jamani wana jf, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu ,ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na....
jamani wana jf, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu ,ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na....
oa mrangi, ni wanawake wazuri, watamu na wamejaaliwa maumbo mazuri, pia wana tabia nzuri sana na ni wapole, wacheshi na wenye nidham kubwa. so bro ingia kondoajamani wana jf, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu ,ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na....
ni wavumilivu ...ila ndimgalysidakamata mnyalukolo
naam kwa upande wa menyu menyumkuu, mke mhindi atakufaa.
oa mrangi, ni wanawake wazuri, watamu na wamejaaliwa maumbo mazuri, pia wana tabia nzuri sana na ni wapole, wacheshi na wenye nidham kubwa. so bro ingia kondoa
na pia si wachoyo...oa mrangi, ni wanawake wazuri, watamu na wamejaaliwa maumbo mazuri, pia wana tabia nzuri sana na ni wapole, wacheshi na wenye nidham kubwa. So bro ingia kondoa
tafuta asiyekuwa na kabila
Jamani wana JamiiForums, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu, ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
Naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na.
Jamani wana JamiiForums, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu, ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
Naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na.