Makamba wakaanza kumrundika na "watoto wa kwenye intaneti" wanaokosoa Serikali.

Lakini wakati huo huo asingependa aonekana kama dalali wa CCM, hivyo inabidi aweze kupafekti sanaa ya kuuma na kupuliza. Hiyo ndio conundrum ya Zitto.
 
Mkuu Zitto umesema vyema sana .Lakini sasa if that is the case kwamba the State was behind and is behind Kagoda leo watu wakimtaja Lowasa then JK hapatakuwa na kosa maana wao ndiyo walikuwa wakubwa ndani ya State ama hapa ni mimi sijaelewa ?


Kaka Lunyungu,

Ukweli utakapojulikana soon kupitia hizi kesi ndo itajulikana the haswa How was it conceived - the idea to implementation

Ukweli utajulikana tu. Tunapoanza kumweka Lowasa humu tutajikuta tunacheza mchezo tusioujua.
 
Jamani, hivi kitu kikishasemwa ni "state sponsored" bado kuna ufafanuzi unatakiwa kweli - mbona hii ni "self-evident and axiomatic". The buck stops with the highest authority in the land, period. State house can be a very lonely place and if you doubt this, muulize Kichaka.
 
Shall we ever know the truth in the this cloudy situation?

Hili la KAGODA sisi tumeshamaliza uchunguzi na ukweli tunaujua. Kesi hisi zitaweka yote wazi. Hakuna kitakachobaki kwani lengo letu ni kuhakikisha kuwa hali kama hii haitokei tena siku za usoni. Eti chama cha siasa kutumia fedha za umma kwa wizi ili kugharimia uchaguzi wake.

Mama

Hili sio la uchunguzi tena. Kazi kubwa tumefanya na tumefikisha hapa ilipofika. We have all the information.
 
why all the secrecy?ukweli uanikwe juani so that this country can move on! zitto i hope your statement regarding lowasa has no latent meaning....
 
Mama

Hili sio la uchunguzi tena. Kazi kubwa tumefanya na tumefikisha hapa ilipofika. We have all the information.


Okay, vipi kuhusu uchunguzi wa masuala ya madini? Hamjamaliza bado.
 
Jmushi,

Yani mi mwenyewe nimechoka akili hapo na huyu Mheshimiwa.

Zitto anadhani anaweza kusema vitu kijuu juu tu na kutumia maneno specious, eti "state sponsored corruption" halafu akamsafisha Lowassa na kutuchota kirahiiiisi.

Zitto sasa hivi anataka kukubalika kwa power brokers wa nchi, na kujijengea gravitas kwa wazee wa CCM, same playbook aliyotumia kijana Jakaya. Anataka avue ile image ya kuwa Mbunge mmoja mpiga kelele anaefukuzwa fukuzwa Bungeni. Anataka aalikwe kwenye cocktail parties Magogoni, aingizwe kwenye Tume za uchunguzi za CCM administration, hataki kina Makamba wakaanza kumrundika na "watoto wa kwenye intaneti" wanaokosoa Serikali.

Lakini wakati huo huo asingependa aonekana kama dalali wa CCM, hivyo inabidi aweze kupafekti sanaa ya kuuma na kupuliza. Hiyo ndio conundrum ya Zitto
.


Hizi tuhuma kubwa sana. Kitu kimoja kinachoongoz maisha yangu ni ukweli, na kuutafuta ukweli. Ninasema kweli daima hata kama ukweli utaumiza baadhi ya watu. No trace of Lowasa on EPA - KAGODA. Tena nimesema no trace ya Lowasa moja kwa moja! aweza kuwa linked kupitia chama chake, sio yeye binafsi.

Unajua Lowasa keshachafuka sana. Ni rahisi sana watu kumhusisha ili kupoteza malengo, na kutupoteza boya. Tumeshafika pazuri sana kwneye EPA na hawana pa kutokea. Kwa nyaraka zangu Lowasa hayumo. Ninaziamini sana nyaraka zangu.
 
Okay, vipi kuhusu uchunguzi wa masuala ya madini? Hamjamaliza bado.

Madini tena ni la kwangu? Soma ripoti ya Bomani. Ni public document. Kazi yangu nilimaliza na nimeridhika nayo.

Tuendelee na EPA
 
Hizi tuhuma kubwa sana. Kitu kimoja kinachoongoz maisha yangu ni ukweli, na kuutafuta ukweli. Ninasema kweli daima hata kama ukweli utaumiza baadhi ya watu. No trace of Lowasa on EPA - KAGODA. Tena nimesema no trace ya Lowasa moja kwa moja! aweza kuwa linked kupitia chama chake, sio yeye binafsi.

Unajua Lowasa keshachafuka sana. Ni rahisi sana watu kumhusisha ili kupoteza malengo, na kutupoteza boya. Tumeshafika pazuri sana kwneye EPA na hawana pa kutokea. Kwa nyaraka zangu Lowasa hayumo. Ninaziamini sana nyaraka zangu.

Zitto,

Nyaraka zako zinaweza kabisa kuwa ziko 80% accurate na hiyo 20% ambayo huna ndiyo hiyo inayomuingiza Lowassa katika Kagoda. Haya mambo si rahisi kufikia conclusion bila ya kuwa na ushahidi uliokamilika.
 
...Kwa nyaraka zangu Lowasa hayumo. Ninaziamini sana nyaraka zangu.

Basi ungeishia hapo Zitto. Unapoanza kutuambia kigezo cha "state sponsored corruption" unakuwa msanii. Who is "the state" ? You tell us.

Who is "the state" ?

Kina JMushi na watu wengine wenye akili ni lazima watakuuliza kama Waziri Mkuu sio the state who is "the state" ?

"The state" inaweza kwenda jela ? Unajua "the state" ni smokescreen, mtu kama ghost vile, na huwezi kumpata kumpeleka polisi, kwa hiyo unasema aliyetenda ufisadi wa Kagoda "ni state" ili asipelekwe mtu kwenye vyombo vya sheria, sio ?

Who is "the state" ?
 
Back
Top Bottom