Kagame ndani ya Congo, sisi kiherehere cha nini?

Kagame ndani ya Congo, sisi kiherehere cha nini?

Ukweli hiki ni kiherehere. Tanzania inakwenda DRC kutetea na kulinda raslimali za Congo? Kweli? au nayo inapora?

Soma Post Yangu Mkuu Nimeandika Kila Kitu na Nimejibu Baadhi Ya Maswali Yako. Nakushukuru Pia Kwa Kuwa Critical ktk Hili. Nimefurahi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Itakuwa Kikwete ana maslahi binafsi na hii operation ya kongo, kama kweli anasaidia kuwepo na aman katika nchi za Africa basi apeleke jeshi SOMALIA aone mziki wake.

Mkuu Ulipoamkia Leo Naomba Uwe Unalala Hapo Kila Siku. Umenipa Raha Na Kuifanya Asubuhi Yangu Kuwa Nzuri na Yenye Furaha. Akhsante Kwa Post Yako Hii Na Hakika Sasa Wayahudi Weusi Tunaanza Kuongezeka Nchini Tanzania. Watanzania Wa Leo Siyo Wa Jana Kwani Wanajua Pumba na Mchele.
 
Kagame sikia. Wewe hakuna asiyekujuwa hapa East Afrika kwa uyafanyayo. Nikuahakikishie kitu kimoja kuwa siku zako hapa duniani zinahesabika. Nobody likes you except for your uncle (Museveni) in Uganda. Hapo Rwanda wananchi wanakushangilia because wanakuogopa kwa uuwaji wako and brutality. Marais wote wa Afrika wanajuwa kuwa wewe ni muuwaji ila wanangoja tu mtu ajitokeze kukumaliza, better believe it, akija kutokea mtu kukumaliza nobody will come to your aide. You are living a sad life.

Full of TITO and GIGO.................................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
watu wana ugonvi wao binafsi halafu wanatuahadaa sisi ili tuingie kwenye machafuko,alituahadaa nyerere ugonvi wake binafsi na idd amini na huku idd amin akimdai nyerere wakutane ili wapigane laivu yeye akampelekea jeshi,safari hii piganeni wenyewe labda mna maslai binafsi na huko DRC,haiwezekani wanajeshi wetu wanakufa kila siku wanaacha watoto yatima ,wajane na wategemezi wengine halafu tusijiulize tunatetea maslahi ya nani,hata raisi wa marekan aliwahi kuhojiwa na wabunge wake ni faida zipi wameipata kwa kupeleka jeshi Iraq.Ukiuliza hapa tanzania unaambiwa wanajeshi wanapata uzoefu,kama suala ni uzoefu ni bora tuombe vita ya kirafiki na marekani ili wanajeshi wetu wawe ngangali,kama suala ni uzoefu mbona wanaokwenda vitani wengi ni vijana wadogo wenye miaka chini ya 25,wakati kuna wazee mpaka wanakaribia kustaafu hawajawahi kupigana vita kwa nini wasiende wao,wanaogopa nini,ndio maana vita ya uganda wakati wanazoa wagambo kijijini kwetu babu alikataa na kuwajibu kwamba mmewahi kunipa mshahara wenu siku moja


Bila shaka wewe ni kizazi cha facebook,madhara ya kutopita NATIONAL SERVICE,
Fikra zako ni finyu sana,usiongee mambo ambayo una uelewa nayo,nenda kasome kwanza.
 
Nawashangaa mainterahamwe kushangilia Tanzania kupeleka kikosi kule Congo kupambana na M23 kikundi ambacho kinasemekana kinafadhiliwa na Kagame ili kupora mali za wakongo
Hivi kama Kagame ameamua kutumia fursa kupora mali kwa ajili ya wanyarwanda sisi inatuuma nini? au ndo wivu wa maendeleo, hizo mali za Congo zinatusaidia nini mpaka tuzipiganie, Tumesaidia sana ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara tena kwa kumwaga damu lakini hamna chochote tunachothaminiwa na mataifa hayo leo hii vijana wetu wanamwaga damu kwa ajili ya wacongo ili mali zao zisichukuliwe na mjanja Kagame ambae anazitumia kujenga nchi yake ifike sehemu tuache kiherehere.

Wewe ina elekea unachojua sana humu duniani,ni kutumia facebook tu,unawezaje kuongea pumba kiasi hicho,nina wasiwasi hata kama elimu ya darasa la saba umemaliza,
 
Nawashangaa mainterahamwe kushangilia Tanzania kupeleka kikosi kule Congo kupambana na M23 kikundi ambacho kinasemekana kinafadhiliwa na Kagame ili kupora mali za wakongo
Hivi kama Kagame ameamua kutumia fursa kupora mali kwa ajili ya wanyarwanda sisi inatuuma nini? au ndo wivu wa maendeleo, hizo mali za Congo zinatusaidia nini mpaka tuzipiganie, Tumesaidia sana ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara tena kwa kumwaga damu lakini hamna chochote tunachothaminiwa na mataifa hayo leo hii vijana wetu wanamwaga damu kwa ajili ya wacongo ili mali zao zisichukuliwe na mjanja Kagame ambae anazitumia kujenga nchi yake ifike sehemu tuache kiherehere.
Ati?!!!!
 
Nawashangaa mainterahamwe kushangilia Tanzania kupeleka kikosi kule Congo kupambana na M23 kikundi ambacho kinasemekana kinafadhiliwa na Kagame ili kupora mali za wakongo
Hivi kama Kagame ameamua kutumia fursa kupora mali kwa ajili ya wanyarwanda sisi inatuuma nini? au ndo wivu wa maendeleo, hizo mali za Congo zinatusaidia nini mpaka tuzipiganie, Tumesaidia sana ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara tena kwa kumwaga damu lakini hamna chochote tunachothaminiwa na mataifa hayo leo hii vijana wetu wanamwaga damu kwa ajili ya wacongo ili mali zao zisichukuliwe na mjanja Kagame ambae anazitumia kujenga nchi yake ifike sehemu tuache kiherehere.

kwa taarifa yako kagame ni mtutsi-extremist. kwake yeye waafrika wote tofauti na watutsi ni watumwa, akija Tanzania sijui utasemaje.
 
Mkuu Ulipoamkia Leo Naomba Uwe Unalala Hapo Kila Siku. Umenipa Raha Na Kuifanya Asubuhi Yangu Kuwa Nzuri na Yenye Furaha. Akhsante Kwa Post Yako Hii Na Hakika Sasa Wayahudi Weusi Tunaanza Kuongezeka Nchini Tanzania. Watanzania Wa Leo Siyo Wa Jana Kwani Wanajua Pumba na Mchele.

eti wayahudi,.....sema mende!
 
haya ndio majitoto ya haramu ya Kinyaruanda yaliyohifadhiwa Tz. sina hata la kucomment namuona mwehu tu
 
We kenge kweli....huko ulipo Kigali tumbo joto....! Tunaelewa kuwa Kagame na kagenge chake cha wahuni wote sasa matumbo joto..........! Najua unaelewa nani sasa amekuwa gumzo miongoni mwa jamii inayoonewa Rwanda.........wananchi hao wanafurahia kichinichini kipigo mlichopata Congo, na wanaomba sababu itokee.......ili JWTZ waje wamtoe Kenge hapo Kigali...!

wewe utafaidika nini? Mbona hamna heshima na nchi jirani!?
 
Nawashangaa mainterahamwe kushangilia Tanzania kupeleka kikosi kule Congo kupambana na M23 kikundi ambacho kinasemekana kinafadhiliwa na Kagame ili kupora mali za wakongo
Hivi kama Kagame ameamua kutumia fursa kupora mali kwa ajili ya wanyarwanda sisi inatuuma nini? au ndo wivu wa maendeleo, hizo mali za Congo zinatusaidia nini mpaka tuzipiganie, Tumesaidia sana ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara tena kwa kumwaga damu lakini hamna chochote tunachothaminiwa na mataifa hayo leo hii vijana wetu wanamwaga damu kwa ajili ya wacongo ili mali zao zisichukuliwe na mjanja Kagame ambae anazitumia kujenga nchi yake ifike sehemu tuache kiherehere.



Yaani shukurani yao ni kuja kufanya utapeli na uwizi kwa kushirikiana Mafisadi mifano iko mingi
Hizi ni za South Afrika ebu pima hizi ndiyo zawadi wanayoweza kutupatia


1.NBC
2.NET Group solution
3. ATC
4.............
5............

 
Wa Kuvunja Matofali Ya Udongo Kwa Kichwa au Kuvunjiwa Mbao Za Kutengenezea Madawati? Mkwara Wa Miaka 50 Ya Muungano Usikupe Jeuri Huna Jeshi La Kupambana Na Kagame na Rwanda Yake na Ukianzisha Tu Vita Na Kagame Shughuli Itaanzia Hapa Hapa Tanzania Kwani Wanyarwanda Wamejazana ktk Kila Idara Yako Nyeti Unayoijua Wewe ktk Nchi Hii. Kama Kweli Tupo Vizuri Mbona Hadi Leo Hatujamkamata Yule Mwanajeshi Jasusi Wa Rwanda Aliyefanya Kazi JWTZ Kwa Takribani Miaka Saba Iliyopita na Akaondoka Laptop Computer Iliyokuwa Na Vitu na Mambo Nyeti Ya Tanzania? Sasa Kama Huyo Mtu Mmoja tu Anatutoa Jasho Kumsaka Je Hii Inaashiria Nini ktk Medani Za Intelligence Na Millitary? Mimi Nawashauri tu Hebu Mwambieni Mjomba Alianzishe Kisha Muone Mtiti Wake!!!!!!!!!!!!!!

Huyo Mnyarwanda aliminywa kimya kimya na intelijensia ya jeshi,Aliyemmaliza ni mwanamama mwanausalama wa jeshi aliyepewa jukumu la kumfuatilia mara baada ya kushtukiwa nyendo zake.
 
na kwa taarifa yako mtanzania mzalendo hawezi kushabikia kuingiza majeshi yetu vitani bila sababu ya msingi kamwe! Kupeleka jeshi congo kutakuwa na maana tu kama nchi yetu itafaidika kiuchumi iwe kwa kuibia congo kama inavyosadikika kuwa rwanda inafanya au vinginevyo! Nje ya hapo kina membe wapeleke ndugu zao au watoto wao kule congo ili wakajue ugumu wa vita!

Unaelewa maana ya uzalendo wewe?
 
hoja yako haina mashiko.ukumbuke kwamba leo ni congo kesho itakula kwetu.ni muhimu kwa jeshi letu kwenda kuwasaidia ndugu zetu wakongo kwani kinyume na hapo kesho hawa wanyarwanda watatugeukia sisi.nashangazwa sana na kauli hii potofu kwa huyu jamaa yetu.ujue vision ya mwalimu nyerere ni kuona afrika nzima kuwa huru.wakongo wakiwa na amani hata sisi tutakuwa na amani lakini kongo isipokuwa na amani hata sisi watanzania amani yetu itakuwa mashakani.kagame akileta ujeuri ni lazima apigwe.huwezi kupeleka askari wake kwenda kuiba mali za wakongo,hii haikubaliki.watanzania tuwe wazalendo.nashangaa sana vijana wa sasa hivi wa kitanzania hawana uzalendo na nchi yao.vijana wengi hawaenda jeshini hata hawajui madhara ya vita hivyo wana wanabwabwaja tu
 
Mkuu inabidi ikumbuke hatukuenda sisi kwa matakwa yetu, tumeenda kupitia UN, kupitia UN lleo congo kuna majeshi zaidi ya nchi kumi. Tulienda pamoja na Malawi na South afrika lakini sijawahi kusikia hawa jamaa wengine wakigombana mabungeni mwao. Hii ni kawaida somalia wapo burundi na uganda, CAR ufaransa, rwanda na majeshi ya nchi kibao. Sielewi kwa nini sisi tunaongea saana kuhusu congo. Leo wakitokea M20 tanzania itabidi kama sisi un itume majeshi nchini kufanya kile tuachokifanya congo,
Hoja yangu sisi tusiwachanganye wanajeshi wetu na siasa. Mambo ya UN tuwaachie UN, sisi tukomae kuimarisha uchumi kupitia majirani. Pamoja na kushutumiwa kuiba mali ya congo, rwanda bado ni nchi inayoongoza kwa kupokea misaada africa. Ushauri wangu Nchi iachane na siasa za chuki na majirani, tuangalie jinsi tunavyowez kuwatumia kukua kiuchumi. Tuna safari ndefu jamani.
 
Wewe ndio mchafu unajua kuna vijana wetu wanakufa huko wanaacha watoto na wajane kwa ajili ya mali za wacongo zinatusaidia nini?

ndio kazi waliochagua kupigania taifa hili,kingine kaa ukijua kuwa amani ndani ya congo ndio amani ndani ya taifa hili,kwasababu akili yako ni yakushu=ikiwa huwezi kujua hili matusi ndo ulio fundishwa klakini sio kutoa tathimini za kweli
 
Wewe ndo mpuuzi sisi kupeleka jeshi Congo tunanufaika na nini zaidi ya vijana wetu kuawa huko na kuacha yatima kwanini Wacongo wameshindwa kujilinda,kwanini Marekani hakupeleka jeshi lake.

Yaan wewe unaweza muona jirani yako kavamiwa na uwezo wa kumsaidia unao halafu unaangalia tu.

Huo unaitwa uoga. Halafu na huyo kagame mnaemtetea ametutukana watanzania

Wewe utakuwa na matatizo mtu anakutukana wewe unamchekea, mwisho wa siku atakushika m@tak0

Halafu sisi wote ni watanzania (ila sina uhakika na wewe) pamoja na mapungufu yote tuliyonayo lakini katika suala la utaifa kama hili lazima tuwe wamoja kulinda heshima ya taifa letu
 
Nawashangaa mainterahamwe kushangilia Tanzania kupeleka kikosi kule Congo kupambana na M23 kikundi ambacho kinasemekana kinafadhiliwa na Kagame ili kupora mali za wakongo
Hivi kama Kagame ameamua kutumia fursa kupora mali kwa ajili ya wanyarwanda sisi inatuuma nini? au ndo wivu wa maendeleo, hizo mali za Congo zinatusaidia nini mpaka tuzipiganie, Tumesaidia sana ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara tena kwa kumwaga damu lakini hamna chochote tunachothaminiwa na mataifa hayo leo hii vijana wetu wanamwaga damu kwa ajili ya wacongo ili mali zao zisichukuliwe na mjanja Kagame ambae anazitumia kujenga nchi yake ifike sehemu tuache kiherehere.
Tuna maslahi kubwa sana na Kongo, unajua ni asilimia ngapi ya Mizigo ya nje ya Kongo mashariki inapita kutumia bandari ya Dar es Salaam? Nenda Kasanga ziwa Tanganyika ndio utajua tunamaslahi gani na Kongo.
 
Uzalendo upi unaoujua ina maana kuipigania Congo ni Uzalendo????

Nakuuliza hivi wewe kama jirani yako anavamiwa (tena na mtu ambaye amewahi kukutusi) utajifungia tu ndan kwako bila hata kumsaidia??

Huo unaitwa uoga tena wa kike basi

Nyinyi vijana wa siku hizi mna matatizo sana, hivi unafikiri kina nyerere na nkrumah wangekuwa na mawazo mfu kama yako leo hii africa ingekuwaje?

Suala hapa ni ukombozi na si vinginevyo, na huo ndo uzalendo wa kweli, Africa ni yetu wote kwa hiyo hata kuipigania congo pia ni kuonesha uzalendo kwani wote ni waafrica.

AFRICA UNITE
 
Wa Kuvunja Matofali Ya
Udongo Kwa Kichwa au Kuvunjiwa Mbao Za Kutengenezea Madawati? Mkwara Wa
Miaka 50 Ya Muungano Usikupe Jeuri Huna Jeshi La Kupambana Na Kagame na
Rwanda Yake na Ukianzisha Tu Vita Na Kagame Shughuli Itaanzia Hapa Hapa
Tanzania Kwani Wanyarwanda Wamejazana ktk Kila Idara Yako Nyeti
Unayoijua Wewe ktk Nchi Hii. Kama Kweli Tupo Vizuri Mbona Hadi Leo
Hatujamkamata Yule Mwanajeshi Jasusi Wa Rwanda Aliyefanya Kazi JWTZ Kwa
Takribani Miaka Saba Iliyopita na Akaondoka Laptop Computer Iliyokuwa Na
Vitu na Mambo Nyeti Ya Tanzania? Sasa Kama Huyo Mtu Mmoja tu Anatutoa
Jasho Kumsaka Je Hii Inaashiria Nini ktk Medani Za Intelligence Na
Millitary? Mimi Nawashauri tu Hebu Mwambieni Mjomba Alianzishe Kisha
Muone Mtiti Wake!!!!!!!!!!!!!!

endeleeni kujidanganya..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom