Kabila gani zuri jamani la kuoa?

Kabila gani zuri jamani la kuoa?

msapwat

Member
Joined
Jun 26, 2012
Posts
75
Reaction score
11
Jamani wana JamiiForums, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru Mungu, ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
Naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na.
 
Hongera la kukua na kupata wazo la kuoa kabila
 
Mkuu kwani unaoa kabila au mtu??
Samahani lakini.. Mambo ya binadamu haya!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kabila si ishu sana kwa siku hz,kinachoangaliwa ni kwa jinsi gani huyo bibie amekupendezea kuwa nae.
 
jamani wana jf, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu ,ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi.
naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na....

Wewe mwenyewe kabila gani, then oa hilohilo! iyo moja,
Pili tangaza sifa unazotaka utapata kutoka kabilia lolote,
Zaidi ya hapo Kaoe wa Machame
 
Mkuu kwani unaoa kabila au mtu??
Samahani lakini.. Mambo ya binadamu haya!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Huna haja ya kusema samahani, si wazo lako bwana!
Yeye anataka nini hasa, then tutamwambia kwa hilo nenda kuleee au huko. Halafu ina maana yeye hana kabila au ndo halipendi, au wa MAsaki, no Nao wana makabila yao.
anataka mzuri - nenda Arusha
Mpole- Iringa
Mchapakazi- Moshi, songea, Iringa, na bara koote n.k
 
SOMA HAPA MITHALI 14:1-35 na HEBR 11:1-40.UATAPATA UJUMBE WA KUKUSAIDIA KAKA
 
i think bado ujakua, nenda kona bar, kuna kila kabila, unafanya kuchagua tu ..
 
Back
Top Bottom