shankal
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 373
- 327
Tuna maslahi kubwa sana na Kongo, unajua ni asilimia ngapi ya Mizigo ya nje ya Kongo mashariki inapita kutumia bandari ya Dar es Salaam? Nenda Kasanga ziwa Tanganyika ndio utajua tunamaslahi gani na Kongo.
Kama ndio hivyo huo ushuru unaenda wap?kama sio maslahi ya wachumia tumbo then wana wasacrifice ndugu zetu kwa njaa zao la maana hakuna zaidi ya madeni yasiyokwisha ambayo had mtoto ambae hajazaliwa anadaiwa ..