Kabila gani zuri jamani la kuoa?

Kabila gani zuri jamani la kuoa?

mimi mtu wa tanga,
napenda mke mpole, mchangamfu, mtanashati, mzuri, mweupe,mwenye mmaneno mazuri na pia awe wa dini yoyote ila tutakubaliana kuwa nani abadili dini? napenda awe kabila lolote ambalo laweza kuwa zuri.
 
Wewe mwenyewe kabila gani, then oa hilohilo! iyo moja,
Pili tangaza sifa unazotaka utapata kutoka kabilia lolote,
Zaidi ya hapo Kaoe wa Machame

Dah...
Uyu jamaa anakupotosho..
Mimi Mmachame sikushauri atha wyZ piga Brec Usukumani-maasai-marangu-Meru atlist
 
We njoo Kanda ya Ziwa tafuta Mhaya,Mzinza au Mkerewe. Ni kabila zinazotoa Wake bora wachapakazi na upendo wa Dhati. Ila kwa wahaya lazima upigwe Semina ya Katerelo la sivyo utajikuta unatambulishwa Wahaya wote Wanaume ni Shemeji Zako.
 
Muoe huyo girlfriend uliyenaye au unataka kumuachia nani makombo??????
 
Mzanaki, wewe unamuoa na yeye anaoa wengine. Raha juu ya raha.
 
Mkuu oa kati ya hawa: mkwerea, mzaramo, mrangi, singida line. Wametulia sana mkuu. All the best.
 
jamani wana jf, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu ,ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na....

Mjini hakuna kabila dogo. Hayo maswali peleka kijijini mjini wanawake wote sifa moja tu!
 
mimi mtu wa tanga,
napenda mke mpole, mchangamfu, mtanashati, mzuri, mweupe,mwenye mmaneno mazuri na pia awe wa dini yoyote ila tutakubaliana kuwa nani abadili dini? napenda awe kabila lolote ambalo laweza kuwa zuri.

Kumbe bado hujakua! Hata malaya wengi wanazo hizo sifa. Subiri ukue kwanza na tembelea jukwaa la MMU kwa 3 yrs utapata jibu
 
jamani wana jf, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu ,ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na....

My God...I don't believe this! Wewe kijana unataka kuoa KABILA au unataka kuoa MWANAMKE?!!!
 
oa mke mwanamke uliyempenda na kukubali tabia zake kuwa zinakuridhisha wewe sio kabila ndugu yangu maana unaweza ingia chaka.
 
Kaoe mkwer e, upate ushemeji na Riz1
 
kaoe Zenj kuna wangazija,tabia zao nzuri si wachoyo wana upendo wa kweli.pia ni Wazuri
 
Mwisho wa siku ndoa ni Mapenzi,halafu unamuoa mtu sio kabila,kuna watu wazuri na wabaya katika jamii zote jipe muda wa kujua mtu binafsi.
 
jamani wana jf, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu ,ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na....

unaoa kabila?
 
Kaoe Mzaramo, kila siku ngomani!!
 
Back
Top Bottom