Kabila gani zuri jamani la kuoa?

Kabila gani zuri jamani la kuoa?

Duniani kuna makabila mawili tu. Kabila la kiume na Kabila la kike. Mwanaume aoe kabila la kike na mwanamke aolewe na Kabila la kiume. Mengineyo ni mbwembwe tu. Katika hayo makabila haijalishi kama ni mzungu,mwafrika ,mhindi,mfupi, mrefu,mnene,mwembamba nk
 
Kuna makabila mengine wanawake ni vimeo, mfano Upareni, Wairaqw, baadhi ya makabila ya Dodoma na Singida, unapaswa uwe makini sn unapochagua mke kwny maeneo hayo
 
2014 unaulizia ukabila? duuuh ebana kati ya vitu vyote usijekuoa mwanamke anaependa kuomba hela sana aiseee
 
Kaoe Mbungu wa chunya, Mnyiha wa mbozi, Mnyamwanga wa momba au Mndari wa ileje hata Mnyakyusa wa tukuyu, kyela au Msafwa wa mbeya haina tabu.
 
Back
Top Bottom