Jamani wana JamiiForums, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu, ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
Naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na.
heri yako unayeoa kabila na sio mke.
Jamani wana JamiiForums, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu, ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
Naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na.
kabila lolote kaka ila mradi tu asiwe mchaga, muiraq, mnyiramba ,mnyaturu, mjita na mkerewe. hao waogope sana
Kabila lako,,,,,,,,Jamani wana JamiiForums, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu, ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
Naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na.
Haiwezekani Msukuma na Mkinga wakazaa Mmasai na haiwezekani pia Mmakonde na Mhaya wakazaa Mbondei.
Jamani wana JamiiForums, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu, ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
Naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na.
charminglady, Any comment ?kama hujawahi kupata kipondo oa mke wa kikurya!
ukiona mtu anaulizia kabila la kuoa miaka ya 2014 ujue bado kuna watu wanaendelea na evolution... Hukawii kukutana na Homo halibis kitaa
hiyo issue ilikua karne zilizopita
SOMA HAPA MITHALI 14:1-35 na HEBR 11:1-40.UATAPATA UJUMBE WA KUKUSAIDIA KAKA
charminglady, Any comment ?
Jamani wana JamiiForums, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru Mungu, ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
Naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na.
Wanaume wa kikurya hawana simile, ukimchukulia mkewe yeye hakugeuzi, bali anakumaliza kabisaaaaa ili asikuone kwenye uso wa dunia baaasi!
oa mrangi, ni wanawake wazuri, watamu na wamejaaliwa maumbo mazuri, pia wana tabia nzuri sana na ni wapole, wacheshi na wenye nidham kubwa. so bro ingia kondoa