Kafulila: Taasisi zinazoongozwa walau kwa theluthi moja na Wanawake hupata mafanikio karibu mara 10 zaidi ya zile zenye Wanawake wachache Viongozi

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Jul 10, 2020
2,545
2,175
RankCountry% of Women in ParliamentGlobal rank
1Rwanda61.3%1st
2Senegal46.1%11th
3South Africa45.8%14th
4Namibia44.2%19th
5Mozambique43.2%20th
6Ethiopia41.3%25th
7Cabo Verde38.9%30th
8Angola38.6%32nd
9Burundi38.2%36th
10United Republic of Tanzania37.4%41st

IMG-20240311-WA0018.jpg

IMG-20240311-WA0024.jpg
IMG-20240311-WA0023.jpg

Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;

Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.

Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu sana.

Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu leo anatimiza miaka MITATU ya Urais ila hakuna hata mmoja wa Watanzania awe ni mpinzani au MwanaCCM anaweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (ni mwanamke).

Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini Wanawake Barani Africa kwa sasa.

Huenda labda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu.

Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa na tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% si haba.

#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama Wanaume.
 
Nikweli wanaume sisi ni wezi sana,

Unakuta mtu anamichepuko 6 karibu Kila mkoa,

Unataka gari zuri mwanamke akuone,

Ukajenge kijijini,

Wanaume sisi ni wizi wizi wizi
Ni sahihi na hapo ndio mimi huwa nasema, pesa za wanawake root yake ni sisi
 
'Walau theluthi 1 ni wanawake'

Maana yake walau theluthi 2 ni wanaume

Kati ya theluthi 1 na theluthi 2 ipi kubwa?

Tunahakiki vipi theluthi 1 ndo inaleta faida kuliko 2?

This is cherrypicking. Nipo tayari kukosolewa.
Kwamba wanaume wakishaijenga taasisi ikawa inaenda vyema kifaida.ndio wanaona kama vipi watoe nafasi KWA wanawake.

Wanawake wakishakuwa wengi inaonekana tena wao ndio wameyaleta maendeleo
 
RankCountry% of Women in ParliamentGlobal rank
1Rwanda61.3%1st
2Senegal46.1%11th
3South Africa45.8%14th
4Namibia44.2%19th
5Mozambique43.2%20th
6Ethiopia41.3%25th
7Cabo Verde38.9%30th
8Angola38.6%32nd
9Burundi38.2%36th
10United Republic of Tanzania37.4%41st

View attachment 2931206

Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;

Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.

Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu sana.

Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu leo anatimiza miaka MITATU ya Urais ila hakuna hata mmoja wa Watanzania awe ni mpinzani au MwanaCCM anaweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (ni mwanamke).

Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini Wanawake Barani Africa kwa sasa.

Huenda labda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu.

Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa na tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% si haba.

#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama Wanaume.
Baada ya Samia ni Tulia.
 
RankCountry% of Women in ParliamentGlobal rank
1Rwanda61.3%1st
2Senegal46.1%11th
3South Africa45.8%14th
4Namibia44.2%19th
5Mozambique43.2%20th
6Ethiopia41.3%25th
7Cabo Verde38.9%30th
8Angola38.6%32nd
9Burundi38.2%36th
10United Republic of Tanzania37.4%41st

View attachment 2931206

Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;

Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.

Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu sana.

Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu leo anatimiza miaka MITATU ya Urais ila hakuna hata mmoja wa Watanzania awe ni mpinzani au MwanaCCM anaweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (ni mwanamke).

Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini Wanawake Barani Africa kwa sasa.

Huenda labda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu.

Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa na tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% si haba.

#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama Wanaume.
Baba ya Samia ni Tuli
 
A
Nikweli wanaume sisi ni wezi sana,

Unakuta mtu anamichepuko 6 karibu Kila mkoa,

Unataka gari zuri mwanamke akuone,

Ukajenge kijijini,

Wanaume sisi ni wizi wizi wizi
Anatakana kulinganisha mafanikio ya 14 kati ya 350 kwamba ndiyo maganikio makubwa...
 
Back
Top Bottom