Tunajenga kizazi gani?

Tunajenga kizazi gani?

SIR MGAX

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2023
Posts
1,309
Reaction score
2,221
Habari wana jamvi,
Bila shaka leo nimekuja kuzungumzia suala zima la malezi haswa kwa wazazi wa upande mmoja,nowdays wanajiita sigles as (singomaza).Masingo maza natamani sana mpitie huu uzi ili mjifunze jambo

Kumekuwa na jopo au kundi wamekuwa singomazaz na hawajali kabisa kuwa katika hali hiyo,maana yangu ni kwamba wamechukulia suala la kuishi bila wazazi wenza ni kama jambo la kawaida,

Ila,niseme tu au nielezee kuwa hali hiyo si nzuri kabisa,mniwie radhi wanawake kwa kuwa nimekuwa nikiwatag sana,Ila hata wanaume pia wapo katika kundi hili.

Nimejaribu pia kufanya tafiti na nikagundua kuwa hali hii haswa inawakiuta watu ambao waliingia katika ndoa kwa kulazimishwa au tamaa ambazo pia kwa hali ya karne ya leo tamaa imekuwa na uzito mkubwa sana katika kuvunjisha sana ndoa za maelfu ya watu hapa duniani.

Mimi si mshauri kwa suala la ndoa japo kidogo ninauelewa kwasababu nimefanya tafiti nyingi katika jamii nilizowahi kuishi lakini pia nimekuwa nikifuatilia sehemu mbalimbali kutokana na utanzdazwazi hivyo ninaelewa.


Leo kumekuwa na watu ambao wakuamua kuvunja ndoa hata kesho tu inawezekana na ni rahisi tu,Japo sio mbaya hii inaweza kutokea sidhani kama no mbaya kwa sababu wahenga waliwahi kusema “siri ya mtungi aijuaye kata” lakini chanzo unaweza ukakuta ni mali au tamaa za kijinga tu(huo ni upumbavu mkubwa sana).

Ila,je wanaoamua kutengana na kila mtu kuishi kivyake na walikuwa wameshapata familia wanajua changamoto na matatizo wanayoyajenga kwa miaka ijayo?

Hivi wewe mdau unahisi ni jamii ya aina gani ambayo inajengwa baada ya ndoa kuvunjika,na ikiwa jamii hiyo ni mbaya na ili ikomeshwe ni njia gani zitumike?
 
Kizazi cha wazazi wa sasa kina ubinafsi wa kiwango cha juu sana. Zamani wazazi wetu walikuwa wanavumilia mengi sana ili mradi tu watoto wakue kwenye familia iliyokamilika.

Lakini hawa wa sasa wakizinguana kidogo tu kila mtu anafungasha virago vyake na kusepa zake. Yaani people care more about their peace of mind and ego than the stability of their own kids. Matokeo yake wanatengeneza watoto ambao wakikua wanakuwa na visasi, hawajui maana ya kuvumilia, na wanakuwa wanaona mahusiano ni kitu cha kuingia na kutoka tu wakati wowote.
 
Nawashauri single maza wasiwe wanatumia mihemko kubadili ubini wa watoto na kutumia upande wa mwanamke badala ya kiumeni mwisho wa siku upande wa ajira inawaletea ugumu
 
Watu wanalewa huko pamoja, wanadinyana lijamaa linakataa mimba..... mwanamke anazaa anabaki single maza...... na nyie ke kwa nn uliwe hovyo hovyo kavu kavu ??
 
Kizazi cha wazazi wa sasa kina ubinafsi wa kiwango cha juu sana. Zamani wazazi wetu walikuwa wanavumilia mengi sana ili mradi tu watoto wakue kwenye familia iliyokamilika.

Lakini hawa wa sasa wakizinguana kidogo tu kila mtu anafungasha virago vyake na kusepa zake. Yaani people care more about their peace of mind and ego than the stability of their own kids. Matokeo yake wanatengeneza watoto ambao wakikua wanakuwa na visasi, hawajui maana ya kuvumilia, na wanakuwa wanaona mahusiano ni kitu cha kuingia na kutoka tu wakati wowote.
Unadhami ni elimu ya aina gani itolewe na ifikishwe kwa style gani…unaikumbuka Femina na yaisha ya kipindi kile?
 
Nilivyoona tu umekazana na gender ke sijamaliza bandiko
Singo maza bla bla bla single father yupo wapi hapo ?

Hamchoki kuwabebesha mizigo wanawake kila wakati?
😂😂😂 na ndio mana niliomba radhi japo singomaza anahusishwa kwa asilimia nyingi kuliko singofaza
 
Kwahiyo kwanini umlaumu mwanamke aliyeamua kubaki na watoto na si wanaume walioamua kuondoka?
Asante,simlaumu mwanamke pekee bali hata mwanaume anamapungufu kwa sababu na yeye ni binadamu pia,lakini mwanamke amekuwa mtu wa mbele sana kujenga mgawanyiko wa kifamilia….unalijua hilo?
 
Watu wanalewa huko pamoja, wanadinyana lijamaa linakataa mimba..... mwanamke anazaa anabaki single maza...... na nyie ke kwa nn uliwe hovyo hovyo kavu kavu ??
Hongera sana kwa maelezo yako….lakini swali lizingatiwe licha ya kuwa hata mwanaume mwenzangu hakuwa anajua kama inaweza ikatokea amebebesha?
 
Elimu ni ngumu kuwa msaada labda tuongelee sheria.
Sheria imejaribu sana kuwa na madawati hayo?je kunamanufaa yoyote yamepatikana mkuu kwa sababu (kwa mfano….sizani kama sheria inaweza ikawepo sehemu kama Tegeta kwenye maeneo yaliyopo karibu na vile vilabu viwili)
 
Kwanini single mother na sio single father?
Mtoto anapatikana vipi si ni watu wawili mume/mke kwanini single mother
Sawa,kama inawezekana wewe kunielewa itapendeza zaidi kwa maelezo haya

Mwanamke ndio ngao kuu ya kuimarisha ndoa,na ndio maana ninyi mkisha sema “ENOUGH IS ENOUGH”,Hatuwezi kulazimisha kwa sababu tukifanya hivyo tutateseka na mawazo sana tofauti na mwanaume licha ya kuwa wanaume ambao wanaweza kuwa na maamuzi hayo ni wachache sana kwa sababu TUNAMIOYO YA HURUMA SANA.
 
Ukweli ni kuwa we have lots of information lakini wamatumbi ni wajinga. Ukweli ni kuwa ego na psychology imeharibu vizazi...

Mnatumia logic katika kila jambo.

When it comes to family inabidi sometimes uwe selfless na uache kumnyooshea kidole mwingine..

Ila leo hasa wanawake wamekuwa mstari wa mbele sana kumnyooshea kidole mwanaume. Hawana good feminine energy ya kumfanya mwanaume awe safe ndany ya nyumba aliyoijenga yeye mwenyewe.

Hakika ni kizazi cha nyoka hichii
 
Back
Top Bottom