Kafulila,Tibaijuka live Star TV

Kafulila,Tibaijuka live Star TV

ifahamike kuwa taswira ya mashaka ya mama Tibaijuka ndio taswira ya ccm huku uraiyani
 
Limama lina sweat vibaya kwan anabanwa na kashikaji,kajamaa kapo deep vibaya,eti limama linasema shule yake haifanyi biashara!,wizi mtupu!
 
Kafulila: watu wanajaribu kumuondoa JR KWA SABABU ETI ANALIPA KODI LAKN NINA USHAHIDI WA jr akimwandikia Gavana kumkumbusha kwamba singasinga asipewe hela ya escrow kwa sababu hajamalizia mgawo wangu

duh patamu hapo endelea kutupa update mkuu.
 
Tibaijuka kaja na document ambazo hajasoma.. Anaambiwa hii document ulioshika inasema hivi ye anasema sijasoma.. Sa alikuja nazo za nn..! Kweli ccm kushineii
Hapana mkuu, alimnyanganya Kafulila wakati kamera ime concentrate kwa mwendesha kipindi.
 
cshule siyo biashara? vipi kuhusu private schools? mbona ada ni ya kubwa kwa faida? kama shule si biashara amuulize mama lwakatare na st mary zake...................public vs private school?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom