Kafulila,Tibaijuka live Star TV

Kafulila,Tibaijuka live Star TV

..mpigeni huyu mama risasi,stupid,mchango gani wa 1.6 biliion?waondoeni mijizi hao......
 
anasema itabidi ampe kafulila tuition shule haiwezi kuwa biashara inaendezshwa kwa ruzuku so anatafutia ruzuku sababu wazazi wengi hawana uwezo wa kuendesha shule, amepata nguvu na anasema
 
Jamani angalieni kipindi cha tuongee asubuhi jinsi Tibaijuka anavypata jasho la mdomoni kutetea hoja ya kuchotewa 1.6 B mbele ya Jemadali Kafulila
 
Tibaijuka kaja na document ambazo hajasoma.. Anaambiwa hii document ulioshika inasema hivi ye anasema sijasoma.. Sa alikuja nazo za nn..! Kweli ccm kushineii
 
Mama kacharuka. Wanamtia aibu tu hapa! Ajitahidi asi panic.
Anasema kuwa yeye kwanza hana ufahamu wa haya mambo. Tuachie mahakama. Yeye ana shule na kapewa mchango kwa ajili ya shule ambayo sio biashara. Inaendeshwa kwa ruzuku!


Analeta swala la mwanangu na umama! Hehehehe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom