Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal

Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal

I Ushi wa Rombo fully support the petition Kagoda washitakiwe (Kagoda isomeke Manji and Rostam)

Mkuu hata mimi nina-support hiyo Petition, cha muhimu hapa ondoa hayo majina Manji na Rostam,Tujaribu kushinikiza Kagoda kama Kagoda bila majina hayo mawili,kwani Kagoda ni kubwa kuliko Manji na Rostam.

Nataka kuuona Ujasiri wa Feleshi kwa hili.....
 
Tuanzie hapa,....maana ndio mhusika mkuu

Halisi
Huyu Dr Tenga ni kati ya sumu zinazoitafuna Tanzania taratibu kwa kivuli cha usomi na sheria.
I support, sheria ifuatwe, Kagoda washitakiwe!
 
I know who to contact.. kwanza naomba wakuu tujaribu kulobby kwa hawa jamaa..

Labda wataongea, lakini nahisi wanaweza wakaogopa maana Kagoda could distablilize the govt.. lakini tujaribu tuu hii ishu ilipuliwe.
1.Wiveca Holmegrean, Chair of the Development Partners Anti-Corruption Network in Tanzania
 
Fedha ya kagoda iliishia mikononi mwa Viongozi wa Chama Tawala kwa mtindo wa kugawana maboksi ya fedha katika ubinafsi wao.
Wizi kupitia kampuni ya Kagoda ni deal ilosukwa Ikulu ili kuendeleza utawala Haramu kwa fedha za wizi.
Kushindwa kuchukua hatua kali dhidi ya Kagoda ni juhudi zao za kujaribu kufunika Makalio yao kuficha aibu yao.
Naunga mkono juhudi za kupiga kelele na kutoa shinikizo la nguvu ile shughuli nzima ya Kagoda isitugeuze Watanzania Mazezeta kwa mara ya pili.
Wahusika wote walionufaika na fedha ya Kagoda ni lazima watiwe adabu hata kama kwa kufanya hivyo utawala mzima wa CCM utaonja mauti.

Suala jingine Muhimu.
Wale wote wenye nia safi ndani na nje ya JF watusaidie kufichua njama za aina yote za CCM kujaribu kuiba fedha kutoka katika acount nyingine za BOT ili kugharimia uchaguzi wa mwaka 2010.
Pengine ni vema sasa hivi kuweka hadharani Account ambazo tunahisi Mizee mijizi hii inazitolea udenda.
 
Kagoda, Richmond, Meremeta na ........ baba mmoja mama mmoja, matumbo mbalimbali...... haya maneno siku moja yatadhihiri. Huwezi kuamini huu ni wizi wa kimataifa unaovuka mipaka na ndio maana kina Feleshi na wenzake wanapata kizunguzungu.

Haya yametengenezwa na watu wenye utaalamu wa kimataifa wa kufanya haya mambo na wanajua jinsi ya kujilinda kimkakati
 
Tuanzie hapa,....maana ndio mhusika mkuu
Asante Halisi. Cha kusikitisha hawa matapeli wa kimataifa wanatumia vibaraka kuwasainia documents zenye mihela mingi sasa sielewi wanafaidikaje. Tuwe makini sana katika kusaini dicuments ambazo hujui chanzo chake. Kwa mfano hapa huyo Barrrati Godda na Tabu Omari wanafaidikaje na wizi wa Rostam? Ninamfahamu Barrati mpaka leo hii anaishi nyumba ya kupanga, na si kwa kutaka bali kwa kuwa hajajenga!!!!!! Kuna mtu wa karibu alimshauri aondokane na ajira ya Rostam lakini hajasikia.Matokeo yake kama legal prosecutors wataamua kukalia vifungu vya sheria basi yuke aliyesaini documents amejifunga maana RA anaweza kuwakana kama pilato.

Huyu Baratti atafutwe ndiye anayefahamu wamiliki and beneficiaries wa kampuni zote za Rostam Aziz. Ila sasa awe makini maana RA anaweza kufanya lolote juu yake ili kumaliza ushahidi. Nafikiri RA anamtumia sana huyu Barrati kwenye issues nyingi!!!! Si vema kuzianika hapa ila RA anafanya biashara hatari kwenye sekta muhimu , natural resources and tourism, energy and minerals na zile!!! You name a few!!!!
 
rostam kashaanza kuogopa kivuli chake. kama alivyosema N. Mkono C C imejaa mafisadi ambao hawataki wanamapinduzi.
RA position on EPA scandal is the ultimate test to Jakaya and his cronies, will they dare to bite the hand that feeds them? regardless of how dirty that hand is !
Wawe macho maana wapiga kura tuko makini come 2010
 
rostam kashaanza kuogopa kivuli chake. kama alivyosema N. Mkono C C imejaa mafisadi ambao hawataki wanamapinduzi.
RA position on EPA scandal is the ultimate test to Jakaya and his cronies, will they dare to bite the hand that feeds them? regardless of how dirty that hand is !
Wawe macho maana wapiga kura tuko makini come 2010


Hivi kumbe Mkono sio fisadi? au ndio yale ya nyani haoni makalio yake, hucheka ya wenzie?!
 
hizi hela zimetumika kwenye kampeni za CCM, Rostam ndio kiongozi au mlisha sahau kua yeye alikua mwenyekiti wa kampeni na ndio alikua muweka hazina wa CCM. Kikwete na wenzake wanatubabaisha tu. hakuna atakae fungwa wala hizo hela hazijarudi, mwisho tutapoa na hawa wizi wataendelea kula tu.
 
hizi hela zimetumika kwenye kampeni za CCM, Rostam ndio kiongozi au mlisha sahau kua yeye alikua mwenyekiti wa kampeni na ndio alikua muweka hazina wa CCM. Kikwete na wenzake wanatubabaisha tu. hakuna atakae fungwa wala hizo hela hazijarudi, mwisho tutapoa na hawa wizi wataendelea kula tu.


Tufanye sasa ndugu yangu? Hebu tuelekeze maana wewe unayajua mengi. Tunyamaze tu kwa vile hakuna atakayefungwa? au tugome? au tusubiri 2010 ndio tujue cha kufanya..au...au.....?
 
kwa sasa vyombo vya habari vinafanya kazi yake na Dr.Sla anawapa chai yao, sisi wananchi tuendelee kuzungumzia swala hili mpaka ufunbuzi upatikane.
 
Mengi ataka DPP aifichue Kagoda
Theopista Nsanzugwanko
Daily News; Tuesday,November 18, 2008 @21:15

Mwenyekiti wa Shirikisho la Wenye Viwanda Nchini (CTI) Reginald Mengi, amemwomba Mkurugenzi wa Mashitaka ya Jinai (DPP) kutoa ufafanuzi kuhusiana na kampuni ya Kagoda ambayo ni miongoni mwa kampuni 22 zilizochota Sh bilioni 133 Benki Kuu.

"Tunataka tuelezwe Kagoda ni kitu gani?" Alihoji Mengi wakati akimshukuru Makamu wa Rais, Dk Mohamed Shein Mara baada ya kufungua Maadhimisho ya 19 ya Viwanda ya Afrika na sherehe ya miaka 10 ya Taasisi ya Sekta binafsi Dar es Salaam jana.

Kampuni ya Kagoda inadaiwa kuchota Sh bilioni 40 lakini hadi sasa wamiliki wake hawajafikishwa mahakamani. Inadaiwa kuwa baadhi ya vigogo wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa ndio wamiliki wa kampuni hiyo.

Mengi alimuomba Makamu wa Rais kufikisha pongezi kwa Rais Jakaya Kikwete kwa jinsi alivyoshughulikia suala la Madeni ya Akaunti ya Nje (EPA) kitu kilichoonyesha jinsi nchi hii ilivyo na utawala wa sheria.

Lakini pia aliomba Mkurugenzi wa Mashitaka kuondoa kiu kwa wananchi kwa kuwaeleza kuwa Kagoda ni mdudu gani? Au ni kitu gani? Kutokana na wananchi wengi kwa sasa kutokuwa na uelewa. "Naomba kwa kumalizia DPP utusaidie kutuelezea kuwa Kagoda ni mdudu gani na wa aina gani na ikiwezekana kutueleza hii Kagoda ni nini ili kutuondolea kiu tuliyonayo sisi wenye viwanda pamoja na wananchi"anasema.

Mengi alisema ingawa si sehemu yake ya kuzungumzia suala hilo; lakini kwa kuwa amepata nafasi ya kuzungumza alisema ni bora kutoa pongezi kwa Rais alivyolishughulikia vyema suala hilo kwani watu wengi walijua baada ya fedha kurudishwa ingekuwa mwisho wa suala hilo.

Alisema kitendo cha majalada yote kupelekwa kwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) kimeonyesha jinsi nchi ilivyo chini ya utawala wa sheria na kumtaka DPP kuharakisha katika kutolea uamuzi suala hilo. Tayari Mkurugenzi wa Mashitaka ya Jinai (DPP) Eliezer Feleshi amewataka wananchi waiachie ofisi yake kushughulikia kesi za ufisadi wa mabilioni ya fedha yaliyochotwa katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA).

Feleshi katika taarifa yake kwa vyombo vya habari hivi karibuni, alifafanua kuwa licha ya kuwa ofisi yake ni ya umma lakini inafanya kazi bila kuingiliwa na mtu au mamlaka yoyote."Kwa msingi huo ninawaomba wananchi kuwa na subira na kuiacha ofisi kufanya kazi yake kwa mujibu wa sheria," alisema Feleshi.

Alisema majalada yote yanayohusiana na EPA yamewasilishwa kwake na yanaendelea kufanyiwa kazi. "Kama mnavyoshuhudia baadhi ya watuhumiwa wamepelekwa mahakamani." Aliongeza kuwa kwa majalada ambayo yanahitaji uchunguzi zaidi yanaendelea kufanyiwa kazi kama alivyoelekeza vyombo vya uchunguzi.
 
Mengi ataka DPP aifichue Kagoda
Theopista Nsanzugwanko
Daily News; Tuesday,November 18, 2008 @21:15


Mwenyekiti wa Shirikisho la Wenye Viwanda Nchini (CTI) Reginald Mengi, amemwomba Mkurugenzi wa Mashitaka ya Jinai (DPP) kutoa ufafanuzi kuhusiana na kampuni ya Kagoda ambayo ni miongoni mwa kampuni 22 zilizochota Sh bilioni 133 Benki Kuu.

“Tunataka tuelezwe Kagoda ni kitu gani?” Alihoji Mengi wakati akimshukuru Makamu wa Rais, Dk Mohamed Shein Mara baada ya kufungua Maadhimisho ya 19 ya Viwanda ya Afrika na sherehe ya miaka 10 ya Taasisi ya Sekta binafsi Dar es Salaam jana.

Kampuni ya Kagoda inadaiwa kuchota Sh bilioni 40 lakini hadi sasa wamiliki wake hawajafikishwa mahakamani. Inadaiwa kuwa baadhi ya vigogo wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa ndio wamiliki wa kampuni hiyo.

Mengi alimuomba Makamu wa Rais kufikisha pongezi kwa Rais Jakaya Kikwete kwa jinsi alivyoshughulikia suala la Madeni ya Akaunti ya Nje (EPA) kitu kilichoonyesha jinsi nchi hii ilivyo na utawala wa sheria.

Lakini pia aliomba Mkurugenzi wa Mashitaka kuondoa kiu kwa wananchi kwa kuwaeleza kuwa Kagoda ni mdudu gani? Au ni kitu gani? Kutokana na wananchi wengi kwa sasa kutokuwa na uelewa. “Naomba kwa kumalizia DPP utusaidie kutuelezea kuwa Kagoda ni mdudu gani na wa aina gani na ikiwezekana kutueleza hii Kagoda ni nini ili kutuondolea kiu tuliyonayo sisi wenye viwanda pamoja na wananchi”anasema.

Mengi alisema ingawa si sehemu yake ya kuzungumzia suala hilo; lakini kwa kuwa amepata nafasi ya kuzungumza alisema ni bora kutoa pongezi kwa Rais alivyolishughulikia vyema suala hilo kwani watu wengi walijua baada ya fedha kurudishwa ingekuwa mwisho wa suala hilo.

Alisema kitendo cha majalada yote kupelekwa kwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) kimeonyesha jinsi nchi ilivyo chini ya utawala wa sheria na kumtaka DPP kuharakisha katika kutolea uamuzi suala hilo. Tayari Mkurugenzi wa Mashitaka ya Jinai (DPP) Eliezer Feleshi amewataka wananchi waiachie ofisi yake kushughulikia kesi za ufisadi wa mabilioni ya fedha yaliyochotwa katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA).

Feleshi katika taarifa yake kwa vyombo vya habari hivi karibuni, alifafanua kuwa licha ya kuwa ofisi yake ni ya umma lakini inafanya kazi bila kuingiliwa na mtu au mamlaka yoyote.“Kwa msingi huo ninawaomba wananchi kuwa na subira na kuiacha ofisi kufanya kazi yake kwa mujibu wa sheria,” alisema Feleshi.

Alisema majalada yote yanayohusiana na EPA yamewasilishwa kwake na yanaendelea kufanyiwa kazi. “Kama mnavyoshuhudia baadhi ya watuhumiwa wamepelekwa mahakamani.” Aliongeza kuwa kwa majalada ambayo yanahitaji uchunguzi zaidi yanaendelea kufanyiwa kazi kama alivyoelekeza vyombo vya uchunguzi.
 
duh,naona Mangi anashindwa kabisa kuificha vita yake na Manji....kaaaz kwelikweli
 
duh,naona Mangi anashindwa kabisa kuificha vita yake na Manji....kaaaz kwelikweli


SEMNATO
SIO TU NA MANJI HII NI KWA MAFISADI WOTE WALIOHUSIKA ,VITA YA UFISADI SI MENGI PEKEE BALI NI MIMI NA WEWE KUHANGAIKA KUPIGA VITA
 
duh,naona Mangi anashindwa kabisa kuificha vita yake na Manji....kaaaz kwelikweli

Kwa hiyo ndugu yetu unaona kwamba kuna ukweli wa Manji kuhusika ila Mengi has no right to speak about maana ana bifu na manji. Is this how we should be thinking?
 
wakuu,msininukuu vibaya mkaniangushia huo mziki wa RA na Manji mimi jamani..sio mimi!
labda nipo nyuma mwenzenu,nielimisheni,hivi kati ya waliochota vijisenti vya EPA ni mdudu Kagoda tu aliyebaki kufikishwa mahakamani?kwanini Mangi ataje hiyo tu?na nani kati yetu asiyejua mtafaruku wa hao watu wawili?kwanini isi'raise question hapa kama ni kweli anapinga ufisadi kama tunavyolia wengi ama anaingiza personal interests kwenye hili suala?
.....ni hayo tu!
 
duh,naona Mangi anashindwa kabisa kuificha vita yake na Manji....kaaaz kwelikweli


Vita ya Mengi, mimi na umma wa watanzania si kwa Manji peke yake bali ni vita kwa mafisadi wote. Kinachoshangaza ni jinsi mashitaka dhidi ya wahusika yanavyoshughulikiwa. Sikutegemea aliyeiba bilioni 40 hajapelekwa mahakamani wakati walioiba bilioni moja na waliopata vikamisheni ndo wamepelekwa. Hatutaki kesi za vidagaa hapa, tunataka kesi za mapapa pia. Kwa mafano list ya kuanza kupelekwa mahakamani ingeanza hivi 1. Kagoda(40 bilioni), 2. Jeet Patel (23 milioni), Lukaza (0ver 6 billioni), you name all in descending order. Kwa mantiki hiyo lazima tuanze na kichwa Kagoda na si kuanzia miguuni kwa vidagaa.

Pia ieleweke Manji hatakubali kupelekwa mahakamni wakati beneficiary wa Kagoda ni RA. Manji aliombwa na ssm amnusuru RA kwani wakati wa wizi alikuwa fund raiser wa ssm hivyo ingekuwa ni soo kwa ssm. Na Manji akakubali kubeba mzigo huo, pengine kuna kamkataba kuwa akifanikisha atalipwa chochote kufuta kuharibiwa reputation!!!!You never know.

Mangi Mengi yuko right kabisa na pengine anafahamu kuwa Manji aliunganishwa tu na Kagoda na si mmiliki wa Kagoda!!!
 
Back
Top Bottom