Kagame ndani ya Congo, sisi kiherehere cha nini?

Kagame ndani ya Congo, sisi kiherehere cha nini?

jinga sana wewe unadhani nani katutuma mimi ni Mtanganyika halisi wala sina unasaba na Rwanda.

Una kitambulisho cha Tanganyika?Tanganyika upo wapi?kajipange kwanza sihitaji maneno ya mitaani.
 
Umewahi ona wafanyabiashara wetu wanafanya biashara na Somalia? Au kuna mizigo ya Somalia inapitia Dar?

economically, tunge opt middle ground! Yes, siyo kuwaonea watutsi wa Rwanda. Hivi wajua kuwa FDLR ni wengi zaidi ya M23 ? Na wameua malaki ya watu na silaha zao zinapitia Tanzania?
 
kweli tz tuna matahira yaan unshindwa kufikiri japo kidogo kuwa congo mizigo yao yote inapita kwetu na lazima tupiganie congo yenye amani ili magari na mizigo yetu iweze kupita kwa amani

Kupita wapi? congo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom