Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,420
- 4,032
Huyu kamaliza mitihani ya brn jana, unaweza kufikiri unajibizana na mtu ni katoto!
Bunge letu lingekuwa makini lilipaswa kumwita jk na membe na kuwaweka kiti moto juu ya uamuzi wao wa kupeleka watoto wa masikini waitwao wanajeshi congo. Je Tanzania inapata maslahi gani ya kiuchumi ya muda mfupi au muda mrefu? Vinginevyo bunge lingepiga marufuku kupeleka jeshi letu congo! Tatizo bunge letu limekuwa mpitishaji wa kila kitu kinachopelekwa na serikali bungeni!
Aisee, wewe utakuwa sio mtanzania.
Kwa mtz aliye mzalendo na nchi yake hawezi zungumza uliyozungumza wewe
haa haa mkuu huo ndo ukweli! Chuki binafsi za mtu mmoja zinaliingiza taifa vitani!
jina lako tu linafanana na kabila la kna kagame. ..tatzo umeamishia akili m.a.t.a.k.o.n...kagame mpuuz lazma tumchape ndan au nje ya tz ameua sana wahutu na wakosoaji wake akiwemo yule mkuu wa ujasus south ata mkuu wake wa majeshi aliyemkmbia baada ya kuona kagame anamlazmsha kuua wakongo wasio na hatia bwana nyamaswa ambaye kagame amejarbu kumuua mara kadhaa bila mafanikio adi kufkia serkali ya south afrca kumwambia kagame kuwa watamchapa akmgusa nyamaswa alieleza wazi waandshi wa habari yeye na mke wake mauaji ya kagame kwa wakongo wasio na hatia na uporaji wa madini anaofanya kongo.
Mimi ni mwanachadema mtiifu ninayemfahamu kagame from a-z.
Sikuungi mmkono kwa hili mkuu maana kagame ni sumu kali ndani ya mvinyo wa sherehe ya kifalme.
Nitamchukia kagame siku zote bila kukoma,asiye mjua atamshangilia.
Media za rwanda kila siku ni kumsifia kama vile mungu mtu!
'n£no'
tukiingia vitani nitakuwa wakwanza kuchukua silaha ili kuangamiza adui la africa mashariki na kati,p.kagame.
Kwanza jina lako tuu haina haja ya kujadili post yako....huna tofauti na wale haramu.....
Aisee, wewe utakuwa sio mtanzania.
Kwa mtz aliye mzalendo na nchi yake hawezi zungumza uliyozungumza wewe
Rwanda anatuharibia biashara DRC lazima tumchape tu
Kama Kagame alishindwa mikikimikiki ya JWTZ kule Congo ataweza hapa nyumbani?
watu wana ugonvi wao binafsi halafu wanatuahadaa sisi ili tuingie kwenye machafuko,alituahadaa nyerere ugonvi wake binafsi na idd amini na huku idd amin akimdai nyerere wakutane ili wapigane laivu yeye akampelekea jeshi,safari hii piganeni wenyewe labda mna maslai binafsi na huko DRC,haiwezekani wanajeshi wetu wanakufa kila siku wanaacha watoto yatima ,wajane na wategemezi wengine halafu tusijiulize tunatetea maslahi ya nani,hata raisi wa marekan aliwahi kuhojiwa na wabunge wake ni faida zipi wameipata kwa kupeleka jeshi Iraq.Ukiuliza hapa tanzania unaambiwa wanajeshi wanapata uzoefu,kama suala ni uzoefu ni bora tuombe vita ya kirafiki na marekani ili wanajeshi wetu wawe ngangali,kama suala ni uzoefu mbona wanaokwenda vitani wengi ni vijana wadogo wenye miaka chini ya 25,wakati kuna wazee mpaka wanakaribia kustaafu hawajawahi kupigana vita kwa nini wasiende wao,wanaogopa nini,ndio maana vita ya uganda wakati wanazoa wagambo kijijini kwetu babu alikataa na kuwajibu kwamba mmewahi kunipa mshahara wenu siku moja
Nawashangaa mainterahamwe kushangilia Tanzania kupeleka kikosi kule Congo kupambana na M23 kikundi ambacho kinasemekana kinafadhiliwa na Kagame ili kupora mali za wakongo
Hivi kama Kagame ameamua kutumia fursa kupora mali kwa ajili ya wanyarwanda sisi inatuuma nini? au ndo wivu wa maendeleo, hizo mali za Congo zinatusaidia nini mpaka tuzipiganie, Tumesaidia sana ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara tena kwa kumwaga damu lakini hamna chochote tunachothaminiwa na mataifa hayo leo hii vijana wetu wanamwaga damu kwa ajili ya wacongo ili mali zao zisichukuliwe na mjanja Kagame ambae anazitumia kujenga nchi yake ifike sehemu tuache kiherehere.
Nawashangaa mainterahamwe kushangilia Tanzania kupeleka kikosi kule Congo kupambana na M23 kikundi ambacho kinasemekana kinafadhiliwa na Kagame ili kupora mali za wakongo
Hivi kama Kagame ameamua kutumia fursa kupora mali kwa ajili ya wanyarwanda sisi inatuuma nini? au ndo wivu wa maendeleo, hizo mali za Congo zinatusaidia nini mpaka tuzipiganie, Tumesaidia sana ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara tena kwa kumwaga damu lakini hamna chochote tunachothaminiwa na mataifa hayo leo hii vijana wetu wanamwaga damu kwa ajili ya wacongo ili mali zao zisichukuliwe na mjanja Kagame ambae anazitumia kujenga nchi yake ifike sehemu tuache kiherehere.
Mod, mada za kipuuzi kama hii muwe mnazifuta. Tukiendelea kujadili utumbo huu tunaharibu heshima ya jukwaa hili zuri.
Ukweli hiki ni kiherehere. Tanzania inakwenda DRC kutetea na kulinda raslimali za Congo? Kweli? au nayo inapora?Nawashangaa mainterahamwe kushangilia Tanzania kupeleka kikosi kule Congo kupambana na M23 kikundi ambacho kinasemekana kinafadhiliwa na Kagame ili kupora mali za wakongo
Hivi kama Kagame ameamua kutumia fursa kupora mali kwa ajili ya wanyarwanda sisi inatuuma nini? au ndo wivu wa maendeleo, hizo mali za Congo zinatusaidia nini mpaka tuzipiganie, Tumesaidia sana ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara tena kwa kumwaga damu lakini hamna chochote tunachothaminiwa na mataifa hayo leo hii vijana wetu wanamwaga damu kwa ajili ya wacongo ili mali zao zisichukuliwe na mjanja Kagame ambae anazitumia kujenga nchi yake ifike sehemu tuache kiherehere.
Joseph Kabila DR Congo ni business partner wa JK wanabiashara kubwa ya mafuta nchi nzima. Riz 1 ndo msimamizi. Wamempora Chacha eneo lake pale Vijibweni kwa ubabe wa kutisha ili waweke matanki yao ya mafuta. Tz hatuna hja ya kupoteza resources zetu both human and financial to pursue a very unpopular, personal and materialistically propelled. Watoto wanakalia mawe na viroba madarasani, wamama wanajiffungulia chini, vijana wamegeuka watoto wa mbwa, hospitalini hamna dawa nk.